Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uko sahihi Kepa ni bora zaidi

Nadhani leo pia kapata nafasi nyingine ya kumlinganisha na Keppa.

Awe na adabu tunapozungumzia makipa wa dunia kwa sasa huwezi kumuacha Martinez na ni haramu kujaribu kumuhusisha keppa kwenye list ya makipa namba tatu wa dunia
 
Nadhani leo pia kapata nafasi nyingine ya kumlinganisha na Keppa.

Awe na adabu tunapozungumzia makipa wa dunia kwa sasa huwezi kumuacha Martinez na ni haramu kujaribu kumuhusisha keppa kwenye list ya makipa namba tatu wa dunia
Word.
Kuna mijitu mingine wako hapa kuharibu point za Mashabiki wa Arsenal. ...Kwamba unaweza kweli ukawa shabiki wa mpira uka undermine uwezo wa Martinez. Hakika ni ujuha wa kupindukia...
 
Word.
Kuna mijitu mingine wako hapa kuharibu point za Mashabiki wa Arsenal. ...Kwamba unaweza kweli ukawa shabiki wa mpira uka undermine uwezo wa Martinez. Hakika ni ujuha wa kupindukia...

Martinez kwa sasa ni habari nyingine kabisa.
Alichomfanyia Mane leo hatamsahau kamwe.

Leno ana kazi ya ziada kurudisha namba kwa kweli. Sioni namna yeyote kama Arteta anaweza kubali auzwe ukizingatia msimu unaoanza una mechi nyingi za Europa, EPL, FA na kale kakombe mbuzi curling.

Ni bora Leno kwa sasa akatusaidia game za Europa au wakapokezana na chache za EPL kuliko kumpoteza Martinez aliye faya kupindukia
 
Haya ndo makombee yenuu Nachowapendeaa huwaga hamtoki kapaaaa kabisaa yani lazimaa mtabeba hata Kombe la mbuziii
 
Back
Top Bottom