Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahaha wewe akili huna,

Kengemaji wewe,.....top four ndio nini sasa????hivi kiazi kama wewe unapiga kelele alafu wale wa Liverpool wafanye nini!!!ndio tatizo la mitoto ya zinaa,kwahiyo top four kwako ndio kombe?????then spurs anakupumulia nyuma hapo na lazima akushikishe ukuta nyau wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Teh.. Wewe Pumbaaav kama ingekua rahisi hata wachovu nyie mngeingia lakini mpaka leo mnahangaika.

Dully hasira zote hizo ni timu uliyoamua kuishabikia hata siklaumu. Maisha yamekupiga plus ubovu wa timu yako ndio unaniangushia mimi hasira zako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaona pumbav ni neno zuri basi

BABA YAKO PUMBAV + MAMA YAKO PUMBAV = WEWE KATOTO KAPUMBAVU ....

maana umetotolewa kutoka kutoka kwa wapumbav.

Shubamitt...
Unavyokuja ndio unavyopokewa kengewewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta makubwa zaidi. Kama ni baba au mama kila mtu anaye sasa jua haya bado hayanichomi. Changamsha akili kijana ji update kila siku haya haya unakua out of date with your little sized mind.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh.. Wewe Pumbaaav kama ingekua rahisi hata wachovu nyie mngeingia lakini mpaka leo mnahangaika.

Dully hasira zote hizo ni timu uliyoamua kuishabikia hata siklaumu. Maisha yamekupiga plus ubovu wa timu yako ndio unaniangushia mimi hasira zako.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha aiseeeeehhhh unazidi kudhihirishia umma kiwango cha ufinyu wa fikra na utajiri wa upoyoyo na upumbavu uliokujaa ukicompare na washabiki wa chelsea,
Shukuru hii platform inakupa jeuri ya kuandika rundo la upuuzi pasi na kipingamizi ila tungekuwa tunaurgue face to face hata vibao vingekuhusu mdogo wangu....1

Maana unatema pumba sio za hii nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta makubwa zaidi. Kama ni baba au mama kila mtu anaye sasa jua haya bado hayanichomi. Changamsha akili kijana ji update kila siku haya haya unakua out of date with your little sized mind.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha
Hapa ni soka ila ukileta vitu nje ya soka pia unashughulikiwa tu,wewe si unajitoa akili.....
Unavyokuja ndivyo unavyopokelewa mzee,usitarajie uje kwa singeli alafu tukupokee kwa RnB hilo sahau mdogo wangu.
Na hii ndio njia nzuri ya kuishi na jamii inayokuzunguka maana watu hatufanani....
Tafuta sehemu niliyomjibu visivyo mtu kama Cash Money Forever licha ya kwamba anakuja hapa anatunanga ,kejeli na ushauri sometimes...tatizo wenzio wale wamelelewa vizuri na wazazi wao,wanajua namna ya kuishi na watu.......

Karibu Gunners.
Kings of London.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha
Hapa ni soka ila ukileta vitu nje ya soka pia unashughulikiwa tu,wewe si unajitoa akili.....
Unavyokuja ndivyo unavyopokelewa mzee,usitarajie uje kwa singeli alafu tukupokee kwa RnB hilo sahau mdogo wangu.
Na hii ndio njia nzuri ya kuishi na jamii inayokuzunguka maana watu hatufanani....
Tafuta sehemu niliyomjibu visivyo mtu kama Cash Money Forever licha ya kwamba anakuja hapa anatunanga ,kejeli na ushauri sometimes...tatizo wenzio wale wamelelewa vizuri na wazazi wao,wanajua namna ya kuishi na watu.......

Karibu Gunners.
Kings of London.


Sent using Jamii Forums mobile app

Duh, yaani washabiki wa hizi timu siku hizi mna hasira sana.

Sisi wengine inabidi tunapita kimya kimya, hamchelewo kusema tunawakejeli.
 
Hahahahaha
Hapa ni soka ila ukileta vitu nje ya soka pia unashughulikiwa tu,wewe si unajitoa akili.....
Unavyokuja ndivyo unavyopokelewa mzee,usitarajie uje kwa singeli alafu tukupokee kwa RnB hilo sahau mdogo wangu.
Na hii ndio njia nzuri ya kuishi na jamii inayokuzunguka maana watu hatufanani....
Tafuta sehemu niliyomjibu visivyo mtu kama Cash Money Forever licha ya kwamba anakuja hapa anatunanga ,kejeli na ushauri sometimes...tatizo wenzio wale wamelelewa vizuri na wazazi wao,wanajua namna ya kuishi na watu.......

Karibu Gunners.
Kings of London.


Sent using Jamii Forums mobile app
We Pumbavu unajitetea mno. Na mimi nakuambiaje nenda kwenye bio yangu angalia kama kuna mtu nilimjibu ovyo. Narudia tena your little sized mind ndio tatizo lako. Unaumia kuitwa PUMBAV hapo changanya na stress za maisha ukaona ushushe mzigo kwangu.

Punguani wahed wewe, kimaandishi tu unaonekana hohe hohe pangu pakavu tia mchuzi halafu unashabikia Arsenal. Nakuhurumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, yaani washabiki wa hizi timu siku hizi mna hasira sana.

Sisi wengine inabidi tunapita kimya kimya, hamchelewo kusema tunawakejeli.
Hapana brother,mbona unaweza kukejeli tu kiroho safi,....tatizo LUGHA.....

kuna mtu anayekejeli hapa kama ARV ????

lakini lini ametolewa lugha chafu???aje mwenyewe hapa aseme,wewe mwenyewe shahidi ,kule jukwaa la mabingwa wapya wa ligi kuu mimi nimekejeli mara ngapi????lakini ilifikia hatua nikamtolea mtu lugha mbovu????kejeli,utani n.k ndivyo vitu vinavyofanya haya majukwaa yanachangamka mzee,lakini kwakuwa humu hatujuani ziwe zinatumika lugha za staha ili tusivunjiane heshima.....

Mbona kuna maneno mengi yaliyorasimishwa yanayokera...arse8,loserfools,chelwowowo,nyumbu n.k lakini unapokuja kuita watu wapumbavu aiseeeeeehhh sio vema mzee...

Kuwa huru kukejeli ila kumbuka kejeli sio matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muwe munamuamini kocha!. Wakati Ozil anawekwa benchi watu walimtukana sana kocha kuwa hajui, sasa OIl anapangwa watu wale wale wameanza kuponda!.. Sasa naona watu wanalazimisha Ceballos apangwe!.. Kocha ameshamwambia kabisa kuwa apiganie namba!.. Hivi unajua Ceballos toka aje Arsenal kafunga goal ngapi na ana assist ngapi?.. Kusema kweli Ceballos alipokuja alikipiga ile mbaya hasa mechi yake ya kwanza na ya pili, baada ya hapo akaflop sana!.. Pepe nae anacheza mpira wa kiafrica wa chenga nyingi na kufinya kwingi bila sababu!.. Kocha anamuelekeza lakini habadiliki, siku akianza kupigwa benchi watu mtaona kaonewa!.. Mwacheni kocha wetu apange timu, yeye ndio anaijua timu huko kwenye mazoezi!.. Timu ipo kwenye transition na tunapitia mengi kwa sasa kama Man u, chelsea, man u, Spurs.. Tumuache kocha asuke kikosi chake! Sasa kama akina Lacazette, na Ozil wanaunderperform kocha afanyeje sasa na hakuna mbadala wa kueleweka!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndio umefunga mjadala. Tatizo Sisi wajuaji sana mkuu
 
We Pumbavu unajitetea mno. Na mimi nakuambiaje nenda kwenye bio yangu angalia kama kuna mtu nilimjibu ovyo. Narudia tena your little sized mind ndio tatizo lako. Unaumia kuitwa PUMBAV hapo changanya na stress za maisha ukaona ushushe mzigo kwangu.

Punguani wahed wewe, kimaandishi tu unaonekana hohe hohe pangu pakavu tia mchuzi halafu unashabikia Arsenal. Nakuhurumia

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe huna akili......hivi hohe hahe unamjua kwa maandishi?

Tatizo ni wazazi wako hawajakulea katika misingi mizuri,sasa na haya ndio matokeo yake....

WEWE NI ZAO LA WAPUMBAVU,NI LAZIMA URITHI UPUMBAVU NA CHA KURITHI HUWAGA KINAZIDI ASILI.

POLE IN ADVANCE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha. dully ROBERTO Aaron Willy salute you guys, kweli mnajitoa sana kusupport mpira 24/7.

Ushabiki wa Mpira unatupa furaha, burudani na Amani. Hatuko tayari kuona vitu hivi vinatoweka.

Kweli haipendezi kwenye huo ushabiki wetu tuingize Chuki, Matusi na kudhalilishana sisi na familia zetu.

Isitoshe hatufahamiani kwa sura wala umri, bali mpira umetukutanisha kwenye haya majukwaa. TUHESHIMIANE TUU

Kama ni kutukanwa binafsi ningekuwa muhanga hapa kwa utani na kejeli nazotoa kwenu pale mnapopata matokeo sio ya kuridhisha.

Still mmekuwa wavumilivu, waelewa na waungana. Huo ndio ushabiki tucheke na tufurahi.

Let's enjoy football. We love you guys.

RESPECT.





Sent using Cash Money Wings
Nakuelewa sana mkuu.....kama akikuelewa hapo atakuwa ameongeza kitu katika maisha yake.......

Tuendelee na utaratibu wetu,soka sio vita.

Enjoy soccer .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana brother,mbona unaweza kukejeli tu kiroho safi,....tatizo LUGHA.....

kuna mtu anayekejeli hapa kama ARV ????

lakini lini ametolewa lugha chafu???aje mwenyewe hapa aseme,wewe mwenyewe shahidi ,kule jukwaa la mabingwa wapya wa ligi kuu mimi nimekejeli mara ngapi????lakini ilifikia hatua nikamtolea mtu lugha mbovu????kejeli,utani n.k ndivyo vitu vinavyofanya haya majukwaa yanachangamka mzee,lakini kwakuwa humu hatujuani ziwe zinatumika lugha za staha ili tusivunjiane heshima.....

Mbona kuna maneno mengi yaliyorasimishwa yanayokera...arse8,loserfools,chelwowowo,nyumbu n.k lakini unapokuja kuita watu wapumbavu aiseeeeeehhh sio vema mzee...

Kuwa huru kukejeli ila kumbuka kejeli sio matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekuelewa bosi.

Halafu naona nikukumbushe kwamba points zenu hazifikii nusu ya points za mabingwa.
 
Wewe huna akili......hivi hohe hahe unamjua kwa maandishi?

Tatizo ni wazazi wako hawajakulea katika misingi mizuri,sasa na haya ndio matokeo yake....

WEWE NI ZAO LA WAPUMBAVU,NI LAZIMA URITHI UPUMBAVU NA CHA KURITHI HUWAGA KINAZIDI ASILI.

POLE IN ADVANCE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka umeleweka. Mimi sina shida na mtu. Nina imani wewe DullyJr umeelewa hili.? Naomba nikiri nimeacha kukuita Mpumbavu.
Hapana brother,mbona unaweza kukejeli tu kiroho safi,....tatizo LUGHA.....

kuna mtu anayekejeli hapa kama ARV ????

lakini lini ametolewa lugha chafu???aje mwenyewe hapa aseme,wewe mwenyewe shahidi ,kule jukwaa la mabingwa wapya wa ligi kuu mimi nimekejeli mara ngapi????lakini ilifikia hatua nikamtolea mtu lugha mbovu????kejeli,utani n.k ndivyo vitu vinavyofanya haya majukwaa yanachangamka mzee,lakini kwakuwa humu hatujuani ziwe zinatumika lugha za staha ili tusivunjiane heshima.....

Mbona kuna maneno mengi yaliyorasimishwa yanayokera...arse8,loserfools,chelwowowo,nyumbu n.k lakini unapokuja kuita watu wapumbavu aiseeeeeehhh sio vema mzee...

Kuwa huru kukejeli ila kumbuka kejeli sio matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila na wewe uwe unafikiri kwa mapana toka lini nishawahi toa kauli ikawa bugdha kwako. Kilichotokea ni mimi kupitiwa na ungetumia coment ya kwanza kuniambia hujapendezwa na nano fulani. Sasa umeshafumbua watu wewe ni mtu wa aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana brother,mbona unaweza kukejeli tu kiroho safi,....tatizo LUGHA.....

kuna mtu anayekejeli hapa kama ARV ????

lakini lini ametolewa lugha chafu???aje mwenyewe hapa aseme,wewe mwenyewe shahidi ,kule jukwaa la mabingwa wapya wa ligi kuu mimi nimekejeli mara ngapi????lakini ilifikia hatua nikamtolea mtu lugha mbovu????kejeli,utani n.k ndivyo vitu vinavyofanya haya majukwaa yanachangamka mzee,lakini kwakuwa humu hatujuani ziwe zinatumika lugha za staha ili tusivunjiane heshima.....

Mbona kuna maneno mengi yaliyorasimishwa yanayokera...arse8,loserfools,chelwowowo,nyumbu n.k lakini unapokuja kuita watu wapumbavu aiseeeeeehhh sio vema mzee...

Kuwa huru kukejeli ila kumbuka kejeli sio matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka umeleweka. Mimi sina shida na mtu. Nina imani wewe DullyJr umeelewa hili.? Naomba nikiri nimeacha kukuita Mpumbavu. Ila na wewe uwe unagikiri kwa mapana toka lini nishawahi toa kauli ikawa bugdha kwako. Kilichotokea ni mimi kupitiwa na ungetumia coment ya kwanza kuniambia hujapendezwa na nano fulani. Sasa umeshafumbua watu wewe ni mtu wa aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa comments hizi nadhani wote mnaconfess kukoseana heshima kwa kiwango fulani,niwasihi basi muombane radhi maisha yaendelee.

Ninachoamini hakuna kati yenu aliyekuwa na lengo la kumu-abuse mwenzie in the first place lakini with heated debates, sometimes we find ourselves beyond control and to me that's normal linapokuja suala la ushabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka umeleweka. Mimi sina shida na mtu. Nina imani wewe DullyJr umeelewa hili.? Naomba nikiri nimeacha kukuita Mpumbavu. Ila na wewe uwe unafikiri kwa mapana toka lini nishawahi toa kauli ikawa bugdha kwako. Kilichotokea ni mimi kupitiwa na ungetumia coment ya kwanza kuniambia hujapendezwa na nano fulani. Sasa umeshafumbua watu wewe ni mtu wa aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amani mkuu,tupo pamoja sana.....


Karibu sana kwa WAFALME WA LONDON.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa comments hizi nadhani wote mnaconfess kukoseana heshima kwa kiwango fulani,niwasihi basi muombane radhi maisha yaendelee.

Ninachoamini hakuna kati yenu aliyekuwa na lengo la kumu-abuse mwenzie in the first place lakini with heated debates, sometimes we find ourselves beyond control and to me that's normal linapokuja suala la ushabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dhahiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom