Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu walikuwa wakiongea hapa kundi zima kumhusu Unai kutomchezesha Ozil. Haya sasa huyo hapo, ana maajabu gani? Unai alikuwa sahihi kutompanga, ni mzigo kwa timu.

Lacazette sasa. yani ndo uuuuuuuuwwiii!! Anakimbiakimbia tu kama masai mbugani. Haeleweki anacheza kitu gani. Ukijumlisha na Flop wa match ya leo - bwana Auba - basi nadhani unajua unapata kitu gani. Yani ndugu zangu nyie mkiingia Top 4, ni kombe kabisa. Itabidi Malkia Elizabeth ampe u- sir bwana Arteta.

Kwa hizi sub za Willock ... kazi ipo kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahitaji kiungo namba kumi mzuri anayejua kufunga, kuassist na kupush timu iende mbele,Mpira wa kizamani wa kutegemea timu iperform eti ndio na wewe mchezaji ushine haupo huo,Mchezaji asiye na individual tracing mpira wa sasa lazima umshinde tu, ona kama akifeli Aubameyang timu inashindwa kufunga goli, ndio nini sasa hiki,Kiungo lazima awe ana option nyingi,James Rodriguez atatufaa sana, rudisha Ceballos mlete James full stop.
 
Matteo guendouzi kushine EPL itamchukua muda sana,labda aende Spain sababu laliga wapo slow kama yeye,Huyu yupo taratibu sana, kwa mpira wa Uingereza inahitaji mtu mwenye maamuzi ya haraka, Laca naye yupo slow thats why anastruggle sana kufunga nowadays, Laca anapata chance nyingi lakini huwa anadelay kuconvert.Kwa Mfano mechi against Chelsea pale Emirates Auba alimwekea vizuri laca akadelay kushuti Kante akautime ule mpira,leo tena anawekewa yupo slow beki anatoka nyuma paka anaokoa,Guendouzi yeye paka apate space kubwa ndio afanye decision,hafai kuanza first 11 labda mbeleni huko.
 
Kundi linapoa sana hili sababu ya matokeo nimeenda group la Liverpool wanafuraha sana sisi sijui hata tufanye nini furaha irudi!! Maana tukikomaa top 4 sio mbali kabisa tatizo kubwa la kwetu wapinzani wakifeli sisi hatutumii nafasi kupanda juu ila tatizo kubwa la Arsenal naandika kwa herufi kubwa kama milango mitatu ni NAMBA 10 NAMBA 10 OZIL ameisha na ARTETA eti akazuia ofa ya Qatar ya mabilioni ya pesa hapa ndo nimemuona ni kocha mjinga sana(sorry kwa hili neno mjinga)hiyo pesa tungepata fasta replacement yake na chenji ingebaki kwa ajili ya usajili wa next season sijui management na kocha hapa walifikiria nini ila Aluta Continua mpaka kieleweke licha tunaumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu walikuwa wakiongea hapa kundi zima kumhusu Unai kutomchezesha Ozil. Haya sasa huyo hapo, ana maajabu gani? Unai alikuwa sahihi kutompanga, ni mzigo kwa timu.

Lacazette sasa. yani ndo uuuuuuuuwwiii!! Anakimbiakimbia tu kama masai mbugani. Haeleweki anacheza kitu gani. Ukijumlisha na Flop wa match ya leo - bwana Auba - basi nadhani unajua unapata kitu gani. Yani ndugu zangu nyie mkiingia Top 4, ni kombe kabisa. Itabidi Malkia Elizabeth ampe u- sir bwana Arteta.

Kwa hizi sub za Willock ... kazi ipo kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu naona maneno mengi sababu Liver ipo vizuri msimu huu? Tunajenga timu, still tuna kocha mpya so bado kuna changamoto za kufanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahitaji kiungo namba kumi mzuri anayejua kufunga, kuassist na kupush timu iende mbele,Mpira wa kizamani wa kutegemea timu iperform eti ndio na wewe mchezaji ushine haupo huo,Mchezaji asiye na individual tracing mpira wa sasa lazima umshinde tu, ona kama akifeli Aubameyang timu inashindwa kufunga goli, ndio nini sasa hiki,Kiungo lazima awe ana option nyingi,James Rodriguez atatufaa sana, rudisha Ceballos mlete James full stop.
Mm naamini ceballos yupo vizuri kama akipewa nafasi...anajua kushoot,kudribble,kupunguza watu hata assist...Nasubir arteta ampe tena nafasi tumuone.
 
Mm naamini ceballos yupo vizuri kama akipewa nafasi...anajua kushoot,kudribble,kupunguza watu hata assist...Nasubir arteta ampe tena nafasi tumuone.
Ana Chuki nae hawezi mpa nafasi Arteta ni mcatalunya anaonyesha chuki wazwaz leo hivi kama hauna chuki na tunahitaji matokeo kati ya willock na ceballos nani alikuwa muhimu?maisha ya ceballos na pepe yatakuwa magumu sana chini ya Arteta naamini kwa sasa Hawana nafasi tena kama Leo tunataka matokeo ya 3 points na hawakuingizwa sioni kama kuna mechi watacheza labda aone aibu sababu amesema anakubali kukosolewa na amekosea Leo amekiri labda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu walikuwa wakiongea hapa kundi zima kumhusu Unai kutomchezesha Ozil. Haya sasa huyo hapo, ana maajabu gani? Unai alikuwa sahihi kutompanga, ni mzigo kwa timu.

Lacazette sasa. yani ndo uuuuuuuuwwiii!! Anakimbiakimbia tu kama masai mbugani. Haeleweki anacheza kitu gani. Ukijumlisha na Flop wa match ya leo - bwana Auba - basi nadhani unajua unapata kitu gani. Yani ndugu zangu nyie mkiingia Top 4, ni kombe kabisa. Itabidi Malkia Elizabeth ampe u- sir bwana Arteta.

Kwa hizi sub za Willock ... kazi ipo kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee umeongea ukweli kabisa, hatuwezi kwenda UEFA bila commitment, kwasababu unaweza ukajiuliza swali dogo tu "hivi wachezaji wetu walikuwa hawajui kwamba leo it was a must win game? inamaana hawajiskii vibaya kuwa chini ya Shelfield utd,Everton,palace??...vitu vingine vinakera sana, wao wenyewe wanafanya waonekane average players, unatakiwa ujue nini maana ya kuvaa jezi ya Arsenal sio unakuwa falafala tu
 
Nazipenda sana sana jezi zetu za Away ila nafikiria kumpa msaidizi wangu wa home (house boy)kama zawadi tu licha yeye ni Mancity kama wanaocheza uwanjani hawaoni au hawapambani kupata matokeo na kocha ambaye anaonyesha chuki Kali huku tunahitaji 3 points Mimi ni nani niendelee kuvaa jezi zangu hizi kali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7623.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ana Chuki nae hawezi mpa nafasi Arteta ni mcatalunya anaonyesha chuki wazwaz leo hivi kama hauna chuki na tunahitaji matokeo kati ya willock na ceballos nani alikuwa muhimu?maisha ya ceballos na pepe yatakuwa magumu sana chini ya Arteta naamini kwa sasa Hawana nafasi tena kama Leo tunataka matokeo ya 3 points na hawakuingizwa sioni kama kuna mechi watacheza labda aone aibu sababu amesema anakubali kukosolewa na amekosea Leo amekiri labda

Sent using Jamii Forums mobile app
Muwe munamuamini kocha!. Wakati Ozil anawekwa benchi watu walimtukana sana kocha kuwa hajui, sasa OIl anapangwa watu wale wale wameanza kuponda!.. Sasa naona watu wanalazimisha Ceballos apangwe!.. Kocha ameshamwambia kabisa kuwa apiganie namba!.. Hivi unajua Ceballos toka aje Arsenal kafunga goal ngapi na ana assist ngapi?.. Kusema kweli Ceballos alipokuja alikipiga ile mbaya hasa mechi yake ya kwanza na ya pili, baada ya hapo akaflop sana!.. Pepe nae anacheza mpira wa kiafrica wa chenga nyingi na kufinya kwingi bila sababu!.. Kocha anamuelekeza lakini habadiliki, siku akianza kupigwa benchi watu mtaona kaonewa!.. Mwacheni kocha wetu apange timu, yeye ndio anaijua timu huko kwenye mazoezi!.. Timu ipo kwenye transition na tunapitia mengi kwa sasa kama Man u, chelsea, man u, Spurs.. Tumuache kocha asuke kikosi chake! Sasa kama akina Lacazette, na Ozil wanaunderperform kocha afanyeje sasa na hakuna mbadala wa kueleweka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom