Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Attachments

  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    17.3 KB · Views: 6
  • IMG_20191210_124748.jpg
    IMG_20191210_124748.jpg
    58.9 KB · Views: 6
arsenal board haieleweki, inamtaka nani? sources zinasema arteta ndo chaguo namba 1, mara hapo hapo wanamsubiria mtu afukuzwe kazi.....kwaiyo anceloti ndo kocha wa arsenal, haina maana kusema arteta chaguo lao....badae wabadilike tena.
 
Mzee unamtukana Lacazette.

Martnell yuko poa tangu day one namuona Europa nilijua ni yuko poa. Lakini kudai Laca aende kisa huyu dogo siyo sahihi.

Lacazette kwa uwezo wake wa kukaa na mpira na nguvu anastahili kua right wing au CF. Martnell anapendeza kua CF kwa sasa, Pepe jana katukosesha goli la nne, bado tumtupe Lacazette?

Mi siamini.
Ndio maana nkamwambia Aaron Arsenal not too fast
 
Hicho ni kifaa
Mkuu tukimpata huyu Simeone tutakuwa tumelamba dume aisee!.. Arteta mimi simuamini sana, hapo tunacheza kamali tu, mtu hajawahi kufundisha hata championship tuna uhakika gani kama atafanikiwa!.. Kwa matatizo tuliyonayo Arsenal anahitajika kocha mzoefu ingawa hata akicheza Arteta kwangu ni sawa ukilinganisha na yule mhindi aliyeondoka!
 
Mkuu tukimpata huyu Simeone tutakuwa tumelamba dume aisee!.. Arteta mimi simuamini sana, hapo tunacheza kamali tu, mtu hajawahi kufundisha hata championship tuna uhakika gani kama atafanikiwa!.. Kwa matatizo tuliyonayo Arsenal anahitajika kocha mzoefu ingawa hata akicheza Arteta kwangu ni sawa ukilinganisha na yule mhindi aliyeondoka!
Kama tunaona tunaweza kua na Arteta basi ni bora kubaki na Ljungberg. Ljungberg kamzidi Arteta angalau 1% Ljungberg kashakua head coach kabla ya hapa Arsenal anajua machungu ya kuwajibika kwa kukosa matokeo. Ana uzoefu wa kua direct responsible kuliko Arteta.

Arsenal inataka kufuata nyayo za baadhi ya timu, mfano Chelsea na Man U. Lakini kwa Chelsea hakuna kocha mwenye hadhi angekubali kuichukua timu ambayo imepigwa ban kusajili. Kwahiyo Lampard ilikua ni kukabidhiwa gunia la misumari hawakumpa timu kwa kupenda.

Man U wana stori tofauti kidogo na Chelsea wakati inahangaika na makocha, ilileta world class coaches ila timu na mashabiki wakawa wanagawanywa so wanamrudisha Ole, mwenzao na waliokua wanamponda Mourinho na wengine ili kupunguza hayo maneno na wamefanikiwa.

So kurudisha wachezaji siyo deal mbovu ila wana uwezo? Kwa kikosi chetu kurudisha mchezaji ni risk. Zidane alibebwa na Ronaldo sasa hivi nahisi anajuta.
 
anceloti sidhani ataweza kukubalii, kupokea timu ambayo ina mapungufu kweny middle na defense, alafu ana bajeti ya 40m!!

aise hapo pagumu sana
Mzee timu yetu haina hiyo shida. Now usinielewe vibaya ukasema nimemaanisha we are invincible, hapana, ila hatuna ubovu wa mpaka kocha akimbie timu.

Kila siku nasema. Mchawi wa Arsenal ni morali kua chini
 
Mzee timu yetu haina hiyo shida. Now usinielewe vibaya ukasema nimemaanisha we are invincible, hapana, ila hatuna ubovu wa mpaka kocha akimbie timu.

Kila siku nasema. Mchawi wa Arsenal ni morali kua chini
Kiujumla Ljumbareg anakitu ataleta pale lkn pia apewe na mda maana ninamuona kama anatafuta kitu flani hivi kwa wachezaji lkn pia January zipatikane signature za muhimu hasa CB apatikane mmoja pia CM na AM maana kuna kitu atatupa huyu mtu


Maoni yangu hayo
 
Gabriel Martinelli is the fourth youngest player to score in the Premier League for Arsenal, after Cesc Fabregas, Serge Gnabry and Alex Oxlade-Chamberlain
IMG_20191210_020152.jpeg
 
Kiujumla Ljumbareg anakitu ataleta pale lkn pia apewe na mda maana ninamuona kama anatafuta kitu flani hivi kwa wachezaji lkn pia January zipatikane signature za muhimu hasa CB apatikane mmoja pia CM na AM maana kuna kitu atatupa huyu mtu


Maoni yangu hayo
Tuna CB Holding, Sokratis, Luiz, Chambers na dogo nimemsahau. CM tuna Ceballos, Niles, Ozil (Anaweza cheza kama CM au AM) Willock, Xhaka na Torreira (natural DMF ila kwenye 4 3 3 wanakua CMF), Guendouz, Smith Rowe, Willock n.k. nahisi AMF
 
Hawa viongozi hata hawaeleweki....yaani ni kama wanahitaji makocha wote.... Kwa makocha wengine naona ni kamali kama ya Emery tu...
 
Tuna CB Holding, Sokratis, Luiz, Chambers na dogo nimemsahau. CM tuna Ceballos, Niles, Ozil (Anaweza cheza kama CM au AM) Willock, Xhaka na Torreira (natural DMF ila kwenye 4 3 3 wanakua CMF), Guendouz, Smith Rowe, Willock n.k. nahisi AMF
Luiz na sokratis hawa siowakuwaamini , tunahitaji beki kama upemacano ,

Strength kwenye midfield inahitajika bado japokuwa tuna xhaka lt11 ceba na gunduz ,

Mbele hakuna tatizo, kama Auba ataondoka January , Dili la jovic itakuwa poa
 
Back
Top Bottom