Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,837
Binafsi kama nitakuwa tofauti nawengine nimechek game Jana at least mpira umechezwa hata kuposses tumeposses licha ya makosa yaliyotugharimu ila ukiangalia game ya Jana toka dk ya kwanza game ilikuwa kwetu, kingine kocha alichelewa kufanya sub genduzi na Willock badala ya Saka angeingia Pepe tungewini yote kwa yote siyo mbaya tuangalie mech ijayo dhidi ya Brighton, Japo bado sijajua kwanini Tirney na Bell9 hawakucheza tumpe muda tuone naye anakuja na mfumo gani, ukisema hatuna wachezaji naona sio sawa Wenger aliwatumia baadhi ya hao hao ninachokiona ni ari za wachezaji na kujituma vitaipandisha timu mpaka top four, kwa mtazamo wangu tukiimarika top four tunaigusa tu bila shida
