Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni wana gunners, mara nyingi football ni mchezo mkatili hasa pale usipoweza kutumia vizuri nafasi unazopata.

Hiki ndio kilitokea jana, tulikua na uwezo wa kumaliza hii mechi mapema tu ila tukashindwa kutumia nafasi tulizozipata na wenzetu wakatumia.

Sehemu nyingine iliyokua dhaifu ni eneo la ulinzi hasa namna ya kucheza set pieces na jinsi golikipa na backline wanavyowasiliana.

Hitimisho
Safari yetu ya Europa ndio imeisha muhimu ni kujipanga kwenye michuano mingine EPL na FA.
Arteta ameonyesha kuna kitu anacho, bodi imuwezeshe kupata wachezaji anaowahitaji.
Hakuna shortcuts ya mafanikio kwenye mpira ni lazima uwekeze smart.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Screenshot_20200228-135805.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sokratis, Luiz ,Chambers ,Holding ,Mustafi, Lacazette,
Leno wapo wengi ambao ni are not good enough for this
club Hamtakuja ku compete
for anything ni Aubameyang peke yake ambaye unaweza kumuita World class playerat this club waliobakia ni
Takataka.
Sio takataka ila wana viwango duni kucompare na timu nyingine shindani,sio jambo zuri kuita wachezaji wetu takataka dah......
Ila wanazingua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom