Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kocha aliacha kuwasikiliza mashabiki ndio maana matokeo yaklawa hivyo, basi maji yameshamwagika

The team selected by Arsenal fans
 
Kocha aliacha kuwasikiliza mashabiki ndio maana matokeo yaklawa hivyo, basi maji yameshamwagika

The team selected by Arsenal fans
Wapi tena luiz? CFC wanajua biashara sana
 
Vijana wako hawajazingatia ulichowaambia ndio mana mmepakatwa kama kawaida yenu
 
Yani huyu Luiz sijui nani alipendekeza anunuliwe? Bellerin leo ndo flop wa mechi. Pepe naye ndo hata haeleweki anaenda kuielewa ligi au kulewa ligi. Naye anatolewa ili aingizwe Willock, what a joke! Timu inacheza kukamilisha ratiba, haina ambition wala callibre ya ushindi!

Haya Unai kaondoka. Tunamrushia nani zigo la leo?
 
Hii team inao wachezaji vivuli hawana madhara yoyote wanarukaruka tu uwanjani ,tukiwambia wachezaji wenu wa kawaida sana wanakasirika na kutajataja majina
 
Poche kuajiriwa na team ya EPL haiwezekani kwa msimu huu ,atakaye hitaji huduma yake anapaswa kuilipa spurs $12.5M hakuna team itathubutu kulipa pesa hii kwa kocha
 
Ni kweli kabisa team imebadilika
 
Mumefukuza abdalla mumeleta dulla
Hii timu mtafukuza kila aina ya kocha,michezaji ndio mibovu....huyu sokratic bora ya mlipili,

Berelin ni mavi
Kolasinac mikojo
Hapo timua wote abaki xhaka,leno na laca hao wasenge wengine wakatafute michezo wanayoweza
 
Hata mbinu zibadilike tushawaambia wachezaji wenu hawana viwngo vya kushindana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…