42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,836
- 8,874
Hiyo arsenal kimeo mlikuwa na matumaini eti ingefika fainali. Labda kama mtu ana matatizo ya akili.Unasema baada ya kutolewa si ungeongea hivyo kabla ya mechi tukakuona mtabiri kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app



