Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

AINSLEY MAITLAND NILES ,

KAPEWA MOT

Ainsley Maitland-Niles:

“I am a player of Arsenal until someone tells me otherwise. My heart is at the club and as long as I'm here, I will give 100 percent every time and that's it. "
IMG_20200829_213514.jpg
 
Game ya leo. Nilisema tukipaki basi tutashinda. Tumeingia na 3 4 3 lakini tumeperform tofauti na ile game tuliyowafunga 2 kwa 1.

Arsenal tumepiga shots 13 huku 7 zikiwa on target, liva ana shots 8 on target. Kwa kikosi kilichokuepo naon tumejitahidi.

Nketiah kwa alichofanya leo bado naona atasubiri sana kwa Martnell kama asipoongeza bidii.

Hua namlalamikia Pepe kwa kushindwa kufanya cut in na kuscore (angalia Auba alivyoscore) naona na Saka naye ni walewale, yaweza kua hatuna mtu sahihi bado. Ndiyo maana msimu uliopita tulivyohusishwa na Ziyech niliona itakua transfer tamu kwetu.

Kwa uzembe wa Nketiah na Saka tumekosa nafasi 3 za kuscore kwa uhakika.

Pale katikati Elneny na Xhaka wamepasawazisha. Elneny alikua anapiga chenga, anatafuta mtu anampa pasi, anamkosa anasonga mbele, Milner akabaki kucheza rafu tu. Xhaka na Elneny ni couple mpya pale kati ambayo inadeliver vyema.

Juzi nilisema Elneny abaki, na leo nasema tena. Elneny abaki.

Goli la kusawazisha la liva ilikua komedi kidogo. Tunakaba conservatively mno, yaani wachezaji wetu kua aggressive na kuingiza mguu ni mtihani, magoli mengi tunafungwa kwa aina yetu ya ukabaji.

Game na Chelsea kwenye FA ilikua same, na leo hivyo hivyo. Kama inawezekana tubadilishe defensive style. Inakua kama FIFA 20 bwana...

Timu katikati ilibalansi. Kulikua na connection nzuri ya mid na defense kuliko mid na forward. Hata hii connection ya mid na defense sometime ilikua inakata ila it was some sight to see.

Aubameyang arudishwe kati. Hana skills za kufanya iwe rahisi kwake kucut in. Wazia angekua na skills kama za Pepe, angeweza kuscore peke yake goli mbili.

Martinez huku Leno.... hii inaitwa nianze chai au nianze mkate... Kotekote kuzuri. Hope kila mmoja atakula play time ya kutosha.

Tulifunga msimu kwa kombe. Tumefungua msimu kwa kombe. Ni poa mno. Ila tusijisahau Arteta aliomba miaka 3 ya kujenga timu, huu ndiyo wa kwanza. So performance ya leo isikufanye ukatukane watu... Hahahaha
Kabla ya game niliongelea pia kuhusu Mo. Elneny. Kuna jamaa akaja kuni-crash hapa kwa nguvu..

Eti yuko slow! Sasa kama yupo slow lakini SURE kuna tatizo gani?

Halafu kumbukeni, Elneny huyu sio yule wa Unai. Ni zama za Arteta sasa.

Ukitaka kuhakikisha ninachoongea, we waangalie AMN, Mustafi na Holding walivyogain confidence baada ya kuja Arteta.

Siku zote usiongee ukamaliza, bakisha akiba ya maneno!
 
Pierre-Emerick Aubameyang on more silverware:


“It feels very good. First of all, I have to say Happy Birthday bro [Maitland-Niles]. He was the man of the match, I’m really happy for him, he deserves it. We’re going to take this trophy & this time, hopefully I don’t drop it!” [BT]
IMG_20200829_213514.jpg
 
Mpaka muda huu siamini kinachoendelea katika timu yetu ya Arsenal,haya ni Maajabu makubwa sana 29 Days 2 trophies and we beat Giants of football it's not normal kabisa kwa timu yetu I am sure this season Arsenal haitachukuliwa tena kama underdog maana anything can happen
 
Arteta on winning another trophy:

"It generates belief. We have a lot of things to improve, still, but to be able to compete against these sort of teams in a final like this, it makes me really proud" #Arsenal https://t.co/lJHOIcDpRzView attachment 1552351
Dah Arteta hivi vitu anavyotuletea ilifaa kuwe na mashabiki uwanjani ila covid-19 imezingua. I feel sorry for him, he needs a bit of cheer from fans, still a work in progress but very promising!!

Ukiangalia kikosi chetu kina a lot of u-23s na non 1st team players huku Liver akiwa na almost 1st eleven
Bravo #Mikel.
 
Mzee nlikusahau.
Nakubaliana nawe nadhani timu imekuwa bora to be honest

Ni tactical games, kuna uwezekano mkubwa sana Arteta ni tactician mzuri, sina uhakika sana. Ila matokeo yameongea.

Tusubiri ligi ianze tuone jinsi mnavyocheza vs mid na lower table, maana wao ni wazee wa kuharibu mipango na kupaki basi.
 
Kabla ya game niliongelea pia kuhusu Mo. Elneny. Kuna jamaa akaja kuni-crash hapa kwa nguvu..

Eti yuko slow! Sasa kama yupo slow lakini SURE kuna tatizo gani?

Halafu kumbukeni, Elneny huyu sio yule wa Unai. Ni zama za Arteta sasa.

Ukitaka kuhakikisha ninachoongea, we waangalie AMN, Mustafi na Holding walivyogain confidence baada ya kuja Arteta.

Siku zote usiongee ukamaliza, bakisha akiba ya maneno!
Yes niliona comment yako, honestly hata me sikukubaliana na maoni yako but i chose to be quiet, kwa kikosi cha leo na ukizingatia mpinzani wetu alivyo it was a good test for him (Elneny) and its fair to say he did very very well.
 
Pierre-Emerick Aubameyang on more silverware:


“It feels very good. First of all, I have to say Happy Birthday bro [Maitland-Niles]. He was the man of the match, I’m really happy for him, he deserves it. We’re going to take this trophy & this time, hopefully I don’t drop it!” [BT] View attachment 1552409
Ha haaa, this time hatalidondosha kwamba amezoea kuyabeba sasa, the future is just exciting.
 
Back
Top Bottom