Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe mwerevu ungefanya research kwa ndugu zako uone walivyokua wanamtupia lawama mwenzenu humuhumu kwa nini timu inafanya vibaya.
Acha uongo ,

Sijawahi kuona mtu ananitupia lawama ,

Kijana wa kiume kuwa muongo haifai,timu imefanya vibaya sana kipind cha Unai emery,

Na Nilianza kumkataa mech ya 2 tu ya Ligi pale anfield ,

Tukawa wote humu Arsenal fans tukiomba bodi imtimue ,
 
Hoja yangu unaikwepa halafu unafokafoka tu. Nakurahisishia kwa kukwambia kwamba kwa Arsenal yenu hamuwezi kuchukua UCL ndani ya miaka 3. Hata EL mpaka damu zitawatoka puani hamchukui msimu ujao.

Mtasema naongea kwa chuki ila kila kitu kinaonekana. Tukutane msimu ujao.
Kijana kupiga ramli hakutakufikisha popote ,

Ulianza pale Wembley nikakunyoa ,Jana Umepiga ramli ,zimegoma

Hukomi tu ?

lukinjatigana-20200829-0001.jpg
 
Hata community shield jana mlisema hatubebi lakini tumebeba ndoo!.. Mtakasirika sana msimu huu!.. Nakuombea maisha marefu ili uone tunavyofanikiwa
Huyu kabaki kuwa mpiga ramli tu,

Kwa Arteta mbona atajipiga Ban sana huyu na genge lake
 
The Northern Echo:

Newcastle’s discussions are at a advanced stage and Rob Holding is set to travel to Tyneside to undergo a medical and complete the formalities of his loan move to Newcastle this week.
 
Unajua tulikotokea mpaka nikamjibu hivyo?
"FA unacheza mechi ngapi mpaka uje kuingia final na CS ni mechi moja tu unategemea reaction yake itakuaje?"

Kwa haya mashudu uliyo ya andika ilikuwa haina haja kujua mmetokea wapi,this is arsenal thread fan yoyote atakaye kujibu yupo sawa.
 
Mkuu hakuna cha ajabu naamini kwenye timu yoyote inawezekana. Ila kila kitu ni process na haya mambo yanaenda hatua kwa hatua. Anzeni na EPL kwanza then onyeshe i umwamba kwenye EL ndio mkachukue hiyo UCL. Haya mambo msidhani ni bahati tu watu wanajipanga. Angalia Pep anavyohangaika uko leo hii Arsenal eti ndani ya misimu 3 akabebe UCL? Acheni masikhara bhana

Mimi Arsenal naijua bhana mtapoteana hapa na wewe ndio utabeba lawama kwa nini timu inafanya vibaya kwa sababu unawajaza wenzio ujinga na wenyewe wanajaa kweli.
Kusema tunajazwa ujinga na sisi tunajaa ni kadharau comedy fulani hivi.

Anyway, kuna timu kama Leicester zimefika na kufikia kuchukua ligi. Lakini baada ya hapo nini kimekua?

Kuna timu ilichukue UEFA huku inashuka daraja.

Kipimo chako cha userious wa kuchukua UCL iwe ni kuchukua ligi hakipo sahihi kama unavyotaka.
 
Timu imebadilika kwa confidence kuongezeka na fighting spirit imeanza kupanda.

Once nilisema timu yetu siyo mbovu ila ipo lowa kwenye fighting spirit. Hilo likifanyiwa kazi kuna maandazi pale utayaona lulu.

Lukaku, Young, Herrera ni baadhi ya mifano ya players waliong'ara baada ya kurudishiwa confidence.

England hawakumuita Saka timu ya taifa siku moja mbele Saka anatangazwa mchezaji bora wa Europa kosa walilofanya England tusifanye kwa Niles.
 
Emiliano Martinez close to new Arsenal contract. [@mcgrathmike]


Arsenal goalkeeper Emiliano Martinez is close to signing a new contract at the Emirates Stadium despite interest from Premier League rivals in offering a No.1 role.
 
Huge U-Turn for Arsenal | Emi Martinez & Ainsley Maitland-Niles will stay at Arsenal next season. Told Holding could leave only on loan and comeback next season. #AFC
 
Mkuu hakuna cha ajabu naamini kwenye timu yoyote inawezekana. Ila kila kitu ni process na haya mambo yanaenda hatua kwa hatua. Anzeni na EPL kwanza then onyeshe i umwamba kwenye EL ndio mkachukue hiyo UCL. Haya mambo msidhani ni bahati tu watu wanajipanga. Angalia Pep anavyohangaika uko leo hii Arsenal eti ndani ya misimu 3 akabebe UCL? Acheni masikhara bhana

Mimi Arsenal naijua bhana mtapoteana hapa na wewe ndio utabeba lawama kwa nini timu inafanya vibaya kwa sababu unawajaza wenzio ujinga na wenyewe wanajaa kweli.
Wewe najua kwanini unateseka,ni Wazi kwamba Arsenal akichukua UCL basi wewe utabaki mtoto wa kambo pale London, hutakuwa na neno lolote mbele ya Gunners

Na kwa Arteta utachukia sana,ponda chupa unywe, mambo mazuri yanakuja.

#Coyg
 
timu kubwa England ni MAN U, ARSENAL na LIVERPOOL tu kihistoria na hata hapo mbele kidogo itarudi kuwa hivi. Hao wengine wote hovyo kabisa. Kuna watu humu wameanza na Chelsea ya Mourinho na Tottenham ya Poch ndo maana wanaziona ni timu za maana.
Mkuu usiseme hivyo, watu wanaumia ujue
 
Hoja yangu unaikwepa halafu unafokafoka tu. Nakurahisishia kwa kukwambia kwamba kwa Arsenal yenu hamuwezi kuchukua UCL ndani ya miaka 3. Hata EL mpaka damu zitawatoka puani hamchukui msimu ujao.

Mtasema naongea kwa chuki ila kila kitu kinaonekana. Tukutane msimu ujao.
Sasa wewe tunakuona una chuki binafsi tu na Gunners,tulikubonda juzi kati hapa bado nguvu unatoa wapi ww za kuja humu
 
Back
Top Bottom