Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona dalili kwamba tukiendelea hivi, 2021-2022 tutakua UCL na wakutusumbua kule hatakuwepo. Labda Bayern kidogo kama ataendelea kuwa on fom 😀😀
 
Una nini mkononi hatuwezi kukuacha kwa ujinga wako wa wivu uwashambulie watu wetu wewe ni fungo tu unayenuka kinyeo hili nijukwaa la ganazi linakuhusu nini wewe.
Huku tunashairiana wenyewe tu tunaomba ukome kabisa vinginevyo tutakuaibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipanik kijana hivi ndo vikombe vyenu unadhani lingekuwa Kombe la maana Liverpool wangewaachia mumbwaa nyinyii...
 
Naona dalili kwamba tukiendelea hivi, 2021-2022 tutakua UCL na wakutusumbua kule hatakuwepo. Labda Bayern kidogo kama ataendelea kuwa on fom 😀😀
Leo nimeelewa kwanini serikali mbalimbali duniani wanakataza wananchi wao wasivute bhangi
 
FA Cup siyo sawa na Community Shield wewe. FA unacheza mechi ngapi mpaka uje kuingia final na CS ni mechi moja tu unategemea reaction yake itakuaje?

Niletee picha PSG wakiwapigia makofi Bayern baada ya mechi. Acheni justification za kiloko loko.
Endelea kuteseka

Ikiwezekana kula malimao

thearsenalreview-20200830-0001.jpg
 
nakuheshimu ndugu acha vibweka.

Njaa mwanamalegeza, shibe mwanamalevya. Mmeanza kushiba mmeanza kulewa sasa.
Unabisha nini sasa ?

Klopp aliwatoa Liverpool kutoka wenye mashaka had kuwa waamini(doubter to believer)

Aliwaomba miaka mitatu abebe mataji makubwa hawakumuamini , lakini mwisho wamemuamini

Mwaka 2001 Arsene Wenger alisema Ipo siku nitamaliza ligi bila kufungwa ,zikatolewa kejeri kibao


Mwaka 2004 wakati anakabidhiwa Taji la dhahabu ,akawakumbusha maneno yake kwa kuwaonesha kwenye Tshirt.


Sasa Arteta kaomba Miaka mitatu Alete UCL , cha ajabu nini?
download.jpg
 
Unabisha nini sasa ?

Klopp aliwatoa Liverpool kutoka wenye mashaka had kuwa waamini(doubter to believer)

Aliwaomba miaka mitatu abebe mataji makubwa hawakumuamini , lakini mwisho wamemuamini

Mwaka 2001 Arsene Wenger alisema Ipo siku nitamaliza ligi bila kufungwa ,zikatolewa kejeri kibao


Mwaka 2004 wakati anakabidhiwa Taji la dhahabu ,akawakumbusha maneno yake kwa kuwaonesha kwenye Tshirt.


Sasa Arteta kaomba Miaka mitatu Alete UCL , cha ajabu nini?View attachment 1552776
Mkuu hakuna cha ajabu naamini kwenye timu yoyote inawezekana. Ila kila kitu ni process na haya mambo yanaenda hatua kwa hatua. Anzeni na EPL kwanza then onyeshe i umwamba kwenye EL ndio mkachukue hiyo UCL. Haya mambo msidhani ni bahati tu watu wanajipanga. Angalia Pep anavyohangaika uko leo hii Arsenal eti ndani ya misimu 3 akabebe UCL? Acheni masikhara bhana

Mimi Arsenal naijua bhana mtapoteana hapa na wewe ndio utabeba lawama kwa nini timu inafanya vibaya kwa sababu unawajaza wenzio ujinga na wenyewe wanajaa kweli.
 
Emi ndio golikipa namba moja kwa sasa, naona Leno ajipange upya kwa kazi kubwa ya kufanya,Martinez yupo comfortable golini, hatujaona pengo la Leno kabisa.

Jana kabla ya penalt shootouts Kuanza nilipomuona kocha wa makipa amekaa naye na kumpa one two nikasema moyoni kazi imeisha.

Nilipokumbuka nketiah ameshatolewa nje ndo nikasema nikanunue kabisa wine kabla haijapigwa hata moja.

Badae nikasema ngoja kwanza niangalie kwenye line walivyojipanga nione wapigaji nikaona willock hayuko basi nikabadilisha wazo la wine nikaagiza Jager Meister lita nzima. kwa kweli leo nimeamka kifalme
 
Endelea kuteseka

Ikiwezekana kula malimao

View attachment 1552770
timu kubwa England ni MAN U, ARSENAL na LIVERPOOL tu kihistoria na hata hapo mbele kidogo itarudi kuwa hivi. Hao wengine wote hovyo kabisa. Kuna watu humu wameanza na Chelsea ya Mourinho na Tottenham ya Poch ndo maana wanaziona ni timu za maana.
 
FA Cup siyo sawa na Community Shield wewe. FA unacheza mechi ngapi mpaka uje kuingia final na CS ni mechi moja tu unategemea reaction yake itakuaje?

Niletee picha PSG wakiwapigia makofi Bayern baada ya mechi. Acheni justification za kiloko loko.
Ili ucheze community shield,lazima uchukue FA sijui unalijua hilo ndio maana kacheza BINGWA WA FA na BINGWA WA EPL na bingwa wa FA ndiye bingwa wa Community Shield 2020.
 
Back
Top Bottom