DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Acha tu kaka mpaka sasa naona bado nimelala naotaAuba nimeona kapost kuonesha mapenzi yake kwa hii timu,Afu mkuu unaongeleaje Auba kukosa lile goli jana,mimi paka sahivi naliwaza natamani arudie kushoot tena![]()
ufungwa 10 na buyern UCL ni bora kuliko kifungwa 1 na team ya ugiriki Europa hiki kitendo ni aibu na fedhea hadi Europa mnasindikiza mnawaacha wolves watambe
Chltako umetibuliwa mavi na bavarian unakuja kurest katika jukwaa la London Kings hahahaaaaaaaaa
Huwezi kupata ban kwa ajili ya upuuzi wa mwingine.....Hivi mods hadi tuwatukane ndio muupdate taarifa za kocha ama??
Najitolea kuchukua ban ili mufanye kuedit hapo kwa kocha #kenge nyie
Eti London King.Chltako umetibuliwa mavi na bavarian unakuja kurest katika jukwaa la London Kings hahahaaaaaaaaa
London ia Red
Sent using Jamii Forums mobile app
Oyaaa back to back ya vipigo inanukia huko nenda jukwaani kwako maumivu yanakujia hukoEti London King.
London ina King mmoja tu. Chelsea. Unajiita London King wakati huna hata kombe la Ucl. Unatia aibu aiseee.
London king unatolewa nyaa na Olympiacos. Shtuka basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ulikuwa unawanga.Oyaaa back to back ya vipigo inanukia huko nenda jukwaani kwako maumivu yanakujia huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mpira ulivyo
Niliwatag hadi nikachokaHivi mods hadi tuwatukane ndio muupdate taarifa za kocha ama??
Najitolea kuchukua ban ili mufanye kuedit hapo kwa kocha #kenge nyie
Hatimaye Liver kapokea kipigo cha mbwa koko!.. Yaani leo watford mdio walikuwa liberpool na liverpool wamekuwa watford, kodogo tu wale bao ñne kwa nunge.Heshima ya unbeaten itabaki kwetu tu,hakuna mtu was kuivunja,hawa Liverkuku wamepambana naona upepo umekata,Watford wanajipigia huku
Tunaanua matanga ya Europa lini gooners wenzangu??? Hahahahaha
Hii timu kweli ugonjwa wa moyo hadi nawaonea huruma. Mnatia huruma hahahahaha.
Tuanue matanga sasa gooners wenzangu maana wale olympiacos walitufanya kitu mbaya jamani.
Ila nimesikia Europa wameunda time huru mechi unaweza kurudiwa tena tunashinda hahahahaha.
Kazi mnayo msimu huu naskia mpo karibu na ile relegation.
Yaani Top class striker Aubameyang tunamvizia atawaacha kama Robin RVP msimu ule maana na yeye Juzi Europa amejua kwamba hajui akabaki anaduwaa.
#GGMU