Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu Mike Dean ni shoga huyu kudadeki zake ,sasa lile jamaa lilivyomparamia Pepe faulo ya wazi kabisa tena ya kadi yeye anaacha,sijawahi kukielewa hiki kibabu manina zake
 
Tatizo siyo freddie, timu imeharibiwa na unai kaacha wachezaji wazuri wameondoka kasajili magarasa kaaribu formation haya ndiyo matokeo sasa mpaka ikae sawa kazi ipo
Na ndio maana tunaweza kuivumilia,

Maana mtu kaharibu timu miezi 18 unategemeaje mwingine aje kuiweka sawa kwa wiki 1 au 2???
Hapa hata aje kocha gani bado anatakiwa avumiliwe.......
 
Hapa akija kocha mpya apewe fungu aingie sokoni kukishape kikosi naamini wachezaji wapya wawili au watatu wa maana wanaweza kumsha ari za wengine.....
 
Tatizo siyo freddie, timu imeharibiwa na unai kaacha wachezaji wazuri wameondoka kasajili magarasa kaaribu formation haya ndiyo matokeo sasa mpaka ikae sawa kazi ipo
Kwani Wenger aliiachaje? Na ni kwa nn alitimuliwa?
 
Tatizo siyo freddie, timu imeharibiwa na unai kaacha wachezaji wazuri wameondoka kasajili magarasa kaaribu formation haya ndiyo matokeo sasa mpaka ikae sawa kazi ipo
Wachezaji gani wazuri walioachwa wakaondoka mkuu???
 
Mimi nadhani tuna tatizo kubwa sana na CB zetu, kipa wetu nahisi kama ame-improve kiasi
 
Pigaaaaaa Ogbonaaaaaaaa
Ungojege hata mechi iishe mzee wa gundu
Screenshot_20191210-003015.jpg
 
Back
Top Bottom