Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu mimi sijaelewa kwanini arsenal ametoka wakati agg ni mbili kwa mbil na huku arsenal ana goal moja la ugenini
 
Hatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usiiteme moja kwa moja tu
 
Hatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kuwa arsenal imejifia. Kwani kupoteza mchezo wa jana ndo kujifia? Mbona timu ilicheza vizuri tu sema basi ni mipango ili-fail na huo ndo mchezo wenyewe kwamba ukifail mwenzako anafanya vizuri. Yote kwa yote timu inazidi kujengeka ukilinganisha na siku kadhaa zilizopita huko nyuma. Vinginevyo lbd km wewe sio shabiki wa arsenal ila unajificha kwa kujiita mwana-arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arteta katuzoeza vibaya huku kushindashinda..... Kwa comments hizi za mashabiki jf na mitandao mingine,wacha tupigwe tu turudi tulipotoka ndo tutapata akili.
 
Tatizo mnapiga sana umbea kwenye jukwaa la chelsea. Ona sasa mmetolewa na kitimu cha ugiriki huko. Hadi aibu.
Hatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arseshit tatizo mnapiga sana mdomo.
Hatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli kuwa arsenal imejifia. Kwani kupoteza mchezo wa jana ndo kujifia? Mbona timu ilicheza vizuri tu sema basi ni mipango ili-fail na huo ndo mchezo wenyewe kwamba ukifail mwenzako anafanya vizuri. Yote kwa yote timu inazidi kujengeka ukilinganisha na siku kadhaa zilizopita huko nyuma. Vinginevyo lbd km wewe sio shabiki wa arsenal ila unajificha kwa kujiita mwana-arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina la kuongeza ila ukweli unaonekana arsenal yetu inavyozidi kuporomoka siku zote ukweli unajitenga na uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom