DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
naamini mazungumzo yalikuwa yashafanywa tayari ,na huyu atajirudi tu cha msingi bodi iwe active katika dirisha hili ili kuboresha kikosi chetuDavid luiz ?????mamamae![]()
naamini mazungumzo yalikuwa yashafanywa tayari ,na huyu atajirudi tu cha msingi bodi iwe active katika dirisha hili ili kuboresha kikosi chetuDavid luiz ?????mamamae![]()
Aaron mie nimeona wote wamepewa 1 year! Au chanzo changu kimeniongopea 🌚David Ornstein confirms that:
•David Luiz has signed a 1-year contract at Arsenal.
•Cedric Soares has signed a 4-year contract at Arsenal.
•Pablo Mari has signed a 4 year contract at Arsenal.
Arsenal fans, what are your thoughts on this?
#AFC
Aaron mie nimeona wote wamepewa 1 year! Au chanzo changu kimeniongopea 🌚
Itakuwaje active kama mtu ambaye anatoa maboko bado anaongezewa mkataba na anaendelea kula mshahara?naamini mazungumzo yalikuwa yashafanywa tayari ,na huyu atajirudi tu cha msingi bodi iwe active katika dirisha hili ili kuboresha kikosi chetu
nilichokiona mimi hapo ni kuwa ishu ya mkataba wa Luiz ilishaongelewa na kufikiwa maamuzi kabla ya hili boko lililowatia watu hasira dhidi ya man city,na uongozi umeshisndwa kusitisha kusitisha makubaliano kwasababu ya kosa hilo , cha msingi hapo ni uongozi kutoa fungu litakalosaidia kuimarisha kikosi basi, maana maeneo ya kuongezwa watu mbona yapo mengi tu.Itakuwaje active kama mtu ambaye anatoa maboko bado anaongezewa mkataba na anaendelea kula mshahara?
Hapa hamna ujanja usitegemee mambo mapya Dully JR
Matteo huyo anatakiwa acheze Carabao,ila ngoja tusubiri msimu uishe tuanze upya kabisa this season umekuwa ni disaster mnonilichokiona mimi hapo ni kuwa ishu ya mkataba wa Luiz ilishaongelewa na kufikiwa maamuzi kabla ya hili boko lililowatia watu hasira dhidi ya man city,na uongozi umeshisndwa kusitisha kusitisha makubaliano kwasababu ya kosa hilo , cha msingi hapo ni uongozi kutoa fungu litakalosaidia kuimarisha kikosi basi, maana maeneo ya kuongezwa watu mbona yapo mengi tu.
Naamini lazma watafanya maboresho eneo la ulinzi na kiungo maana Dani ataondoka mwisho wa msimu,Mustafi nadhani ataekwa sokoni, pia sitarajii kuwaona kina Matteo katika 1st 11 ya eneo la ulinzi msimu ujao,tukae kimya tusubiri dirisha litakapofunguliwa ndio tutajua mwelekeo halisi wa klabu,
Kitu ambacho kinachonifanya niwe na imani na Mikel ni uthubutu wake wa kuwaambia uongozi waziwazi kuwa timu inahitaji kuwa active katika dirisha la usajili ,tofauti na watangulizi wake ambao walikuwa wanajifanya wanaweza kukomaa na wachezaji waliopo............
dirisha likifungwa hapa tutapata dira.
sio mbaya sana kwasababu Luiz anakwenda kuwa backup na sio 1st eleven naamini,japokuwa jamaa katoa maboko lakini ubovu wa timu yetu nao unachangia kwa kiasi kikubwa kwa sasa.
Pablo na Cedric sina shaka nao naamini watatusaidia kama wapo vizuri kiafya maana rekodi ya majeraha ndio inanipa wasiwasi,naamini dirisha hili tutakuwa active sokoni kuhakikisha tunaziba gaps na kuboresha maeneo yenye mapungufu hasa katika idara ya ulinzi na kiungo,
#HATUTOKI #HATUHAMI
Come On You Gunnerz.
sio mbaya sana kwasababu Luiz anakwenda kuwa backup na sio 1st eleven naamini,japokuwa jamaa katoa maboko lakini ubovu wa timu yetu nao unachangia kwa kiasi kikubwa kwa sasa.
Pablo na Cedric sina shaka nao naamini watatusaidia kama wapo vizuri kiafya maana rekodi ya majeraha ndio inanipa wasiwasi,naamini dirisha hili tutakuwa active sokoni kuhakikisha tunaziba gaps na kuboresha maeneo yenye mapungufu hasa katika idara ya ulinzi na kiungo,
#HATUTOKI #HATUHAMI
Come On You Gunnerz.
Kabisa mkuu sio kwa mtazamo wako tu ni mtazamo wa mashabiki wengi ila Pepe ni wakumpa muda muda kidogo, lakini Lacazette,Sokratis dahhh wametuangusha sana,Unajua kilichoicost timu ni kuachia wachezaji wake kirahisi sana ambao wangekuwa tegemeo leo hii tena pasipo kuwa na replacement ya uhakika,naamini kabisa management ilifail kwenye mipango,Nimependa hapo kwamba mtakuwa active sokoni.
Nikiangalia recent signings za Arsenal, naweza sema ni Auba peke yake amefikia matarajio. Laca, Pepe na wenzake wote hawajafikia matarajio (kwa mtazamo wangu).
Sioni kama majira haya ya usajili yatakuwa na kipya kwenu.
Manyumbu mmekuwa wa kushangilia nafasi ya 5! Kweli dunia inazunguka kasi sana.
nimependa ulivyoongea kwa uchungu sana mkuu 3doors, ni kweli tupu bila kupepesa.UKWELI NI KWAMBA ARTETA KAZI YAKE YA UKOCHA ARSENAL IMEINGILIWA NA UONGOZI WA CLUB. ARTETA ANAFANYA KAZI CHINI YA MAELEKEZO YA VIONGOZI WA CLUB.
UJIO WA ARTETA TULIPATA MATUMAINI KWAMBA INAENDA KUJENGWA ARSENAL MPYA YENYE WACHEZAJI WA VIWANGO VIKUBWA.
LAKINI HUU MWELEKEO TUNAOKWENDA NAIONA ARSENAL NI ILE ILE ISIYOKUWA NA MALENGO YA KUJENGA TIMU NA KUTWAA MAKOMBE BALI NI ILE ARSENAL INAYOPAMBANIA TOP 4 ISHIRIKI MASHINDANO YA UEFA
KITUKO KINGINE CLUB INASHINDWA KISAJILI WACHEZAJI WA VIWANGO VYA JUU BALI INAENDELEA KUKUMBATIA MATAKATAKA.
UONGOZI HAKUNA CHA MAANA WANACHOJADILI ZAIDI YA PUMBA TUU NA KULIPANA MISHAHARA MIKUBWA NA KUISHIA KUIJEUZA ARSENAL UNDERDOG KWA TIMU ZA TOP 6.
Kabisa mkuu sio kwa mtazamo wako tu ni mtazamo wa mashabiki wengi ila Pepe ni wakumpa muda muda kidogo, lakini Lacazette,Sokratis dahhh wametuangusha sana,Unajua kilichoicost timu ni kuachia wachezaji wake kirahisi sana ambao wangekuwa tegemeo leo hii tena pasipo kuwa na replacement ya uhakika,naamini kabisa management ilifail kwenye mipango,
Mshabiki wa Arsenal yeyote anajua hii kero hivi muda ambao tuliosota kuwavumilia kina Ramsey mpaka wanafikia kuwa wachezaji wakubwa wa kutegemewa na klabu ndipo klabu inamwacha tena bure, alafu replacement yake unaleta Guendoz na kutegemea kina Wilson,Emile Smith Rowe na Nketia!!!!!!
Najipa imani kupitia Arteta dirisha hili tutakuwa active tu,anatia matumaini kuwa mara kwa mara anasikika akiubust uongozi juu ya maboresho ya kikosi maana kashaonja kuwa katika timu yenye wachezaji wenye high profile,na kuna taarifa kuwa anataka kumoffload Guendoz nafikiri sio yeye tu peke yake fagio litawahusu wengi ila huwezi ondoa timu nzima lazima uwapunguze kidogokidogo
hahahahahahahahah watu washasahau zile seasons ambazo walikuwa wanakesha kwenye mid-table zone dah,sawa sisi tunakuja mdogomdgo ila kaa ujue kuna majitu yalikaa ni 50years huko madongo poromokaSawa, sisi tunaendelea kuwapmbeeni njaa tu.
Mwendelee kuikosa top 4 kwa miaka kadhaa hivi huku tukiendelea kukusanya makombe ya PL.
Mwaka huu mnatimiza miaka 16, mdogo mdogo itafika 20.
Tulia wewe Kijana.....LIVERPOOL FC Leo ni mabingwa rasmi.hahahahahahahahah watu washasahau zile seasons ambazo walikuwa wanakesha kwenye mid-table zone dah,sawa sisi tunakuja mdogomdgo ila kaa ujue kuna majitu yalikaa ni 50years huko madongo poromoka
kwani nimebisha mkuu,sema huku ukijipigapiga kifuani "SISI LIVERPOOL TUNAKARIBIA KUBEBA UBINGWA WA KWANZA WA EPL TOKA DUNIA IUMBWE,NA TUTAJITAHIDI KUWAFUKUZIA WALIOTANGULIA ILI TUWE NAO SAWA,HAIJALISHI TUTATUMIA MIAKA 90 AU 180"Tulia wewe Kijana.....LIVERPOOL FC Leo ni mabingwa rasmi.