Heeeee!hatuna kocha(hapa tukubali tumepigwa),hatuna wachezaji,hatuna direction,tumelogwa!!!!!!!!!Kwa mechi zilizobakia naona tutafanya vibaya sana tuna game nyingi ambazo naona hatutapata matokeo chanya, tatizo la arsenal ni wachezaji ila mostly line ups za makocha wetu tangia kipindi cha mwisho cha Wenger hadi sasa huwa ni za utani kwa sasa Arsenal haina dira inahitaji kuombewa dua nzito
View attachment 1482070
Mwendo unaendelea, poleni sana wana arsenalTwende kaziView attachment 1482124
Tayari
Sisi ndio tulianza kufunga kaka jiulize baada ya hapo tukafanya nini?ni yale yaleHuyu refa chocco kweli yan,sasa add time imeisha anaendelea kuchezesha tu
Mlikuwa mmelizika na drawHuyu refa chocco kweli yan,sasa add time imeisha anaendelea kuchezesha tu
Duuuh tumepigwa ila siyo mbaya ligi bado mbichi, tutashinda mechi zijazo tushiriki UEFA.
Mkuu shida wachezaji wetu,Brighton tunashindwa kumfunga goli paka Dakika ya 60 kweli?Huyu refa chocco kweli yan,sasa add time imeisha anaendelea kuchezesha tu




Kocha muache!Heeeee!hatuna kocha(hapa tukubali tumepigwa),hatuna wachezaji,hatuna direction,tumelogwa!!!!!!!!!
Watu wanastress za maisha mzee, acha wazimalizie humuHaters wana uchu na huu uzi.
Wanaumendea na kuulia timing tu!

Hii familia inahitaji tuite mataalamu apige manyanga labda Kuna mtu analoga kila cku msibaAisee, yaani hata jinsi ya kuwacheka hakuna.
Hili turubai mjue na wenzenu wanalihitaji, siyo ling'ang'anie kwenu tu.
Msiba unaofata mtalilipia wenyewe.
Tunafungwa tena, wachezaji hawako motivated, wengi wanamentality ya midtable team, afu utashangaa Raul anaenda tafuta mchezaji Reims au Nice huko, utachoka mwenyeweNext match tena Away na Southampton![]()
