DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Siku nyingine wewe ukiona una stress basi pitia humu yaani ukiona ARV kacomment hapa basi wewe nunua Energy drink yako nenda hata banda umiza kacheck game ni lazma tushinde mkuu
Dah sikucheki gemu maana nilikuwa na stress na nilijua hawa washika mitutu wangeniongezea stress..... Kama mambo yalikuwa hivi safi sana....
