Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi nyie, bila ROTATION mnadhan hao kina NASRI ni marobot wa kucheza dakika zoote mechi zote?, kama hamjui tht's wth costing Chelski now, hawana quality players wa kuziba mapengo ya kina Drogba na wenzao ambao wako off form, so its like Ancelloti hana choice nje ya walewale pensioners wake.
Tukiacha ushabiki, i have tht respect kwa Babu wangu SAF, atakupangia kikoc hapa cha wiki hii tofauti kbsa na cha last week na kikubwa KINA DELIVER....asa nyie kama wale wachezaji wenu wa buku mbilimbili kazi yao ni kucheza hatua ya tano ya Carling Cup huku EPL AW anawaweka benchi hadi pale akizidiwa, basi mwaka huu, EPL, CL na FA mtaisikia bombani. Squad depth (wth quality players) na rotation (kama yetu, sio ya mwehu Benitez), ndo road to success.
Usiku mwema watani.:whoo::whoo::whoo:


Arsenal wanataka superman! Fabregas ni majeruhi leo wanataka acheze tu........! Pengo la Alex, Ballack na Carvallo yanatukomesha
 
Ahsante Mkuu lakini tulizitaka zote tatu na tulishaziweka kibindoni lakini madudu ya AW yametuharibia siku. Wengi tungeyakubali matokeo haya kama upangaji usingekuwa mbaya. Hakukuwa na sababu yoyote ya kutowaanzisha Persi, Fabregas na Walcott. Persi na Fabregas hata kwenye substitutes hawakuwemo.

Hongera Mkuu naona leo mmeweza kuzoa points zote tatu.


Sijaangalia mechi yenu lakini nafikiri atawacost sana kwa kubadili wachezaji mara kwa mara, walioshinda mechi ya Chelsea walijenga confidence na morali hivyo alitakiwa awape waendeleze pale walipoishia....kwa maoni yangu ni bora angewapumzisha mechi inayofuata dhidi ya Birmingham weekend hii maana watakuwa na mechi kali zaidi dhidi ya Man City Jumatano. Wenger ana kikosi kikubwa lakini nafikiri hajui kupangilia rotation hasa kwenye kipindi cha mechi nyingi ndani ya muda mfupi, I hope we'll take full advantage of it.
 
Mbona nyie hamfanyi hiyo ROTATION ya watu 8 kwa mpigo????....lol

Mkuu, SAF huwa hafanyi makosa kama hayo katika mechi muhimu ama za kuendelea kushika usukani au za kuchukua usukani, ndiyo maana ana mataji mengi ukilinganisha na AW.

 
Hivi nyie, bila ROTATION mnadhan hao kina NASRI ni marobot wa kucheza dakika zoote mechi zote?, kama hamjui tht's wth costing Chelski now, hawana quality players wa kuziba mapengo ya kina Drogba na wenzao ambao wako off form, so its like Ancelloti hana choice nje ya walewale pensioners wake.
Tukiacha ushabiki, i have tht respect kwa Babu wangu SAF, atakupangia kikoc hapa cha wiki hii tofauti kbsa na cha last week na kikubwa KINA DELIVER....asa nyie kama wale wachezaji wenu wa buku mbilimbili kazi yao ni kucheza hatua ya tano ya Carling Cup huku EPL AW anawaweka benchi hadi pale akizidiwa, basi mwaka huu, EPL, CL na FA mtaisikia bombani. Squad depth (wth quality players) na rotation (kama yetu, sio ya mwehu Benitez), ndo road to success.
Usiku mwema watani.:whoo::whoo::whoo:
Mkuu acha izo nyinyi lini mumebadili wachezaji 8 katika PL? Labda kuwe na injury, hata nikiangalia kikosi chenu rotation yenu always ni wachezaji 15. Hawa akina Rio, Owen, Giggs na Scholes inaeleweka kutokana na umri lazima muzungushe venginevo Timu yenu almost ni ileile game in game out.
 
Sijaangalia mechi yenu lakini nafikiri atawacost sana kwa kubadili wachezaji mara kwa mara, walioshinda mechi ya Chelsea walijenga confidence na morali hivyo alitakiwa awape waendeleze pale walipoishia....kwa maoni yangu ni bora angewapumzisha mechi inayofuata dhidi ya Birmingham weekend hii maana watakuwa na mechi kali zaidi dhidi ya Man City Jumatano. Wenger ana kikosi kikubwa lakini nafikiri hajui kupangilia rotation hasa kwenye kipindi cha mechi nyingi ndani ya muda mfupi, I hope we'll take full advantage of it.

Ahsante sana Mkuu
 
Mbona nyie hamfanyi hiyo ROTATION ya watu 8 kwa mpigo????....lol

Sie SAF anaweza panga hvi na tuka deliver (kikosi tofaut na mech ya jana, na kama una mashaka na quality ya mchezaj tajwa nambie), Oshea Rafael), Evans/Brown (Rafa au Rio), Evra (Oshea), Fletceht, Carick, Ander (Gibson, Scholes), Nani (Park), Macheda au Obertan for Beba...apo sijakutajia kina Neville, Chicharito na Kuszak...apo vipi?
 
Hivi nyie washabiki wa arsenal uwa mnafuatilia timu yenu...Fabregas hakuweko kwenye kikosi kwa sababu ana kadi tano za njano. Wenger ana wakati mgumu mechi zote mbili zijazo ni ngumu je ata rotate ama atachezesha first eleven.
 
Sie SAF anaweza panga hvi na tuka deliver (kikosi tofaut na mech ya jana, na kama una mashaka na quality ya mchezaj tajwa nambie), Oshea Rafael), Evans/Brown (Rafa au Rio), Evra (Oshea), Fletceht, Carick, Ander (Gibson, Scholes), Nani (Park), Macheda au Obertan for Beba...apo sijakutajia kina Neville, Chicharito na Kuszak...apo vipi?
Wachezaji kwenye nyekundu ni just squad players na wala sifikiri siku kama kwenye mechi muhimu ya PL Fergie apumzishe Evra, Rio,Vidic na kuanza na Oshea - Evans - Brown na mbele kule apumzishe Rooney na Berba aanze na Macheda na Obertan.
 
Hivi nyie washabiki wa arsenal uwa mnafuatilia timu yenu...Fabregas hakuweko kwenye kikosi kwa sababu ana kadi tano za njano. Wenger ana wakati mgumu mechi zote mbili zijazo ni ngumu je ata rotate ama atachezesha first eleven.
Sote tunaelewa ishu ya Fabregas na vilevile kwamba kipindi hiki mechi zinakuja haraka 2 games in a week so mapumziko ni muhimu, lakini sio unabadili wachezaji 8? hakuna sababu kwa nini Walcoltt, RVP ama Djourou wakae benchi, ila tunafahamu Wilshere, Song na Clichy ama hata Sagna hawa ndio wanahitaji mapumziko. Suala sio kupumzisha wachezaji ila jinsi iliyotumika kupumzisha baadhi ya wachezaji.
 
images


...kiukweli, mwenendo wetu msimu huu haufurahishi kiviiiile!
anyway, excuse ya less than 48-hours break na team reshuffling inakubalika. Tutange lijalo... :disapointed:
 
images


...kiukweli, mwenendo wetu msimu huu haufurahishi kiviiiile!
anyway, excuse ya less than 48-hours break na team reshuffling inakubalika. Tutange lijalo... :disapointed:
kwa style hii mkuu ni ngumu sana kuchukua ubingwa.hata kama ku-shuffle mkuu sio wachezaji nane wote na bora ulete subs mapema unapoona meli ina zama au uanzishe vifaa vyako wakimaliza kazi mapema unawatoa waende kupumzika.
 
Hivi nyie washabiki wa arsenal uwa mnafuatilia timu yenu...Fabregas hakuweko kwenye kikosi kwa sababu ana kadi tano za njano. Wenger ana wakati mgumu mechi zote mbili zijazo ni ngumu je ata rotate ama atachezesha first eleven.

kwani tunalalamikia kuhusu fabregas ,huyo tunajua kama ana kadi tano mkuu.mtu kama nasri,walcott,van persie hapo nasri angepumzika sawa lakini walcott wala ajacheza mechi nyingi na van persie.

Mechi zinazokuja ni ngumu hata tukiwa na full squad,muhimu ilikuwa leo kuchukua point 3 hizi.
 
Sote tunaelewa ishu ya Fabregas na vilevile kwamba kipindi hiki mechi zinakuja haraka 2 games in a week so mapumziko ni muhimu, lakini sio unabadili wachezaji 8? hakuna sababu kwa nini Walcoltt, RVP ama Djourou wakae benchi, ila tunafahamu Wilshere, Song na Clichy ama hata Sagna hawa ndio wanahitaji mapumziko. Suala sio kupumzisha wachezaji ila jinsi iliyotumika kupumzisha baadhi ya wachezaji.

anashindwa kuelewa kwamba watu kama wakina walcott walikuwa wanaanza bench sana msimu huu hakutakiwa kuanza bench kabisa.
 
Sijaangalia mechi yenu lakini nafikiri atawacost sana kwa kubadili wachezaji mara kwa mara, walioshinda mechi ya Chelsea walijenga confidence na morali hivyo alitakiwa awape waendeleze pale walipoishia....kwa maoni yangu ni bora angewapumzisha mechi inayofuata dhidi ya Birmingham weekend hii maana watakuwa na mechi kali zaidi dhidi ya Man City Jumatano. Wenger ana kikosi kikubwa lakini nafikiri hajui kupangilia rotation hasa kwenye kipindi cha mechi nyingi ndani ya muda mfupi, I hope we'll take full advantage of it.
sawa sawa mkuu,rotation inakubalika lakini sio unaenda kutupa tu kundi la wachezaji ambao hawaezi kucheza pamoja .

pale kati noma kabisa tulikuwa tuna ruka ruka tu.
 
Wenger insists he was right to make the changes from the team that put in a fine display against Chelsea, and he was quick to take the positives from the result.
"Overall I think we had quite a good game and the players who came in did very well," he told Sky Sports.
"Arshavin scored a great goal, Bendtner scored a great goal and I have exactly the same confidence in every single player.
"The players who started tonight could have started against Chelsea as well. For me that doesn't make any difference and they were eight international players coming in.
"Overall we had a good game tonight. The frustrating thing is we were 2-1 up and conceded a set-piece.
"At that moment we were 11 against 10 and that is very difficult to accept, but overall it was a very hard game."
Organisation

Wenger did concede, however, that the vocal leadership and organisation must improve when defending set-pieces.
"It is (a concern) because nobody looks from the outside to take charge on the organisation side," he added.
"There is no voice when the focus drops a little bit. You don't feel that anybody takes charge on alertness and we need to communicate much better than that.
"The way we conceded this corner is of course very disappointing but you have to give credit to Wigan."
When asked if he was looking to make changes during the January transfer window, the French coach remarked: "No, we focus on the players we have and I think we have enough quality. The players are conscious of that and will rectify that.
"The quality of the game is there, the quality of the focus is there, let's keep going and I'm confident we'll have a good Christmas."


Mzee Wenger huwa hakosei hata kidogo.
 
Back
Top Bottom