Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huu msimu timu yenu ni kimeo. Hivyo kuwaza kwamba eti mngefika final mlikuwa mnazingua.

At least mwaka jana mlikuwa na kocha ambaye alishachukua hata hilo kombe mara kadhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa na wewe unategemea utachukua kombe la UEFA kirahisi?! we msimu huu uchukui chochote na utaangukia nafasi ya 7 au 8 EPL. unadhani nafasi 4 utabaki nayo mpaka msimu huu uishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raul atuongezee wachezaji kama wanne, beki mmoja World class wa kupartner na Mustafi pale kwenye backline yetu, Pia lacazette namkubali sana huyu jamaa najua kweli kuna circumstances anapitia ila asiuzwe, Auba naona yupo tiyari kufia Arsenal kama Ozil, huyu sio snake kama V.persie, kama angekuwa wakuondoka leo Auba angeanza maringo kama ya Sanchez, ila muhimu watuongezee pale mbele wachezaji wazuri wakuongeza nguvu kwa hawa jamaa,kuna Wachezaji wengi tu kama vile Jack Grealish washaonesha mapenzi yao na Gunners na wapo peak sana, all in all confidence ya pepe imerudi, shida yake ni kuwa Clinical tu infront of the goal, Hii Arsenal naipenda na inahitaji marekebisho kidogo tu wala siyo major overhaul kama wanavyosema wengine.Bellerin ajiangalie sana, anaweza kuishia kwenye mitindo kama uchezaji wa Soares utadeliver hapo Arsenal, to be honest Belle is our weak link toka karudi injury, ni bora Maitland niles.

#coyg
 
Sasa unatuhesabia bure, tangu lini ngamia akapita kwenye tundu la sindano. Mechi ilishakwisha stanford. Tunaenda kukamilisha ratiba

Sent using Cash Money Wings
Ina-depend sasa hiyo ratiba mnakamilishaje, ila naona mnaenda kuzuia idadi ya magoli tu, maana jamaa wanasifa wale, mkienda hovyo wanawawekea Historia mpya
 
Raul atuongezee wachezaji kama wanne, beki mmoja World class wa kupartner na Mustafi pale kwenye backline yetu, Pia lacazette namkubali sana huyu jamaa najua kweli kuna circumstances anapitia ila asiuzwe, Auba naona yupo tiyari kufia Arsenal kama Ozil, huyu sio snake kama V.persie, kama angekuwa wakuondoka leo Auba angeanza maringo kama ya Sanchez, ila muhimu watuongezee pale mbele wachezaji wazuri wakuongeza nguvu kwa hawa jamaa,kuna Wachezaji wengi tu kama vile Jack Grealish washaonesha mapenzi yao na Gunners na wapo peak sana, all in all confidence ya pepe imerudi, shida yake ni kuwa Clinical tu infront of the goal, Hii Arsenal naipenda na inahitaji marekebisho kidogo tu wala siyo major overhaul kama wanavyosema wengine.Bellerin ajiangalie sana, anaweza kuishia kwenye mitindo kama uchezaji wa Soares utadeliver hapo Arsenal, to be honest Belle is our weak link toka karudi injury, ni bora Maitland niles.

#coyg
Nakubaliana na wewe 100%....Bellerin kashuka kiwango sana... Kwa upande wa defence jana ndo kaperform vibaya kuliko wote.
 
Huko page za Arsenal watu wamevurugwa sana ,sijui kama Leo kuna mchezaji wa Arsenal atapost chochote kile naona wote kimya kimetanda,wametuangusha sana sana watu hatulali tunaangalia game huku tunajiamini tunashinda kwa mechi ya jana sikutegemea kama tutafungwa sikutegemea nlikuwa nasubiri round ya 16 nacheza na nani tena nlikuwa namtaka Manchester United ila kilichotokea namuachia Mungu na nlikuwa nimejipa 80%ya kubeba Europa mpaka sasa siamini kama tulicheza jana natamani niamke upya nione kuna game Emirates ya marudiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko page za Arsenal watu wamevurugwa sana ,sijui kama Leo kuna mchezaji wa Arsenal atapost chochote kile naona wote kimya kimetanda,wametuangusha sana sana watu hatulali tunaangalia game huku tunajiamini tunashinda kwa mechi ya jana sikutegemea kama tutafungwa sikutegemea nlikuwa nasubiri round ya 16 nacheza na nani tena nlikuwa namtaka Manchester United ila kilichotokea namuachia Mungu na nlikuwa nimejipa 80%ya kubeba Europa mpaka sasa siamini kama tulicheza jana natamani niamke upya nione kuna game Emirates ya marudiano

Sent using Jamii Forums mobile app
Auba nimeona kapost kuonesha mapenzi yake kwa hii timu,Afu mkuu unaongeleaje Auba kukosa lile goli jana,mimi paka sahivi naliwaza natamani arudie kushoot tena
 
sasa na wewe unategemea utachukua kombe la UEFA kirahisi?! we msimu huu uchukui chochote na utaangukia nafasi ya 7 au 8 EPL. unadhani nafasi 4 utabaki nayo mpaka msimu huu uishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nmesema ntakuchukua kombe uefa.

Halafu unakwama wapi sijui. Hivi bayern unaifananisha vipi na hicho kitimu cha ugiriki?

Mimi nikimaliza nafasi ya 7 au 8 basi wewe utamaliza relegation zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[Q
Auba nimeona kapost kuonesha mapenzi yake kwa hii timu,Afu mkuu unaongeleaje Auba kukosa lile goli jana,mimi paka sahivi naliwaza natamani arudie kushoot tena

UOTE="Will jr, post: 34516594, member: 495851"]
Auba nimeona kapost kuonesha mapenzi yake kwa hii timu,Afu mkuu unaongeleaje Auba kukosa lile goli jana,mimi paka sahivi naliwaza natamani arudie kushoot tena[]
[/QUOTE]
Nimeuona....ni ujumbe mzuri kwa mashabiki...kanifurahisha alivyomalizia.
Halafu mzee mara ya pili unaongelea ile chance naona hujaamini bado... Hata mimi nilibaki kinywa wazi nikishangaa mnyama kakosaje pale.
 
Back
Top Bottom