Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

JEJE HIYO JEJE JEJE HIYO JEJE Hahahahahahahahah OLYMPIAKOS I love you
 
.usiku mwema
pics.of.jesse.and.phil_20200126_102809_0.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me honestly tell you one thing, Arsenal ni average team, msikae mkategemea lolote kubwa, vinginevyo utakuwa unatska kuumiza moyo wako
 
Tukubaliane tu hii mechi wachezaji hawakuwa timamu vizuri....Au pia walidharau mechi baada ya kupata ushindi ugenini... Japo tuna maumivu ila mimi nimekubaliana na hali... Njia ya kuingia uefa kupitia Europa yenye misukosuko ndo hivyo tena blocked kwetu... Hapa ni kukomaa na njia iliyobaki ambayo ni ngumu kiukweli.
 
Bunch of fool pooling together to play football. Hiyo ndio arsenal, and it will remain so for not less than ten years
 
nimejichokea.tumevunjwa moyo na upumbavu wa wachezaji.unadhani mashabiki wataendelea kuvumilia kuangalia the rest of the matches at Emirates stadium?! NO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sokratis, Luiz ,Chambers ,Holding ,Mustafi, Lacazette,
Leno wapo wengi ambao ni are not good enough for this
club Hamtakuja ku compete
for anything ni Aubameyang peke yake ambaye unaweza kumuita World class playerat this club waliobakia ni
Takataka.
 
Back
Top Bottom