Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Muwe munamuamini kocha!. Wakati Ozil anawekwa benchi watu walimtukana sana kocha kuwa hajui, sasa OIl anapangwa watu wale wale wameanza kuponda!.. Sasa naona watu wanalazimisha Ceballos apangwe!.. Kocha ameshamwambia kabisa kuwa apiganie namba!.. Hivi unajua Ceballos toka aje Arsenal kafunga goal ngapi na ana assist ngapi?.. Kusema kweli Ceballos alipokuja alikipiga ile mbaya hasa mechi yake ya kwanza na ya pili, baada ya hapo akaflop sana!.. Pepe nae anacheza mpira wa kiafrica wa chenga nyingi na kufinya kwingi bila sababu!.. Kocha anamuelekeza lakini habadiliki, siku akianza kupigwa benchi watu mtaona kaonewa!.. Mwacheni kocha wetu apange timu, yeye ndio anaijua timu huko kwenye mazoezi!.. Timu ipo kwenye transition na tunapitia mengi kwa sasa kama Man u, chelsea, man u, Spurs.. Tumuache kocha asuke kikosi chake! Sasa kama akina Lacazette, na Ozil wanaunderperform kocha afanyeje sasa na hakuna mbadala wa kueleweka!

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana...
 
Burnley fc siyo timu mbaya kama wengine wanavyofikiria, wame-draw na Wolves away, Brighton, Aston Villa, wamefunga Manure, The Cherries, Leicester, ni katimu kasumbufu...
All and all matokeo siyo mabaya, mbona fresh tu
 
Muwe munamuamini kocha!. Wakati Ozil anawekwa benchi watu walimtukana sana kocha kuwa hajui, sasa OIl anapangwa watu wale wale wameanza kuponda!.. Sasa naona watu wanalazimisha Ceballos apangwe!.. Kocha ameshamwambia kabisa kuwa apiganie namba!.. Hivi unajua Ceballos toka aje Arsenal kafunga goal ngapi na ana assist ngapi?.. Kusema kweli Ceballos alipokuja alikipiga ile mbaya hasa mechi yake ya kwanza na ya pili, baada ya hapo akaflop sana!.. Pepe nae anacheza mpira wa kiafrica wa chenga nyingi na kufinya kwingi bila sababu!.. Kocha anamuelekeza lakini habadiliki, siku akianza kupigwa benchi watu mtaona kaonewa!.. Mwacheni kocha wetu apange timu, yeye ndio anaijua timu huko kwenye mazoezi!.. Timu ipo kwenye transition na tunapitia mengi kwa sasa kama Man u, chelsea, man u, Spurs.. Tumuache kocha asuke kikosi chake! Sasa kama akina Lacazette, na Ozil wanaunderperform kocha afanyeje sasa na hakuna mbadala wa kueleweka!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa hatukatai hilo ila swali langu hata kama kocha anapanga timu yake je wewe binafsi mechi tumezidiwa na tunahitaji matokeo nje una willock na ceballos nani ungemuingiza uwanjani akutafutie ushindi?wewe binafsi?una nketiah na pepe nani ungemuingiza uwanjani akutafutie ushindi?willock kaingia dk ya 62 nafikiri ila sijui alifanya nini na huwa akiingia yeye basi hata uwanjani huwa haonekani na sio mara moja ni kila mechi zaidi ya kumuona anatema mate tu ceballos tangia Nov aliumia na mchezaji kiwango kushuka huwa inatokea kwa kila mmoja wao akipangwa mara kwa mara kiwango kitarudi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Burnley fc siyo timu mbaya kama wengine wanavyofikiria, wame-draw na Wolves away, Brighton, Aston Villa, wamefunga Manure, The Cherries, Leicester, ni katimu kasumbufu...
All and all matokeo siyo mabaya, mbona fresh tu
Kudraw kwetu sisi kila siku kunazidi kutushusha tutasema kila timu ni nzuri EPL ila trend inayoendelea si nzuri ya kudraw tuna NEWCASTLE na EVERTON home nao tukidraw nao tutasema hvyo hvyo ni timu Kali cha Msingi wachezaji wajue jezi ni kubwa wanayovaa na sasa tutavaa jezi zetu za home wapambane hali inatisha ushindi 6 pekee draw 13 si matokeo mazuri kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kingine watu wanalaumu sababu ya overexpectation....Mi naona tusifikirie sana top four sahivi... Labda tunatokaje wakumi kupanda juu kidogo...ikitokea tumeingia sawa and it's unlikely to happen kwa mwendo huu... Halafu kingine hii ligi ni tough... Tunaichukulia kirahisi sana.
 
Sawa hatukatai hilo ila swali langu hata kama kocha anapanga timu yake je wewe binafsi mechi tumezidiwa na tunahitaji matokeo nje una willock na ceballos nani ungemuingiza uwanjani akutafutie ushindi?wewe binafsi?una nketiah na pepe nani ungemuingiza uwanjani akutafutie ushindi?willock kaingia dk ya 62 nafikiri ila sijui alifanya nini na huwa akiingia yeye basi hata uwanjani huwa haonekani na sio mara moja ni kila mechi zaidi ya kumuona anatema mate tu ceballos tangia Nov aliumia na mchezaji kiwango kushuka huwa inatokea kwa kila mmoja wao akipangwa mara kwa mara kiwango kitarudi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ya mwisho kymyina Ceballos anacheza ni lini?, una uhakika kuwa yuko kwenye form? Una uhakika ana physical fitness maana alikuwa majeruhi! (Kumbuka hata Bellerin kakaa benchi mechi kadhaa pale, ulishaenda kwenye mazoezi ya Arsenal ukamuona anaperform? Sasa wewe unalalamika kuingizwa kwa nketiah, wakati dogo kaingia dakaka za lala salama!.. Dogo kaingia badala ya Laca, kwa hiyo wewe ulitaka atoke auba au Martinell ili aingie pepe? Kwa kweli kwa mechi za hivi karibuni Pepe amekuwa hajitambui, ameng'ang'ania kupiga vyenga tu na kufinya mipira bila sababu, hata sehemu aliyotakiwa aende direct!.. Halafu naona hujamfuatilia Nketiah, dogo anajua kutupia nyavuni sema bado hana maturity kitu ambacho ni cha kawaida kwa umri wake!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kingine watu wanalaumu sababu ya overexpectation....Mi naona tusifikirie sana top four sahivi... Labda tunatokaje wakumi kupanda juu kidogo...ikitokea tumeingia sawa and it's unlikely to happen kwa mwendo huu... Halafu kingine hii ligi ni tough... Tunaichukulia kirahisi sana.
Tatizo watu wanategemea makubwa kwenye kikosi hiki kilicho dhaifu. Mimi hesabu zangu zinaonyesha tunamaliza nafasi ya 14, kumaliza juu ya hapo itakua mafanikio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya mwisho kymyina Ceballos anacheza ni lini?, una uhakika kuwa yuko kwenye form? Una uhakika ana physical fitness maana alikuwa majeruhi! (Kumbuka hata Bellerin kakaa benchi mechi kadhaa pale, ulishaenda kwenye mazoezi ya Arsenal ukamuona anaperform? Sasa wewe unalalamika kuingizwa kwa nketiah, wakati dogo kaingia dakaka za lala salama!.. Dogo kaingia badala ya Laca, kwa hiyo wewe ulitaka atoke auba au Martinell ili aingie pepe? Kwa kweli kwa mechi za hivi karibuni Pepe amekuwa hajitambui, ameng'ang'ania kupiga vyenga tu na kufinya mipira bila sababu, hata sehemu aliyotakiwa aende direct!.. Halafu naona hujamfuatilia Nketiah, dogo anajua kutupia nyavuni sema bado hana maturity kitu ambacho ni cha kawaida kwa umri wake!..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sasa ndo tunapokwama kama mashabiki ina maana wewe unakubali willock ni mkali kuliko ceballos na nketiah ni mkali kuliko pepe dah ishu ya physical fitness sio tatizo kwa ceballos angalia mechi dhidi ya bournemouth FA kaangalie tena baada ya ceballos kucheza alifanya kitu gani?kocha huwa wanavipenzi vyao hata unai ilikuwa kwa Guendouzi ila jana tulikuwa sehemu tunaangalia mpira baada ya watu kuona sub ya willock kila mtu alitoa maneno yake mazito
Willock amepewa nafasi nyingi sana hapa Mimi na wewe ndo tunatofautiana ila hana impact na kwa game kama ya jana Arteta alileta utani mbaya sana watu tumezidiwa unamweka dogo na hata Pepe jana alistahili sababu jana kama umecheki vizuri beki 2 na 3 za Burnley walipiga krosi kama 50 sababu walikuwa hawasumbuliwi pembeni Martinelli kacheza upande hajauzoea na pepe kama unavyomjua ni msumbufu sikatai kuwa huwa anaboronga ila uwepo wake huwa unamfanya beki mpinzani asipande mara kwa mara na pia nilichofurahi Arteta amekiri jana amekosea na hatarudia tena kupanga kikosi kibovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo watu wanategemea makubwa kwenye kikosi hiki kilicho dhaifu. Mimi hesabu zangu zinaonyesha tunamaliza nafasi ya 14, kumaliza juu ya hapo itakua mafanikio.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kaka hakuna anayetegemea top 4 hata kidogo tatizo linakuja hata waliochini yetu wanalingana na sisi au kupishana na sisi kidogo sasa angalau hawa wanashinda hata mechi 1 au 2 sisi tuna droo everyday na EPL ikifika Feb hadi May inakuwa ya moto hao wa chini huwa wanapambana huwezi kuamini sasa kwa kiwango chetu inatia shaka kuona je mbeleni itakuwaje tuna game na man city liverpool Leicester spurs wolves hawa wote hatujacheza nao katika mechi 13 zilizobakia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa sasa ndo tunapokwama kama mashabiki ina maana wewe unakubali willock ni mkali kuliko ceballos na nketiah ni mkali kuliko pepe dah ishu ya physical fitness sio tatizo kwa ceballos angalia mechi dhidi ya bournemouth FA kaangalie tena baada ya ceballos kucheza alifanya kitu gani?kocha huwa wanavipenzi vyao hata unai ilikuwa kwa Guendouzi ila jana tulikuwa sehemu tunaangalia mpira baada ya watu kuona sub ya willock kila mtu alitoa maneno yake mazito
Willock amepewa nafasi nyingi sana hapa Mimi na wewe ndo tunatofautiana ila hana impact na kwa game kama ya jana Arteta alileta utani mbaya sana watu tumezidiwa unamweka dogo na hata Pepe jana alistahili sababu jana kama umecheki vizuri beki 2 na 3 za Burnley walipiga krosi kama 50 sababu walikuwa hawasumbuliwi pembeni Martinelli kacheza upande hajauzoea na pepe kama unavyomjua ni msumbufu sikatai kuwa huwa anaboronga ila uwepo wake huwa unamfanya beki mpinzani asipande mara kwa mara na pia nilichofurahi Arteta amekiri jana amekosea na hatarudia tena kupanga kikosi kibovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi najua Ceballos anauwezo kuliko Willock, wala sijapinga!.. Ila hija yangu ni kwamba kwa sasa mimi na wewe hakyna anaejua kiwango cha Ceballos kama ni kile tunachokihua au kashuka! Anaejua ni kocha na benchi lake la ufundi!.. Kwa kuwa sijui kinachosababisha anamuweka Ceballos benchi, itoshe kusema tu kocha kaona bado aendelee kukalia hilo benchi!.. Vipi kocha akimuanzisha halafu akaboronga kuliko hata Ozil, si tutaanza kulalamika hapa kuwa bora Ozil! Ninachoshauri ni kuwa tumuache kocha afanye kazi yake akiboronga atatimuliwa.. Kwa upande wa pepe bado ni kweli pepe ana kiwango hasa akiwa kwenye kiwango chake!.. Lakini kweli wewe hujui kuwa hao wanacheza position tofauti? Pepe ni winger na dogo ni Center forward, sasa sijui ulitaka pepe aingizwe aende akipige pale mbele, hapo mimi sijakuelewa!.. Bora ungelalamikia kitendo cha Martinell kucheza wing ya kulia, au ungesema pepe angeanza kulia, Auba kati na dogo akae pale kushoto!.. Lakini kwa kesi ya Nketia ni tofauti kidogo!.. Kocha alimwingiza Nketia ili kuforce goal maana kiuhalisia pale mbele kulikuwa na Auba, Laca, Martinell ambao wote ni washambuliaji nguli, sasa Lacazete kaflop na zimebaki dakika tano, sasa kama kocha unafanyaje? Unamtoa forward unaingiza forward! Huwezi kutoa forward halafu unaingiza Winger na unahitaji kushinda mechi!.. Kwa hiyo nia ya kocha ilikuwa njema!. Kwa kweli inakatisha tamaa, lakini titafanyaje na hao ndio wachezaji tulionao!.. Poleni wana Gunners lakini tusikate tamaa maana tuko kwenye transition, naamini timu itakaa vizuri soon!...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana kaka hakuna anayetegemea top 4 hata kidogo tatizo linakuja hata waliochini yetu wanalingana na sisi au kupishana na sisi kidogo sasa angalau hawa wanashinda hata mechi 1 au 2 sisi tuna droo everyday na EPL ikifika Feb hadi May inakuwa ya moto hao wa chini huwa wanapambana huwezi kuamini sasa kwa kiwango chetu inatia shaka kuona je mbeleni itakuwaje tuna game na man city liverpool Leicester spurs wolves hawa wote hatujacheza nao katika mechi 13 zilizobakia

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe na expections kubwa mkuu. Huu msimu tuliyumba sana kuanzia ndani ya uwanja mpaka nje. Hakuna quick fix kwenye mpira.

Umesahau mashabiki walikuwa wanazomea wachezaji, nidhamu ilikuwa mbovu kupitiliza.

Tumpe lengo Arteta la kuingia msimu ujao salama. Aendelee kujenga timu. Msimu huu tuwe tayar na matokeo yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mchezaji gani wa maana mtampata nyinyi?????
Yaani hizi timu 3 hazichekani na ndio maana nakusanua ukija kuleta hizo mbarara zako humu kutujazia nzi....



Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana naomba tukutane transafer window ya mwezi wa 6 utaona kama utaweka pua yako kwenye sajili zetu. Hii ya Jan isikutishe coz hatukutaka kuingia mkenge basi tu kwa sababu tumeruhusiwa kusajili.

Dont settle for less just because its available.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom