Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,923
- 27,157
Teh.. Wewe Pumbaaav kama ingekua rahisi hata wachovu nyie mngeingia lakini mpaka leo mnahangaika.Hahahahaha wewe akili huna,
Kengemaji wewe,.....top four ndio nini sasa????hivi kiazi kama wewe unapiga kelele alafu wale wa Liverpool wafanye nini!!!ndio tatizo la mitoto ya zinaa,kwahiyo top four kwako ndio kombe?????then spurs anakupumulia nyuma hapo na lazima akushikishe ukuta nyau wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Dully hasira zote hizo ni timu uliyoamua kuishabikia hata siklaumu. Maisha yamekupiga plus ubovu wa timu yako ndio unaniangushia mimi hasira zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
.