Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ainsley Maitland-Niles first choice wing-back and possibly penalty taker?





Huyu kijana natamani aongeze bidii kwenye finishing during open play. Ana vichenga na vi cut-ins kama vya Chambo. Akiongezea finishing akawa goal threat mwingine kwetu tutanufaika sana.
 
Wengi tumeanza kushabikia timu zetu kabla ya JF (isipokua kwa mashabiki wa Chelsea, Wolves, Totenham na Man City hawa wameanza JF kisha zikaja timu) so deep down kila mtu ana tabia zake za kishabiki.

Mimi baba yangu ni Liverpool na hatuwezi angalia mechi pamoja kwakua nilikua nasema maneno ya kukera (siyo matusi) na yeye alikua hataki hivyo. Hata mwanzo kabisa ilikua nikiingia uzi wa Man U au Chelsea nitaandika shit kibao kisha naondoka.

Over time ile trend nikaiditch. Kuna siku kuna mishap ilitokea humu ile siku nilikua mstari wa mbele kuhimiza maelewano.

Ila Sometimes inabidi mtu apokelewe vile vile alivyokuja kama umenotice huyo putinv hajarudi tangu muda ule. Ningeweza kumuonyesha allegations za ushoga za Chelsea players kistaarabu lakini yeye hakuja hivyo.

Given his own medicine, I don't even know where he at right now and I don't give a flying fvck.
 
Wengi tumeanza kushabikia timu zetu kabla ya JF (isipokua kwa mashabiki wa Chelsea, Wolves, Totenham na Man City hawa wameanza JF kisha zikaja timu) so deep down kila mtu ana tabia zake za kishabiki.

Mimi baba yangu ni Liverpool na hatuwezi angalia mechi pamoja kwakua nilikua nasema maneno ya kukera (siyo matusi) na yeye alikua hataki hivyo. Hata mwanzo kabisa ilikua nikiingia uzi wa Man U au Chelsea nitaandika shit kibao kisha naondoka.

Over time ile trend nikaiditch. Kuna siku kuna mishap ilitokea humu ile siku nilikua mstari wa mbele kuhimiza maelewano.

Ila Sometimes inabidi mtu apokelewe vile vile alivyokuja kama umenotice huyo putinv hajarudi tangu muda ule. Ningeweza kumuonyesha allegations za ushoga za Chelsea players kistaarabu lakini yeye hakuja hivyo.

Given his own medicine, I don't even know where he at right now and I don't give a flying fvck.
Wanaleta ujinga humu, wanadhani wapo salama, tunaweza kuvamia thread yao had waikimbie

Wanashindwa kuwa wastaarabu kama mashabiki wa Liverpool
 
Gabriel:

l
"Nicolas Pepe is also a good friend of mine, also David they messaged me and welcomed me, this is very important to me and makes me very happy. I cannot wait to meet the rest of the squad, Willian and Gabriel Martinelli too.”
Gabriel-1024x683.jpg
 
#Arsenal have received a new bid from #Fiorentina for Lucas #Torreira: €7 MLN for loan fee + obligation to buy for €20 MLN

Almost there
 
Wenger on AMN years ago:

I believe he is the future. He adapts very quickly and is a good defender.

He has that sense of one against one, he is very strong, he is very quick, he has very quick recovery runs when he comes back.
IMG_20200824_203546.jpg
 
From || Fiorentina have made another bid for Lucas Torreira. A €7m (£6.2m) loan fee with a €20m (£17.7m) obligation, so €27m (£23.9m) in total [via - @LucaFiorino24].
 
Arsenal will continue to use the 3-4-3 system for the beginning of the season imo, as we look to sign more players and bed them in.

Here is a look at how we line up in the build-up (L) and attacking phase (R) in this particular system under Mikel Arteta.
IMG_20200902_194855.jpg
IMG_20200902_194850.jpg
 
Mikel Arteta’s 3-4-3 - a thread:
IMG_20200831_121039.jpg


Build up play:

Predominantly, there have been two different build up structures since the introduction of the 343. The first variation creates a 3-4 shape; GK + 2CB’s create the three, RWB, LB + double pivot create four. This essentially left Tierney as the free man (LWB).
IMG_20200902_195149.jpg


Thus, the WB usually took up a more advanced position close to the halfway line which often helped pin the opposition RB, which consequently allowed Aubameyang to drift into the half-space and operate one vs one against an opposition defender.

IMG_20200902_195231.jpg


This setup essentially allowed Arsenal to create wide overloads on the left; they often built down the right before rapidly switching to the left to exploit the space and create an overload.

However, the most recent variation of build up play has arguably been more effective.

The second variation similarly creates the 3-4 shape, however, the spare man, again the left wing back (Maitland-Niles) operates centrally which therefore allows Aubameyang to operate closer to the touchline on the left.

IMG_20200902_195344.jpg


IMG_20200902_195347.jpg


This, in my opinion, is the more effective build up shape because

1) Maitland-Niles is comfortable receiving the ball centrally, thus an extra central, progressive passing option is created,

2) it allows Aubameyang to operate as an outlet in the space near the touchline,


3) the extra central midfielder helps pin an opposition midfielder back and thus prevents another player from pressing, therefore helping Arsenal create a numerical overload in the build up phase.

For example, the positioning of AMN predominantly prevented Wijnaldum (or one Liverpool player) from pressing yesterday and therefore Arsenal were able to create an overload in the first phase i.e Aubameyang’s goal originated from finding the free man in build up play.

In possession:

Predominantly Arsenal form a 325 in possession; this helps cover each vertical line and therefore increases the amount of progressive passing options available to the player in possession.

IMG_20200902_195556.jpg


A fundamental part of Arsenal’s setup in sustained possession has been the CF dropping deep to create central overloads, especially when Lacazette is in the team. The CF joins the double pivot centrally and often creates an overload centrally which makes ball progression easier.

IMG_20200902_195637.jpg


Recently there has been great emphasis on finding Aubameyang and freeing him on the left whenever possible. This is why Maitland-Niles’ positioning in possession is so vital because he offers a link pass to Aubameyang on the left of a midfield three when Arsenal progress forward.

IMG_20200902_195734.jpg



The positioning of AMN helps free Aubameyang because the opposition FB can sometimes be dragged inside to engage Maitland-Niles when the ball is moved to the far side; this consequently leaves Aubameyang free.

Arsenal created this predicament for Neco Williams vs Liverpool.

IMG_20200902_195825.jpg


IMG_20200902_195822.jpg


We’re yet to see if Arteta will stick with this setup in the long-term despite extremely promising signs so far. Arteta continues to show his ability to adapt and find different solutions against a variety of opponents; he is a top, top coach.
 
Huyu kijana natamani aongeze bidii kwenye finishing during open play. Ana vichenga na vi cut-ins kama vya Chambo. Akiongezea finishing akawa goal threat mwingine kwetu tutanufaika sana.
Mimi ninaenjoy sana mpira wa Bukayo Saka, miguu yake imechangamka sana ila shida yake anachoka mapema
 
Wazee mods hawajaedit idadi ya community shields na mwaka. Niliwatag hii ni siku ya nne naona kimya.
 
Lyon want to sell Houssem Aouar for upwards of £44.4 million this summer, according to @Jon_LeGossip. Arsenal are the only club to have made a concrete offer for the 22 year old so far
 
Back
Top Bottom