Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kwanini unasema kocha ni Arteta mkuu, amefanya nini cha maana?

Naona kumtoa freddie na kumleta Arteta hakuna utofauti,au kwa kuwa Arteta kafanya kazi na Pep??

Wamuache Freddie aendelee na project yake hapo Arsenal, hata ukiangalia wachezaji wanampenda kocha wao.
Hapana nimesema hivo nikimaanisha ndiye mwenye nafas kubwa ya kupewa ukocha katika candidates waliopo
 
#TUNAHITAJI MUDA ZAIDI ILI KURUDI ASILIMIA ZOTE KWENYE UBORA WETU

Niliwahi ongea ljungberg kapewa team kwenye hali ngumu sana kadri wachezaji wanavyokutana na matokeo mabovu mfululizo lazima wapoteze kujiamini

Hii ilikuwa kazi kubwa ya kwanza kwa ljungberg kujenga #confidence pili alihitaji kujenga #identity kiuchezaji kitu ambacho tulikipoteza kabisa hapo nyuma kidogo

Lakini mchezo wa jana nimeweza kuona mabadiliko kiuchezaji nimeweza kuona arsenal ikipiga #complete pass zaidi ya 5 papo kwa papo

Kocha alisema anahitaji #quick #transition nafikiri kiasi ameonesha nini alihitaji jana asa second half nimeona #sprit ya wachezaji niliwahi zungumza nikasema

Players works on #tactics nafikiri kwa aliyecheki game atanielewa kiasi kwa jana

Gabriel huyu nibrazil sijawahi kuwa na wasi wasi na hawa watu ana #energy ana #speed anajua right positions anakaba kimsingi huyu ni #potential

Nicolaus pepe african boy pepe alihitaji #confidence tu kutupa anachotakiwa kutupa hapo kabla kacheza kwa #pressure sana naona ljumberg kampa free role jana tumemuona pepe wa lille

Aubameyang bishoo anayefanya kazi kazi yake kwa usahihi ni muendelezo wa yake anafanya ukimchukia huyu ni sawa bure 1 #goal with #assits

Wote walijitahidi kupambana tumeweza ila tunatakiwa kupambana zaidi na kuendelea kujiamini zaidi
IMG_20191210_104300_693.jpeg
 
Bordeaux’s Director of Football Eduardo Macia on Arsenal/Sousa rumours: “It would be normal that teams are interested in him but we have not been contacted.” [@lequipe]
 
Vieira's candidacy for that [manager] position is being championed by Edu, Arsenal's technical director and Vieira's former teammate. Edu is pushing the other people on a 4-man committee, who the Kroenke's have tasked with drawing up a long list of candidates [@DuncanCastles]
 
#AFC looking for someone who played for the club, understand the institution and can communicate well to be their next head coach. MA and PV are prime candidates [via Balague’s Top5 series]

IMG_20191210_190956_297.jpeg
 
Ornstein:

“I’ve been told by a couple of people that Mikel Arteta is the #1 target of Arsenal now & that’s been reported elsewhere too. Some feel it’s as close as being his decision & some say he still has to come through a thorough interview process.” #afc
IMG_20191210_192040.jpeg
 
David Ornstein:

“The likes of Carlo Ancelotti tick other boxes in terms of the vast European success & experience, but I suspect & could be completely wrong, that Arsenal are focussing towards the younger-end & also the connection with Arsenal.” #afc
IMG_20191210_193016.jpeg
 
Kwenye hili jukwaa nimeona kuna wengi wana mashaka sana na Arteta, lkn ukipitapita twitter unaona kuna mashabiki wengi sanaa wa arsenal ambao wanapenda na wana hamu kumuona Arteta pale.

Kifupi hakuna mengi ya kuzungumza kuhusu Arteta. Hajawahi kuwa kocha mkuu wa timu yeyote ile na nafasi ya kocha msaidiz pale man city ndio nafasi pekee ambayo kubwa ameishikilia.

Arteta alianza kujifunza ukocha katika miaka yake ya mwishoni mwishoni akiwa arsenal. Nakumbuka alikuwa akifundisha arsenal under-15 mara chache chache na pia amewahi fundisha timu ya taifa ya Wales under-16. Kote huko alikuwa akifundisha kama sehemu ya mazoezi ya kozi ya ukocha aliyekuwa anasomea.

Akiwa ktk msimu wake wa mwisho na mara baada ya kutangaza kustaafu, timu nyingi zilionesha nia ya dhati ya kumtaka ikiwemo Arsenal, Everton na Tottenham lkn aliamua kwenda Man City

Kwann watu wengi wanaona Arteta anafaa kufundisha arsenal? Kwanza, Arteta ana sifa zote ambazo tunaambiwa viongozi wa arsenal wanazitaka kwa kocha atakayepewa nafasi hiyo.

Pili na muhimu zaidi ambayo inawafanya watu wamuamini zaidi Arteta ni sifa kibao ambazo amekuwa akipewa na makocha na hata wachezaji wenzake tangu hata kabla hajaingia rasmi kwenye kazi ya ukocha. Wenger, Guardiola, Pochetino, Alonso, Moyes, Per na wengineo wengi sanaa kwa wakati mbalimbali wamewahi kummwagia sifa Arteta.

Winger wa Manchester city, Leroy Sane miezi michache iliyopita alinukuliwa akisema kuwa watu wanamuongelea sana Guardiola lkn kwake yeye Arteta ndio anayefanya kazi kubwa.

Guardiola mwenyewe anasema kuwa Arteta ana uwezo mkubwa sanaaa wa kuchanganua matatizo na kuyapatia suluhisho
IMG_20191210_192040.jpeg
 
Arsenal, who is still waiting to find the definitive replacement for Emery, is strongly interested in the Italian coach Carlo Ancelotti. [@DiMarzio]
 
Gabriel Martinelli has now scored on his:

• Europa League debut
• Carabao Cup debut
• Full Premier League debut

Only 18 years old, natural finisher. A proper talent.
.
.
.
Gabriel Martinelli for Arsenal this season:

14 games
️8 goals
2 assists
directly involved in a goal every 69 minutes

18 years of age. Fenomeno.
IMG_20191210_014850.jpeg
 
Nyinyi hata tukichezesha kina Angel Gomes na wenzake lazima tuwachape tu.

London babies
Nyie hata siwawazii , mpaka tukutane na nyie timu tayari imesha gain momentum ya kutosha ,

Kama Emery ana umbumbu wake mlimshindwa anawawekea wakabaji watatu, msahau kabisa
 
Manchester City coach Mikel Arteta is also high on their hit-list while Napoli boss Carlo Ancelotti could soon become available amid a difficult time in Italy.
IMG_20191210_193016.jpeg
IMG_20191210_190956_297.jpeg
 
Pepe , auba na martinel wanaweza tengeneza utatu mmoja mzuri sana

Laca anatabia ya kuhold sana mipira ,anajimwambafai sana akiwa na mpira ,

Faida ya martnel anacheza winger zote na CF , hivo anakuwa fkexible kufanya movement kila upande ,

Auba pia anaweza kutokea pemben , hii inafanya hawa watatu nione wanendana sana kuliko laca akiwepo timu inakosa balance ,

Laca ana demand £200k , itakuwa poa akiuzwa na hela yake iongeze beki,

Madrid nao kama wanamtaka Auba , walete hiyo hela na Jovic ,

ila martinel ni hazina kubwa anajua nn anachokifanya ,

Pale katikati kiungo akicheza xhaka & toreira kinakuwa compact ,

Colum aachwe Kama CB, View attachment 1287402

Pure arsenic thinking
 
Back
Top Bottom