Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kocha Leo alipoyumba ni kwenye lineup bac...... Kama lineup ingekuwa vizuri kulikuwa hakuna hata haja ya sub....Leo nimemsamehe ila siku nyingine asirudie
 
hivi huyu caretaker wa arsenal ni mrithi wa Unai au ni Mbadala wake???
 
DullyJr karibu pilau ya kula asenane
tapatalk_1575226309206.jpeg
 
Back
Top Bottom