Watu walikuwa wakiongea hapa kundi zima kumhusu Unai kutomchezesha Ozil. Haya sasa huyo hapo, ana maajabu gani? Unai alikuwa sahihi kutompanga, ni mzigo kwa timu.
Lacazette sasa.


yani ndo uuuuuuuuwwiii!! Anakimbiakimbia tu kama masai mbugani. Haeleweki anacheza kitu gani. Ukijumlisha na Flop wa match ya leo - bwana Auba - basi nadhani unajua unapata kitu gani. Yani ndugu zangu nyie mkiingia Top 4, ni kombe kabisa. Itabidi Malkia Elizabeth ampe u- sir bwana Arteta.
Kwa hizi sub za Willock ... kazi ipo kwelikweli
Sent using
Jamii Forums mobile app