Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mzee timu yetu haina hiyo shida. Now usinielewe vibaya ukasema nimemaanisha we are invincible, hapana, ila hatuna ubovu wa mpaka kocha akimbie timu.

Kila siku nasema. Mchawi wa Arsenal ni morali kua chini
100%
 
Tuna CB Holding, Sokratis, Luiz, Chambers na dogo nimemsahau. CM tuna Ceballos, Niles, Ozil (Anaweza cheza kama CM au AM) Willock, Xhaka na Torreira (natural DMF ila kwenye 4 3 3 wanakua CMF), Guendouz, Smith Rowe, Willock n.k. nahisi AMF
Uliyemsahau ni Dino Mavrapanos jamaa yupo poa ila record yake ya majeruhi sio nzuri,
Pia kumbuka next season tutakuwa na Willy Saliba ....ni vema endapo itatakiwa aongezwe CB lakini ni vizuri wapunguzwe waliopo pia....

Ukiangalia Chambers,Holding,Dino na Saliba hawa wote ni promising wanaweza kukupa kitu baadae....

Lakini kuna Sokratic,Mustafi na Luiz ambao naona bora wakaoffload mmoja kati yao ili kuleta ingizo jipya....
 
Luiz na sokratis hawa siowakuwaamini , tunahitaji beki kama upemacano ,

Strength kwenye midfield inahitajika bado japokuwa tuna xhaka lt11 ceba na gunduz ,

Mbele hakuna tatizo, kama Auba ataondoka January , Dili la jovic itakuwa poa
Uza kwanza Mustafi ili aje beki mwingine mkomavu ili aje kuwainua madogo kina Dino,Callum,Rob na Saliba
 
Uliyemsahau ni Dino Mavrapanos jamaa yupo poa ila record yake ya majeruhi sio nzuri,
Pia kumbuka next season tutakuwa na Willy Saliba ....ni vema endapo itatakiwa aongezwe CB lakini ni vizuri wapunguzwe waliopo pia....

Ukiangalia Chambers,Holding,Dino na Saliba hawa wote ni promising wanaweza kukupa kitu baadae....

Lakini kuna Sokratic,Mustafi na Luiz ambao naona bora wakaoffload mmoja kati yao ili kuleta ingizo jipya....
Hapa kwenye CB tuna damu changa nyingi. Na nilimsahau Saliba.
 
Uliyemsahau ni Dino Mavrapanos jamaa yupo poa ila record yake ya majeruhi sio nzuri,
Pia kumbuka next season tutakuwa na Willy Saliba ....ni vema endapo itatakiwa aongezwe CB lakini ni vizuri wapunguzwe waliopo pia....

Ukiangalia Chambers,Holding,Dino na Saliba hawa wote ni promising wanaweza kukupa kitu baadae....

Lakini kuna Sokratic,Mustafi na Luiz ambao naona bora wakaoffload mmoja kati yao ili kuleta ingizo jipya....
Nampango uliopo mustafi , luiz ,sokratis mmoja wapo watamuondoa , luiz atabaki kama kiraka kumalizia mkataba wake
 
Kocha ni Arteta
Moja ya kamari ambayo Arsenal watakua wameicheza ni kumpa Arteta kazi ya ukocha.

Arsenal ya sasa haihitaji kocha wa majaribio, inahitaji kocha mwenye mbinu, anayeweza kuhamasisha wachezaji, kocha mwenye experience aliye-prove uwezo wake kwenye ligi kubwa.

Narudia kusema, "kumpa kazi Arteta ni kucheza kamari ya karne".
 
Martinelli made 20 high-intensity sprints yesterday, 10 more then any other Arsenal player.

Freddie:"The energy of Martinelli, he’s like a Duracell battery, he never stopped moving and running!"

His energy is immense and exactly what we need in PL from the start from now on!
IMG_20191210_093713.jpeg
IMG-20191210-WA0006.jpeg
 
#GABRIEL MARTINELL KIPAJI KISICHO ACHA SHAKA

Ni kipaji sio haba moja kati ya wachezaji #potential sana kwa umri wake atacheza yake inaonesha huyu ni #born talented anayetakiwa kuongezewa baadhi ya vitu tu ili afanikiwe kufikia #peak ya juu kabisa ya kiwango chake

Yupo arsenal kwa sasa wakijaribu kumu #intergrate taratibu azidi kuingia vizuri ndani ya #starting line up binafsi huwa nakubali vipaji na #potential players

Mfano kina sancho,joao felix,de light,de jong,mbappe ni vipaji sio haswa lakini cha msingi zaidi ufanyaji vizuri wa hawa ni kulingana na mazingira pia waliyopo

Tofauti hapa kwetu vijana hawa wengi wao wamekuwa #incosistency hasa vijana wetu wa hale end(Arsenal academy)inaoneka hata #production yetu ina tatizo

Team yetu kwa sasa ina mahitaji makubwa kiuchezaji kuliko kufanya #intergration ya hawa vijana maana sio mazingira rafiki kwao kuonesha ubora sitahiki kwa mda mrefu

Mfano bukayo saka huyu alianza kucheza #regulary lakini kadri siku zinaenda unaona kabisa kuna kitu anapoteza kuna lack of #maturity na sio kwamba ni mbaya ila anahitaji #programne nzuri ya kumtumia

Sawa na martinell huyu ni future #prospect pengine backup ya kina auba anahitaji programe sahihi kuwa #intergrated ili tusipoteze ubora wake mapema kwa kumtwika zigo kubwa la majukumu afu tumlaumu

Anahitaji playing time lakini in proper way sio kumfanya tegemezi mazingira kwetu hapa sio rafiki

Hii game time anapewa saka angepewa gabi ingekuwa vizuri mno ila mtazamo wangu
IMG-20191210-WA0003.jpeg
 
Betting inahitaji roho ya kibandidu ukiona moyo unakuambia muue man united sasa wew nenda kinyume chake hapa asernal alikua na odds 2 akat game inaanza lakini sikutaka kumpa nilitaka mpk apandishiwe odds angalau afike walau odds 3 mara akapigwa goli moja akati wamerudi kipindi cha pili muda wote anashambuliwa,nikaenda katika uzi wa Arsenal nikakuta ARV kacomment,narudi Parimatch nikakuta kapandishiwa odds mpk kufika 5.3 nikasema ewaaah hizi ndo odds zangu ukizingatia jamaa ana gundu filauni anasubiri.... nikapanda kwa 40k nikanywa hennessy afu nikaendelea kuwaangalia ... hatimaye wanarudisha hii tunaita ngumu kumezaView attachment 1287529
Oi mkuu, fanya kunitumia na mimi hizi ngumu kumeza tumfirisi muhindi, ni noma aisee.
 
anceloti sidhani ataweza kukubalii, kupokea timu ambayo ina mapungufu kweny middle na defense, alafu ana bajeti ya 40m!!

aise hapo pagumu sana
Atapewa bajeti kubwa zaidi ya hiyo na kabla hajasaini inamaana lazima ataomba mpunga mkubwa wa kusajili, kocha mkubwa Kama Yule hawezi kuingia sehemu ambayo ina mapungufu mengi bila kuomba fungu kubwa la usajili
 
Back
Top Bottom