Tunaanua matanga ya Europa lini gooners wenzangu??? Hahahahaha
Hii timu kweli ugonjwa wa moyo hadi nawaonea huruma. Mnatia huruma hahahahaha.
Tuanue matanga sasa gooners wenzangu maana wale olympiacos walitufanya kitu mbaya jamani.
Ila nimesikia Europa wameunda time huru mechi unaweza kurudiwa tena tunashinda hahahahaha.
Kazi mnayo msimu huu naskia mpo karibu na ile relegation.
Yaani Top class striker Aubameyang tunamvizia atawaacha kama Robin RVP msimu ule maana na yeye Juzi Europa amejua kwamba hajui akabaki anaduwaa.
#GGMU