Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tusi liko wapi hapo ndugu yangu?
Vile unavyokuja ndivyo utakavyopokelewa....umekuja na neno 'pumbavu' nami nikakupa unalostahili....

Nioneshe wapi nilipotumia neno kama hilo kwa mtu kama cash money Wings au beira 1.......
Uwe na adabu unapokuwa katika ukanda huu....

Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia tena Pambaaav!!

Sikujua kama hilo neno ndio limekutoa kwenye reli.

Tafuta jipya PAMBAAV!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii habari ni ya kweli?maana kama ni kweli itakuwa ni habari ya kushangaza wana ARSENAL kama kuna mdau ana habari zaidi anaweza akatupatia ufumbuzi Ili tusiojua tufahamu
20200203_194206.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona maneno mengi sababu Liver ipo vizuri msimu huu? Tunajenga timu, still tuna kocha mpya so bado kuna changamoto za kufanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii timu haijengeki kwa wachezaji hao mlonao mzee. Kina Willock, Ozil, Lacazette (si bure hata Giroud anamweka benchi timu ya taifa), Gunduzi, Maitland and alike. Hao mtazunguka milele mko hapohapo. Watu wanacheza kukamilisha ratiba tu. Timu itajengwa na kina Martineli, Saka, Leno, Torreira, Ceballos, Auba na usajili mpya kwenye defence na middle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii timu haijengeki kwa wachezaji hao mlonao mzee. Kina Willock, Ozil, Lacazette (si bure hata Giroud anamweka benchi timu ya taifa), Gunduzi, Maitland and alike. Hao mtazunguka milele mko hapohapo. Watu wanacheza kukamilisha ratiba tu. Timu itajengwa na kina Martineli, Saka, Leno, Torreira, Ceballos, Auba na usajili mpya kwenye defence na middle

Sent using Jamii Forums mobile app
Lacazette amekuwa out of form juzi tu mnaanza kumuandama.... Lacazette hata alivyokuwa top form hakuitwa timu ya taifa sababu anazijua kocha wake.
 
Hii timu haijengeki kwa wachezaji hao mlonao mzee. Kina Willock, Ozil, Lacazette (si bure hata Giroud anamweka benchi timu ya taifa), Gunduzi, Maitland and alike. Hao mtazunguka milele mko hapohapo. Watu wanacheza kukamilisha ratiba tu. Timu itajengwa na kina Martineli, Saka, Leno, Torreira, Ceballos, Auba na usajili mpya kwenye defence na middle

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wachezaji inapaswa dirisha kubwa waondolewe Kama wakibakia kikosini ntaona kweli hii timu usiriazi haina bali inakamilisha ratiba
 
Narudia tena Pambaaav!!

Sikujua kama hilo neno ndio limekutoa kwenye reli.

Tafuta jipya PAMBAAV!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi nasema Pambaaav BABA YAKO + MAMA YAKO .

Hapo vipi???

Hapa ukiomba nyoka unapewa nyoka,usitegemee uombe nyoka upewe samaki......

Lete tena ujinga.....
Narudia kusema ,maana hili nilishalisema huko nyuma ,katika washangiliaji vihande wa chelsea basi wewe hovyo kabisa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nasema Pambaaav BABA YAKO + MAMA YAKO .

Hapo vipi???

Hapa ukiomba nyoka unapewa nyoka,usitegemee uombe nyoka upewe samaki......

Lete tena ujinga.....
Narudia kusema ,maana hili nilishalisema huko nyuma ,katika washangiliaji vihande wa chelsea basi wewe hovyo kabisa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Pambaaaaaaaav!!!!

Umepanic na unafeli. Hahahaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yangu iko top four. Dogo unajitoa ufahamu

PAMBAAAV

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha wewe akili huna,

Kengemaji wewe,.....top four ndio nini sasa????hivi kiazi kama wewe unapiga kelele alafu wale wa Liverpool wafanye nini!!!ndio tatizo la mitoto ya zinaa,kwahiyo top four kwako ndio kombe?????then spurs anakupumulia nyuma hapo na lazima akushikishe ukuta nyau wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom