Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Bellerin just gone injured himself, maitland miles is going to start as a full back right
Potelea pweteeee tumeipenda wenyewe, ACHA ITUUUEEEPigaaaaaa Ogbonaaaaaaaa
Vipi tayari kimeiva? maana nimeomba GG natarajia kitu hapaPigaaaaaa Ogbonaaaaaaaa
Sana..Ljunberg kauingia mkenge hapa.Hii timu inahitaji major overhaul
Nilikuwa nataka nikalale sasa kwakuwa wewe umecoment hapa aiseeh hii game tunashinda maana wewe jamaa kila unalolitakaga halijawahi kuwa,Pigaaaaaa Ogbonaaaaaaaa
AiseeeehAcha nikalale kesho niwahi kuamka kufanya kazi ya Kujenga Taifa letu kuliko kupoteza muda kuangalia timu ya mashoga kama hii na natabiri natabiri Freddie kama ataendelea kubaki ataishusha Arsenal kwenda championship kuna timu Brazil baada ya miaka 98 imeshuka Daraja why not Arsenal?nawatakia usiku Mwema
Tatizo siyo freddie, timu imeharibiwa na unai kaacha wachezaji wazuri wameondoka kasajili magarasa kaaribu formation haya ndiyo matokeo sasa mpaka ikae sawa kazi ipoAcha nikalale kesho niwahi kuamka kufanya kazi ya Kujenga Taifa letu kuliko kupoteza muda kuangalia timu ya mashoga kama hii na natabiri natabiri Freddie kama ataendelea kubaki ataishusha Arsenal kwenda championship kuna timu Brazil baada ya miaka 98 imeshuka Daraja why not Arsenal?nawatakia usiku Mwema