DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Amani sawa.Amani mkuu,tupo pamoja sana.....
Karibu sana kwa WAFALME WA LONDON.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani mkuu,tupo pamoja sana.....
Karibu sana kwa WAFALME WA LONDON.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli wewe unatupaga vidonge hapa bila matusi, pia unatoaga ushauri hapa tunapoboronga!.. Kwa kweli wewe ni mtu wa mpira!.. Maana ya utani ni kutaniana na kuinjoy mpira!.. Tatizo kuna wengine wana matusi sana mpaka wanaboa!.. Hebu angalia wale mashabiki wa Aston Villa toka Tz, yaani wamekuwa kama mazuzu, wanatukana matusi mpaka unaona aibu!..Hahahaha. dully ROBERTO Aaron Willy salute you guys, kweli mnajitoa sana kusupport mpira 24/7.
Ushabiki wa Mpira unatupa furaha, burudani na Amani. Hatuko tayari kuona vitu hivi vinatoweka.
Kweli haipendezi kwenye huo ushabiki wetu tuingize Chuki, Matusi na kudhalilishana sisi na familia zetu.
Isitoshe hatufahamiani kwa sura wala umri, bali mpira umetukutanisha kwenye haya majukwaa. TUHESHIMIANE TUU
Kama ni kutukanwa binafsi ningekuwa muhanga hapa kwa utani na kejeli nazotoa kwenu pale mnapopata matokeo sio ya kuridhisha.
Still mmekuwa wavumilivu, waelewa na waungana. Huo ndio ushabiki tucheke na tufurahi.
Let's enjoy football. We love you guys.
RESPECT.
Sent using Cash Money Wings
AiseeehhhHabari za jioni wazee wa London.
Leo naomba kuwakumbusha kwamba ile timu yenye kikosi kipana iko uwanjani, inaingiza kikosi cha tatu.
Cha kwanza na cha pili wako mapumziko.
Hawa hapa....Kwa kweli wewe unatupaga vidonge hapa bila matusi, pia unatoaga ushauri hapa tunapoboronga!.. Kwa kweli wewe ni mtu wa mpira!.. Maana ya utani ni kutaniana na kuinjoy mpira!.. Tatizo kuna wengine wana matusi sana mpaka wanaboa!.. Hebu angalia wale mashabiki wa Aston Villa toka Tz, yaani wamekuwa kama mazuzu, wanatukana matusi mpaka unaona aibu!..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusanya makombe yako yote lete hapa tupige hesabuMzee unajipalilia sifa zetu mfalme ni yule ana kombe la UEFA kabatini anapiga mluzi tuu huku anawacheki kwa dharaaaaaaau.
Sent using Cash Money Wings
Kwahiyo mkuu hao Shrewsbury nao ulitaka kuwapangia kina Mane?uue sisimizi kwa nyundo?Habari za jioni wazee wa London.
Leo naomba kuwakumbusha kwamba ile timu yenye kikosi kipana iko uwanjani, inaingiza kikosi cha tatu.
Cha kwanza na cha pili wako mapumziko.
Kwahiyo mkuu hao Shrewsbury nao ulitaka kuwapangia kina Mane?uue sisimizi kwa nyundo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ngoja tuchek game kwanza....naona vijana wapo tayariKiba Mane waliingia dakika za mwisho siku ile baada ya goli mbili zile kurudi.
Hongereni mko vizuriHabari za jioni wazee wa London.
Leo naomba kuwakumbusha kwamba ile timu yenye kikosi kipana iko uwanjani, inaingiza kikosi cha tatu.
Cha kwanza na cha pili wako mapumziko.
Ndio nini hiko mkuu?hebu tupe reference yako tuone umerefer wapi.....UCL 1 = EPL 20
Sent using Cash Money Wings
Aiseh yaani wewe mgumu kuelewa ,ila sawa tutakwenda taratibu.....namaanisha hivi weka jumla ya makombe yako yote mbona kama kuna kitu unafichaficha mkuu...!!!!basi subiri nije na takwimu.Sawa tuweke makombe mezani. Haya mimi naanza kwa kutoa la UCL hilo hapo mezani, naongeza na makombe 2 ya UEFA EUROPA.
Haya yatoe ya kwako ya UCL na EUROPA tafadhali, weka hapa mezani niyaone
Sent using Cash Money Wings
Huna hoja...EPL ni mbarara?umekaa 50yrs unalisaka,hao Kops ni mabingwa wa DUNIA lakini shangwe yao kubwa ni kubeba EPL......hizi maneno wakiongea nyumbu ndio ntawaelewa,ila nyinyi na Nottingham Forest hamna tofauti.Nitawekaje jumla ya makombe, mi natoa makombe makubwa duniani. Mbarara nyingine tuachane nazo.
We unizingua ngoja nikaweke mezani makombe ya UEFA kule Man u na Liverpool.
Hapa napoteza muda wangu, mimi naweka mezani AK 47 na SMG, wewe unang'aninia tuweke manati, mshale, jiwe fatuma.
Shukrani
Sent using Cash Money Wings
Hii nzurLeno
Bellerin ,Luiz,Mari,Tierney
Xhaka,Torreira
Ceballos
Pepe , Aubameyang, Martinelli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kauli naomba ithibitishwe na mashabiki wa liverpool... ndo itakuwa validUCL 1 = EPL 20
Sent using Cash Money Wings