Unai Emery
Member
- Nov 19, 2019
- 79
- 62
Mikojo mitupu
Kumbe tatizo lilikuwa sio UNAI mlikuwa mnamsingizia tu kwa kifupi tu ARSENAL hakuna timu.

Unai ndio kawasababishia yote hayaKumbe tatizo lilikuwa sio UNAI mlikuwa mnamsingizia tu kwa kifupi tu ARSENAL hakuna timu.
We maandazi hebu tutolee huo ujinga wako humu tunataka kupumzikaMlikuwa mnapiga kelele oooh sijui Torreira anapangwa out of position oooh sijui Ozil hachezi na kelele nyingi mbona mambo ni yaleyale sasa pamoja na UNAI kuwaachia kikundi chenu.
ARSENAL VS B HOVE& ALBION
Ni mchezo wa pili huu kwa kocha wetu huyu wa mda Ljumberg ninefatilia jana mazoezi ya team yetu ata ufundishaji umebadilika kidogo kwa sasa
Unaona akifundisha team kumiliki mpra na kuwa na speed kurudi kutafuta mpra wakipoteza hii nimeona jana arsenal media kwenye kasehemu ka mazozezi ya jana
Hii inanipa taswira leo tunaweza fanya vizuri ni mtazamo wangu team selection siwezi zungumza sana ni swala la kiufundi zaidi lakini binafsi nilitamani iwe selection sahihi
Brighton sio wepesi pengine ni team ngumu kuliko hata norwich tunahitaji high pressing huku tukiwa na nidhamu kubwa kiulinzi kuepuka makakosa ya mara kwa mara natumaini ushindi unaweza patikana tukizingatia hayo
HaikuhusuTimu imejaa DEAD PLAYER tupu

Wakati mashabiki wa Chelsea wanafurahia kumuuza mzigo DAVID LUIZ nyie mlikuwa mnashangilia Dead player,Vipi kuhusu PEPE mlikuwa mnakenua meno 32 nje leo kawa mzigoUnai ndio kawasababishia yote haya
alipewa pesa akasajili mkojo
Unniambia Hainihusu wewe ukiwa kama nani kwenye Bodi ya ArsenalHaikuhusu
Mpumbavu wewe kalaleWakati mashabiki wa Chelsea wanafurahia kumuuza mzigo DAVID LUIZ nyie mlikuwa mnashangilia Dead player,Vipi kuhusu PEPE mlikuwa mnakenua meno 32 nje leo kawa mzigo
Kocha,Unniambia Hainihusu wewe ukiwa kama nani kwenye Bodi ya Arsenal
Lidaku lyaloMagoli yote miwili jamani yaliletwa kwenu kwa hisani ya David Luiz