Ni pwagu na pwaguziArsenal na Man U ni pipa na mfuniko
Na nyie wanawake wa kijijini mnatukera sana kwa ushamba wenu huku mjini, haa haa, utaweza shindana na wanawake wa uswahilini weweSasa kocha ana siku tatu, wewe umeshaleta umbea wako huku, nyie wanawake wa uswahilini mnatukera sasa.
Sasa wewe mbona tukisema Arsenal ni ile ile kwa sababu ya hao wachovu mnatusema wanawake wa usahilini tunakera, shame on youTena wachovu wengi wapo nyuma huku wanakera kweli yaani.
Na wewe ni shabiki kitumbua ofcourse zote vitafunioHahahaahahahahahaahahah.
Will hao ndio mashabiki maandazi hao
Kama ni kocha wa siku 3 mbona mumeanza kumshambulia halafu sisi wa nje tukisema humbly Arsenal ni ile ile hata mbadilishe makocha mnaanza kutoa matusiSasa kocha ana siku tatu, wewe umeshaleta umbea wako huku, nyie wanawake wa uswahilini mnatukera sasa.
Mimi nilisema wachezaji hawajitumi nikaonekana nina matatizoIt will come a time, we will call Arsene back, timu bado ni hovyo, kama unajua mpira, tatizo la arsenal lipo sehemu moja, bado wachezaji hawajitumi
Wakati Wenger kaondoka nikatamani timu ipate mtu kama Diego Simeon wa Atletico, jamaa anajua kuimotivate timu. Akaja Emery, nikaona na yeye ana huo uwezo.Hili tatizo huwa namwambia rafiki yangu ARON kila siku. Arsenal inayo wachezaji wengi ambao sio level ya Arsenal.
Hili jambo limeendelea kuitafuna Arsenal tangu enzi za mwisho za mzee Wenger.
Wakati Arsenal inasubiria watoto wa Academy wapate uzoefu, Liverpool na Man city wanasajili wachezaji wakubwa wenye uzoefu mkubwa wanaowapa matokeo chanya.
Ukiondoa hao madogo pia wapo wachezaji viwango vyao vimeshuka sana, bado mnawakumbatia. Hii Arsenal wakiondoka Auba, Lacazette timu itaparalize itakata roho.
Tutaendelea kulaumu makocha, mifumo, falsafa (zilipendwa) ila mkae mkijua wachezaji wabovu na academy juniors with no qualities ndio wanaitafuna Arsenal.
Salama yenu ni kumleta pochetino aisuke timu airudishe top 3 ndio muanze kufikiria makombe.
Kwa hiyo willock ni bora kuliko PepeKiwango cha PEPE kinampa mashaka Freddie View attachment 1279263
Pepe tumepigwa mkuu.Kwa hiyo willock ni bora kuliko Pepe
Piga mbuzi hao...Mimi nilisema wachezaji hawajitumi nikaonekana nina matatizo
Hahaha Yakakukumba juziPiga mbuzi hao...
Huna jipya,hakuna anayemshambulia Freddie kwa muda huu,Kama ni kocha wa siku 3 mbona mumeanza kumshambulia halafu sisi wa nje tukisema humbly Arsenal ni ile ile hata mbadilishe makocha mnaanza kutoa matusi
Mara mnaanza kuwataja wachezaji kwa majina yao kwamba hawafai kuvaa Arsenal Jersey, mara wachovu hao, wewe mwenyewe umesema wachovu wamejaa huku nyuma, hii ina maanisha tuko sawa kwamba Arsenal ni ile ile haijabadilika
Mwisho wa siku tutajua ni nani mwanamke wa uswahilini hapa
Huyo ni Ollachuga Oc mzee,hahahaaaaaaaWana aseno msijali karbun tubugie maugali makavu makavu
Bhuke bhuke
Watu wa asenane akina
@DullyJrView attachment 1278737
Aiseeeh mbona lugha kalikali kulikoni?Na nyie wanawake wa kijijini mnatukera sana kwa ushamba wenu huku mjini, haa haa, utaweza shindana na wanawake wa uswahilini wewe