Obby18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 212
- 172
Matteo ndo moja ya sababu sisi kuwa wa 12 hapo na akikaaga na Toreirra huwa Kati panavuja kama maji hilo linafahamika na haina ubishi hyo sehemu inahitaji usajili mkubwa ila ni bahati mbaya Xhaka hayupo inabidi acheze yeye ila nakuapia kama leo Chelsea wanataka ushindi hapo ni sehemu ya kwanza yenye udhaifu mkubwamzee baba wewe si kocha.. arteta ndio anajua kila mchezaji strength & weakness zake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Matteo ndo moja ya sababu sisi kuwa wa 12 hapo na akikaaga na Toreirra huwa Kati panavuja kama maji hilo linafahamika na haina ubishi hyo sehemu inahitaji usajili mkubwa ila ni bahati mbaya Xhaka hayupo inabidi acheze yeye ila nakuapia kama leo Chelsea wanataka ushindi hapo ni sehemu ya kwanza yenye udhaifu mkubwa
Nelson sina la kusema ila kwa akili ya kawaida je Nelson ni mzuri kuliko Pepe?labda kama Arteta kabanwa na sheria ya ligi lazima kuwe na Waingereza kadhaa kwenye kikosi labda ila zaidi ya hapo ni labda ana lake jingine ila Pepe ndiye msumbufu hata mabeki huwa wanamuogopa na kutaka kumchezea rafu za kumvunja miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shda Mashabiki mkiambiwa ukweli mnakataa Mimi na miaka 20 naifuatilia Arsenal naijua vizuri sanaDah! Wewe jamaa bana... jifunze kuandika kwanza kisha acha kubet na pesa za mawazo.
Washabiki sisi. Kiufupi washabiki wa arsenal tunajua kuliko makocha. This is so surprising jamani.
Hebu muacheni kocha afanye kazi yake. Huyu arteta si ndio tulimtaka???
Hata mimi ningependa pepe acheze, lakini ule wakati nipo kwenye midaladala ya mwendokasi kuelekea posta kutafuta ugali wangu, ule muda ambao wewe upo stesheni ukisubiria gari za mbagala, ule muda ambao unafanya shughuli zako ndio muda ambao arteta yupo na wataalamu wenzie wa mpira ambao wamekuwa kwenye soka kwa miaka kadhaa wa kadhaa wakiangalia na kuchambua ni mchezaji gani Bora acheze.
Tuacheni ujuaji mwingi wazee
Ukiwaambia ukweli wanaona wewe si shabiki wa damuMzee umeona yule mtoto nelson anavyozingua! Kapoteza mipira kadhaa ya muhimu!! Tukiwa katika move ya kwenda kufanya shambulizi anapoa!! Hasogei juu, anajivuta pembeni.