Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa mara nyingine tena upangaji mbaya wa timu umetuangusha. Na hakuna wa kulaumiwa ila AW.
 
too late tunafanya mabadiliko dakika za majeruhi? sidhani kama Walcoltt ataleta impact dakika 8 ziliobakia
 
Hakika namchukia AW.............Sijui kwa nini kamuweka benchi Djourou
 
Wenger anachangia sana kutunyima ushindi.hii noma sana ,inafanya ushindi kwa chelsea usiwe na maana kabisa.
 
Marefarii wa PL hawaeleweki, sisi Fabregas alinyoosha mkono na kuunawa mpira tuliambiwa ni penalti leo sisi tumenyimwa na Dean ameona kabisa alikuwa na clear view:redfaces:
 
upumbavu mtupu ,huyu wenger hana maana kabisa.tumeshindwa kuchukua advantage kutokana na draw ya united jana kisa anapumzisha.sasa hizo mechi ngumu zinazo kuja tukishindwa kushinda si ndio tumeharibu zaidi? ujinga mtupu anatufanya tuwe wasindikizaji bila sababu.
 
2 points lost! Alaumiwe Wenger why 8 changes? ana lake jambo!!:redfaces:
 
Haya vijana, next time muwe na adabu, na tabia ya kutukana mamba wakati mto NILE hamjavuka yatawatokea puani.
Salaamu kwa mjomba Wacha1.....mkalale sasa, acheni kulialia.
 
Wenger hafai kuifundisha Arsenal..............alipaswa kuondoka siku nyingi sana,sema ndo hivyo tena............
 
Haya vijana, next time muwe na adabu, na tabia ya kutukana mamba wakati mto NILE hamjavuka yatawatokea puani.
Salaamu kwa mjomba Wacha1.....mkalale sasa, acheni kulialia.

Wenger anawasaidia sana kuwapa vikombe kijinga jinga lol.
 
Nyumba hii leo tena vipi hebu nisomeeni matokeo sina miwani..naona mnatiana vidole machoni kama kawa.lol
 
Back
Top Bottom