Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

 
Wafiwa msijali hili zoezi la maturubai nitalifanya mwenyewe...kamati ya chakula ollachuga na king ngwaba watahusika,kamati ya vinywaji ndugu penison usituangushe....


Huku lembu utakuwa na kazi ya kumfuta machozi dullyjr na Aaron Arsenane

Mimi nitahakikisha wageni wote wanapata sehemu sahihi ya kukaa
 
hapa bodi ya arsenal wafanye mchakato haraka wakutafuta a qualified top manager atakayeweza kutatua tatizo haraka na asiyeingiliwa kikazi, defense na mildfield ni mbovu kupitiliza.
piga tathimini mechi zilizobaki kama wakiendelea na hali hii

9/12 westham (lose), 15/12 mancity (lose),21/12 everton (draw), 26/12bournemouth (draw), 29/12chelsea ( lose), 1/1 man u (draw)
arsenal itakuwa kwenye danger zone hapo lawama tuziwape kwa mmiliki na bodi ya arsenal wamezidi ubahili
 
kwamba arsenal waliona man u wanafaidi sana kwa ole.na wao wakampa timu fredie.
unai hana makosa
 
Duh poleni majirani. Ndio naona matokeo hapa. Kweli hii Arsenal imeparalize karibia inakata roho.

Tuliwaambia Unai ataondoka mtaanza kunyooshea wachezaji vidole. Wachezaji wenu wame expire.

Nawaona Auba na Laca wakiondoka kwenda kutafuta mafanikio sehemu nyingine.

Pona yenu ni kumchukua pochetino asuke timu upya wachezaji wapya wenye vision mpya. Tena wakati anaisuka timu mashabiki mfunge mabakuli yenu.

Mbali na hapo mtamaliza makocha wote duniani arsenal itabaki ile ile KICHWA CHA MWENDAWAZIMU
Kama jana Auba alikasirika kweli, jamaa sijui ni kimeo yupi, wakati Auba yuko kwenye kona zake za kufunga jamaa bila pressure akabutua mpira goal kick. Msimu ujao hao jamaa watasepa na Pepe atarudi Ligue one huko ndiko size yake
 
Poor asenane washika manati wa london
FB_IMG_1575220240983.jpeg
 
Arsenyani mnatia huruma, lazima mshuke daraja msimu huu.
Kisingizio kilikua kocha Unai sasa sijui mtajificha wapi. Hamna wachezaji mna makapi
 
Unai kaondoka, naona sasa hivi mbuzi wa kafara ni David Luiz, hakuna haja ya kutupiana lawama, kikosi kizima kina shida, january ni kufanya usajili wa nguvu !
 
ARSENAL VS B HOVE& ALBION

Ni mchezo wa pili huu kwa kocha wetu huyu wa mda Ljumberg ninefatilia jana mazoezi ya team yetu ata ufundishaji umebadilika kidogo kwa sasa

Unaona akifundisha team kumiliki mpra na kuwa na speed kurudi kutafuta mpra wakipoteza hii nimeona jana arsenal media kwenye kasehemu ka mazozezi ya jana

Hii inanipa taswira leo tunaweza fanya vizuri ni mtazamo wangu team selection siwezi zungumza sana ni swala la kiufundi zaidi lakini binafsi nilitamani iwe selection sahihi

Brighton sio wepesi pengine ni team ngumu kuliko hata norwich tunahitaji high pressing huku tukiwa na nidhamu kubwa kiulinzi kuepuka makakosa ya mara kwa mara natumaini ushindi unaweza patikana tukizingatia hayo
Pole sana Aaron, we're still doomed. Msimu huu tukimaliza top ten tushukuru sana.
 
Vip Pepe kalee ana shot on target ngap? Wapi beki bora Luiz? Nakumbuka alisema anakuja arsenal kubeba makombe..

Uyu Auba tunaeza pita Naye msimu ujao
 
Naona Unai anakula kilaji kwa raha zake huko aliko.
Mlikuwa mnapiga kelele oooh sijui Torreira anapangwa out of position oooh sijui Ozil hachezi na kelele nyingi mbona mambo ni yaleyale sasa pamoja na UNAI kuwaachia kikundi chenu.
 
Back
Top Bottom