Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

David Ornstein confirms that:
•David Luiz has signed a 1-year contract at Arsenal.
•Cedric Soares has signed a 4-year contract at Arsenal.
•Pablo Mari has signed a 4 year contract at Arsenal.

Arsenal fans, what are your thoughts on this?

#AFC
Aaron mie nimeona wote wamepewa 1 year! Au chanzo changu kimeniongopea 🌚
 
Aaron mie nimeona wote wamepewa 1 year! Au chanzo changu kimeniongopea 🌚

We are delighted to confirm that defenders David Luiz, Pablo Mari and Cedric Soares have agreed contracts to stay with us beyond the end of this season.

In addition midfielder Dani Ceballos has extended his loan from Real Madrid until the end of the current 2019/20 season.

David Luiz, who signed from Chelsea last summer, has agreed a new one-year deal. Pablo will complete his formal move from Flamengo on a long-term deal when the transfer window opens next month. Cedric will also join us permanently on a long-term deal from Southampton.

Technical director Edu said: “I am really happy that we will have these players in our squad for the future. They have been part of the long-term technical plan Mikel and I have developed. They bring the right balance to our squad.

“David is a really important player for us. He has played most of our matches this season and has been important for the team. His passing, his communication with the team on and off the pitch. He helps everyone.

“With Pablo we’re all disappointed he got injured at Manchester City. Since Mikel arrived here he was asking for a central defender who was left-footed. We were really pleased with Pablo - his behaviour, the way he is training, his mentality and his quality. Unfortunately, he has that injury but of course we are really happy to keep him for the future.

“Cedric is also going to be an important player. He has been unlucky with the injuries but he is close to being ready and gives us more strength in the right-back position. We’re also pleased Dani will finish the season here. He is making a good contribution and we look forward to him having a strong finish to the season.”

The deals are subject to the completion of regulatory processes.


source:Official Arsenal website.
 
naamini mazungumzo yalikuwa yashafanywa tayari ,na huyu atajirudi tu cha msingi bodi iwe active katika dirisha hili ili kuboresha kikosi chetu
Itakuwaje active kama mtu ambaye anatoa maboko bado anaongezewa mkataba na anaendelea kula mshahara?

Hapa hamna ujanja usitegemee mambo mapya Dully JR
Pia nakubaliana na wewe pia kwenye timing hapo wakati wa mazungumzo alikuwa bado hajatibua watu after game na Mancity
 
Itakuwaje active kama mtu ambaye anatoa maboko bado anaongezewa mkataba na anaendelea kula mshahara?

Hapa hamna ujanja usitegemee mambo mapya Dully JR
nilichokiona mimi hapo ni kuwa ishu ya mkataba wa Luiz ilishaongelewa na kufikiwa maamuzi kabla ya hili boko lililowatia watu hasira dhidi ya man city,na uongozi umeshisndwa kusitisha kusitisha makubaliano kwasababu ya kosa hilo , cha msingi hapo ni uongozi kutoa fungu litakalosaidia kuimarisha kikosi basi, maana maeneo ya kuongezwa watu mbona yapo mengi tu.
Naamini lazma watafanya maboresho eneo la ulinzi na kiungo maana Dani ataondoka mwisho wa msimu,Mustafi nadhani ataekwa sokoni, pia sitarajii kuwaona kina Matteo katika 1st 11 ya eneo la ulinzi msimu ujao,tukae kimya tusubiri dirisha litakapofunguliwa ndio tutajua mwelekeo halisi wa klabu,

Kitu ambacho kinachonifanya niwe na imani na Mikel ni uthubutu wake wa kuwaambia uongozi waziwazi kuwa timu inahitaji kuwa active katika dirisha la usajili ,tofauti na watangulizi wake ambao walikuwa wanajifanya wanaweza kukomaa na wachezaji waliopo............
dirisha likifungwa hapa tutapata dira.
 
nilichokiona mimi hapo ni kuwa ishu ya mkataba wa Luiz ilishaongelewa na kufikiwa maamuzi kabla ya hili boko lililowatia watu hasira dhidi ya man city,na uongozi umeshisndwa kusitisha kusitisha makubaliano kwasababu ya kosa hilo , cha msingi hapo ni uongozi kutoa fungu litakalosaidia kuimarisha kikosi basi, maana maeneo ya kuongezwa watu mbona yapo mengi tu.
Naamini lazma watafanya maboresho eneo la ulinzi na kiungo maana Dani ataondoka mwisho wa msimu,Mustafi nadhani ataekwa sokoni, pia sitarajii kuwaona kina Matteo katika 1st 11 ya eneo la ulinzi msimu ujao,tukae kimya tusubiri dirisha litakapofunguliwa ndio tutajua mwelekeo halisi wa klabu,

Kitu ambacho kinachonifanya niwe na imani na Mikel ni uthubutu wake wa kuwaambia uongozi waziwazi kuwa timu inahitaji kuwa active katika dirisha la usajili ,tofauti na watangulizi wake ambao walikuwa wanajifanya wanaweza kukomaa na wachezaji waliopo............
dirisha likifungwa hapa tutapata dira.
Matteo huyo anatakiwa acheze Carabao,ila ngoja tusubiri msimu uishe tuanze upya kabisa this season umekuwa ni disaster mno
 
sio mbaya sana kwasababu Luiz anakwenda kuwa backup na sio 1st eleven naamini,japokuwa jamaa katoa maboko lakini ubovu wa timu yetu nao unachangia kwa kiasi kikubwa kwa sasa.
Pablo na Cedric sina shaka nao naamini watatusaidia kama wapo vizuri kiafya maana rekodi ya majeraha ndio inanipa wasiwasi,naamini dirisha hili tutakuwa active sokoni kuhakikisha tunaziba gaps na kuboresha maeneo yenye mapungufu hasa katika idara ya ulinzi na kiungo,


#HATUTOKI #HATUHAMI

Come On You Gunnerz.

GUNNERS YETU WENYEW TUMEIPENDA WENYEW

#COYG
 
UKWELI NI KWAMBA ARTETA KAZI YAKE YA UKOCHA ARSENAL IMEINGILIWA NA UONGOZI WA CLUB. ARTETA ANAFANYA KAZI CHINI YA MAELEKEZO YA VIONGOZI WA CLUB.

UJIO WA ARTETA TULIPATA MATUMAINI KWAMBA INAENDA KUJENGWA ARSENAL MPYA YENYE WACHEZAJI WA VIWANGO VIKUBWA.

LAKINI HUU MWELEKEO TUNAOKWENDA NAIONA ARSENAL NI ILE ILE ISIYOKUWA NA MALENGO YA KUJENGA TIMU NA KUTWAA MAKOMBE BALI NI ILE ARSENAL INAYOPAMBANIA TOP 4 ISHIRIKI MASHINDANO YA UEFA

KITUKO KINGINE CLUB INASHINDWA KISAJILI WACHEZAJI WA VIWANGO VYA JUU BALI INAENDELEA KUKUMBATIA MATAKATAKA.

UONGOZI HAKUNA CHA MAANA WANACHOJADILI ZAIDI YA PUMBA TUU NA KULIPANA MISHAHARA MIKUBWA NA KUISHIA KUIJEUZA ARSENAL UNDERDOG KWA TIMU ZA TOP 6.
 
sio mbaya sana kwasababu Luiz anakwenda kuwa backup na sio 1st eleven naamini,japokuwa jamaa katoa maboko lakini ubovu wa timu yetu nao unachangia kwa kiasi kikubwa kwa sasa.
Pablo na Cedric sina shaka nao naamini watatusaidia kama wapo vizuri kiafya maana rekodi ya majeraha ndio inanipa wasiwasi,naamini dirisha hili tutakuwa active sokoni kuhakikisha tunaziba gaps na kuboresha maeneo yenye mapungufu hasa katika idara ya ulinzi na kiungo,


#HATUTOKI #HATUHAMI

Come On You Gunnerz.

Nimependa hapo kwamba mtakuwa active sokoni.

Nikiangalia recent signings za Arsenal, naweza sema ni Auba peke yake amefikia matarajio. Laca, Pepe na wenzake wote hawajafikia matarajio (kwa mtazamo wangu).

Sioni kama majira haya ya usajili yatakuwa na kipya kwenu.
 
Nimependa hapo kwamba mtakuwa active sokoni.

Nikiangalia recent signings za Arsenal, naweza sema ni Auba peke yake amefikia matarajio. Laca, Pepe na wenzake wote hawajafikia matarajio (kwa mtazamo wangu).

Sioni kama majira haya ya usajili yatakuwa na kipya kwenu.
Kabisa mkuu sio kwa mtazamo wako tu ni mtazamo wa mashabiki wengi ila Pepe ni wakumpa muda muda kidogo, lakini Lacazette,Sokratis dahhh wametuangusha sana,Unajua kilichoicost timu ni kuachia wachezaji wake kirahisi sana ambao wangekuwa tegemeo leo hii tena pasipo kuwa na replacement ya uhakika,naamini kabisa management ilifail kwenye mipango,
Mshabiki wa Arsenal yeyote anajua hii kero hivi muda ambao tuliosota kuwavumilia kina Ramsey mpaka wanafikia kuwa wachezaji wakubwa wa kutegemewa na klabu ndipo klabu inamwacha tena bure, alafu replacement yake unaleta Guendoz na kutegemea kina Wilson,Emile Smith Rowe na Nketia!!!!!!
Najipa imani kupitia Arteta dirisha hili tutakuwa active tu,anatia matumaini kuwa mara kwa mara anasikika akiubust uongozi juu ya maboresho ya kikosi maana kashaonja kuwa katika timu yenye wachezaji wenye high profile,na kuna taarifa kuwa anataka kumoffload Guendoz nafikiri sio yeye tu peke yake fagio litawahusu wengi ila huwezi ondoa timu nzima lazima uwapunguze kidogokidogo
 
Timu ina kikosi finyu na dhaifu sana kwasasa ndio maana Pepe nashindwa kumlaumu kwa sasa maana kwanza ni mgeni katika ligi, lakini hapo alivyofika tu watu wakamfanya kuwa tegemeo moja kwa moja kitu ambacho sio rahisi maana wachezaji wengine inawachukua muda sana atleast msimu mzima au miwili kabisa ili aanze kutegemewa, na wapo ambao wanafika tu na kuuwasha moto .
Wachezaji ambao walifaa kutegemewa kwa sasa wametuangusha,
tumemtoa Sanchez replacement yake Mkhitaryan amefail
Giroud kaenda kaja Laca amefail
Ramsey dah
 
MBONA KIMYA HAPA..
Screenshot_20200624-204534_All%20Goals.jpg
 
UKWELI NI KWAMBA ARTETA KAZI YAKE YA UKOCHA ARSENAL IMEINGILIWA NA UONGOZI WA CLUB. ARTETA ANAFANYA KAZI CHINI YA MAELEKEZO YA VIONGOZI WA CLUB.

UJIO WA ARTETA TULIPATA MATUMAINI KWAMBA INAENDA KUJENGWA ARSENAL MPYA YENYE WACHEZAJI WA VIWANGO VIKUBWA.

LAKINI HUU MWELEKEO TUNAOKWENDA NAIONA ARSENAL NI ILE ILE ISIYOKUWA NA MALENGO YA KUJENGA TIMU NA KUTWAA MAKOMBE BALI NI ILE ARSENAL INAYOPAMBANIA TOP 4 ISHIRIKI MASHINDANO YA UEFA

KITUKO KINGINE CLUB INASHINDWA KISAJILI WACHEZAJI WA VIWANGO VYA JUU BALI INAENDELEA KUKUMBATIA MATAKATAKA.

UONGOZI HAKUNA CHA MAANA WANACHOJADILI ZAIDI YA PUMBA TUU NA KULIPANA MISHAHARA MIKUBWA NA KUISHIA KUIJEUZA ARSENAL UNDERDOG KWA TIMU ZA TOP 6.
nimependa ulivyoongea kwa uchungu sana mkuu 3doors, ni kweli tupu bila kupepesa.
 
Kabisa mkuu sio kwa mtazamo wako tu ni mtazamo wa mashabiki wengi ila Pepe ni wakumpa muda muda kidogo, lakini Lacazette,Sokratis dahhh wametuangusha sana,Unajua kilichoicost timu ni kuachia wachezaji wake kirahisi sana ambao wangekuwa tegemeo leo hii tena pasipo kuwa na replacement ya uhakika,naamini kabisa management ilifail kwenye mipango,
Mshabiki wa Arsenal yeyote anajua hii kero hivi muda ambao tuliosota kuwavumilia kina Ramsey mpaka wanafikia kuwa wachezaji wakubwa wa kutegemewa na klabu ndipo klabu inamwacha tena bure, alafu replacement yake unaleta Guendoz na kutegemea kina Wilson,Emile Smith Rowe na Nketia!!!!!!
Najipa imani kupitia Arteta dirisha hili tutakuwa active tu,anatia matumaini kuwa mara kwa mara anasikika akiubust uongozi juu ya maboresho ya kikosi maana kashaonja kuwa katika timu yenye wachezaji wenye high profile,na kuna taarifa kuwa anataka kumoffload Guendoz nafikiri sio yeye tu peke yake fagio litawahusu wengi ila huwezi ondoa timu nzima lazima uwapunguze kidogokidogo

Sawa, sisi tunaendelea kuwapmbeeni njaa tu.

Mwendelee kuikosa top 4 kwa miaka kadhaa hivi huku tukiendelea kukusanya makombe ya PL.

Mwaka huu mnatimiza miaka 16, mdogo mdogo itafika 20.
 
Sawa, sisi tunaendelea kuwapmbeeni njaa tu.

Mwendelee kuikosa top 4 kwa miaka kadhaa hivi huku tukiendelea kukusanya makombe ya PL.

Mwaka huu mnatimiza miaka 16, mdogo mdogo itafika 20.
hahahahahahahahah watu washasahau zile seasons ambazo walikuwa wanakesha kwenye mid-table zone dah,sawa sisi tunakuja mdogomdgo ila kaa ujue kuna majitu yalikaa ni 50years huko madongo poromoka
 
Tulia wewe Kijana.....LIVERPOOL FC Leo ni mabingwa rasmi.
kwani nimebisha mkuu,sema huku ukijipigapiga kifuani "SISI LIVERPOOL TUNAKARIBIA KUBEBA UBINGWA WA KWANZA WA EPL TOKA DUNIA IUMBWE,NA TUTAJITAHIDI KUWAFUKUZIA WALIOTANGULIA ILI TUWE NAO SAWA,HAIJALISHI TUTATUMIA MIAKA 90 AU 180"
 
Pedro will join AS Roma as a free agent at the end of the season. Total agreement reached - he’s gonna leave Chelsea. Here we go! #Roma #CFC #Chelsea #transfers
 
Back
Top Bottom