Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,191
- 21,524
Olympiakos anayo mawili ya ugeniniWakuu mimi sijaelewa kwanini arsenal ametoka wakati agg ni mbili kwa mbil na huku arsenal ana goal moja la ugenini
Kwa nini usiiteme moja kwa moja tuHatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yea mimi ni shabiki wa arsenalYani kumbe we jamaa ni shabiki wa Arsenal. Unavyokujaga jukwaa letu nikajua unashabikia timu ya maana kweli.
Kumbe Arsenal
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kuwa arsenal imejifia. Kwani kupoteza mchezo wa jana ndo kujifia? Mbona timu ilicheza vizuri tu sema basi ni mipango ili-fail na huo ndo mchezo wenyewe kwamba ukifail mwenzako anafanya vizuri. Yote kwa yote timu inazidi kujengeka ukilinganisha na siku kadhaa zilizopita huko nyuma. Vinginevyo lbd km wewe sio shabiki wa arsenal ila unajificha kwa kujiita mwana-arsenalHatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameruhusu magoli mengi nyumbani kwake. wameruhusu magoli matatu wakati olympiacos waliruhusu goli moja kwaoWakuu mimi sijaelewa kwanini arsenal ametoka wakati agg ni mbili kwa mbil na huku arsenal ana goal moja la ugenini
Acha upotoshajiAmeruhusu magoli mengi nyumbani kwake. wameruhusu magoli matatu wakati olympiacos waliruhusu goli moja kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza kufuatilia mpira juzi?Wakuu mimi sijaelewa kwanini arsenal ametoka wakati agg ni mbili kwa mbil na huku arsenal ana goal moja la ugenini
Hatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi tungefika fainali tukapoteza,....angesepa ama asingesepa?
Wewe sio shabiki wa Arsenal ni Mnafiki wa kutupwa unajificha kwenye kivuli cha mashabiki wa Arsenal ila tunajua wewe ni shabiki mpinzaniKwa nini usiiteme moja kwa moja tu
Hatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina la kuongeza ila ukweli unaonekana arsenal yetu inavyozidi kuporomoka siku zote ukweli unajitenga na uongoSio kweli kuwa arsenal imejifia. Kwani kupoteza mchezo wa jana ndo kujifia? Mbona timu ilicheza vizuri tu sema basi ni mipango ili-fail na huo ndo mchezo wenyewe kwamba ukifail mwenzako anafanya vizuri. Yote kwa yote timu inazidi kujengeka ukilinganisha na siku kadhaa zilizopita huko nyuma. Vinginevyo lbd km wewe sio shabiki wa arsenal ila unajificha kwa kujiita mwana-arsenal
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema baada ya kutolewa si ungeongea hivyo kabla ya mechi tukakuona mtabiri kweli.
Wakifunga la pili tunaaga mashindano tutaweka wapi sura zetu mbona hii timu inataka kutuabisha shda ni nini jamani
Sent using Jamii Forums mobile app