Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Compare the two. This is why liverpool are champions. Class club.
IMG_20200829_224513.jpg
IMG_20200829_224515.jpg
 
Ni tactical games, kuna uwezekano mkubwa sana Arteta ni tactician mzuri, sina uhakika sana. Ila matokeo yameongea.

Tusubiri ligi ianze tuone jinsi mnavyocheza vs mid na lower table, maana wao ni wazee wa kuharibu mipango na kupaki basi.
Huyu jamaa sijui mpaka atupe nini ili afanyiwe back up ya kutosha kutoka kwa board

Apewe hela tuvimbe mtaani
 
Huu ni mpira tu, kiukweli toka mtufunge kwenye kumalizia msimu, mkawafunga City FA and then Chelsea, leo ilibidi nisiwe na matokeo ya mfukoni.
Kiukweli hata sisi mashabiki confidence imeongezeka, siku chache hapo nyuma kwa kikosi cha leo kuwakabili Liver ilikuwa atleast tunachezwa goli 3 na koswa koswa za kutosha.
 
Nadhani leo pia kapata nafasi nyingine ya kumlinganisha na Keppa.

Awe na adabu tunapozungumzia makipa wa dunia kwa sasa huwezi kumuacha Martinez na ni haramu kujaribu kumuhusisha keppa kwenye list ya makipa namba tatu wa dunia
Uyo Martinez anatakiwa na AstonVilla kwa pound Million 10 pelekeni haraka kabla ajafloap ..mtajuta
 
Liverpool fans wanaujua mpira,

Sio wale kina Jason Sancho na Fransisco Zola
Yah kabisa, ukihesabu miaka ambayo Liver ilikuwa out of form na bado unamkuta mtu anaishabikia obviously ni mtu anayeujua mpira, anaheshimu hisia zake kama shabiki na anaiheshimu club yake pia.

Mtu wa aina hii hawezi kuongozwa na mihemko, Don Clericuzio na King Ngwaba are good examples.
 
Back
Top Bottom