Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uzi huu wenyeji wamewaachia wageni watambe.
sisi tupo na tutaendelea kuwepo ,jambo la kushangaza ni kuwa sisi tumecheza juzi na tumefungwa tukajadili hapa yameisha,
jana wamecheza wengine cha kushangaza baada wakajadili matokeo ya mechi zao katika nyuzi zao wanakuja kujadili hapa hahahahahahahahha
sisi hatuwezi kimbia maana hakuna timu ambayo haijawahi kupitia magumu,kuna timu mpaka zilishawahi kushuka daraja kabisa,kuna timu zina umri wa mtu mzima hawana kombe ,kuna timu hawajui radha ya ubingwa wa EPL ,kuna timu zimekaa miaka 50 hazijawahi beba kombe........sisi hata 20 yrs bado mnakakamaza mafuvu.......
mtuache
 
sisi tupo na tutaendelea kuwepo ,jambo la kushangaza ni kuwa sisi tumecheza juzi na tumefungwa tukajadili hapa yameisha,
jana wamecheza wengine cha kushangaza baada wakajadili matokeo ya mechi zao katika nyuzi zao wanakuja kujadili hapa hahahahahahahahha
sisi hatuwezi kimbia maana hakuna timu ambayo haijawahi kupitia magumu,kuna timu mpaka zilishawahi kushuka daraja kabisa,kuna timu zina umri wa mtu mzima hawana kombe ,kuna timu hawajui radha ya ubingwa wa EPL ,kuna timu zimekaa miaka 50 hazijawahi beba kombe........sisi hata 20 yrs bado mnakakamaza mafuvu.......
mtuache
Hahahaha ni kweli mkuu..sisi ndo die fans wa arsenal tuliobakia apa ...wacha tuendelee kufarijiana maana hakuna namna sasa...gemu zote zilizobaki tunaeza poteza zote muhimu tusishuke daraja tu ..ata tukishuka basi tuhakikishe musimu ujao chap tu mapema tunarudi kwa kishindo na kubeba epl..

CFC
 
jamani mbona mnakuwa wagumu kuelewa vitu rahisi?haya ndio madhara ya kurukia jambo pasipo kuelewa ,
alichomaanisha jamaa ni kuwa
Sane na Raheem walitolea ufafanuzi uwezo wa Arteta walipopewa nafasi ya kufanya hivyo,hao wawili kwa pamoja waliprove/thibitisha kuwa Arteta ni kocha mzuri kwa namna ambavyo walivyokuwa nae katika viwanja vya mazoezi kule Etihad
 
Hahahaha ni kweli mkuu..sisi ndo die fans wa arsenal tuliobakia apa ...wacha tuendelee kufarijiana maana hakuna namna sasa...gemu zote zilizobaki tunaeza poteza zote muhimu tusishuke daraja tu ..ata tukishuka basi tuhakikishe musimu ujao chap tu mapema tunarudi kwa kishindo na kubeba epl..

CFC
London is red
 
Screenshot_20200622-064549.jpg
 
sisi tupo na tutaendelea kuwepo ,jambo la kushangaza ni kuwa sisi tumecheza juzi na tumefungwa tukajadili hapa yameisha,
jana wamecheza wengine cha kushangaza baada wakajadili matokeo ya mechi zao katika nyuzi zao wanakuja kujadili hapa hahahahahahahahha
sisi hatuwezi kimbia maana hakuna timu ambayo haijawahi kupitia magumu,kuna timu mpaka zilishawahi kushuka daraja kabisa,kuna timu zina umri wa mtu mzima hawana kombe ,kuna timu hawajui radha ya ubingwa wa EPL ,kuna timu zimekaa miaka 50 hazijawahi beba kombe........sisi hata 20 yrs bado mnakakamaza mafuvu.......
mtuache
zimeanza kauli za kishujaa sasa
 
Back
Top Bottom