Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
what a goal by Nasri. 2-0 tunaongoza i hope vijana hawatafanya mauza uza ya weekend iliyopita hapa.
Mkuu naona mmetangulia..ngoja tuone second half mtakapoanza kupoteana..Half time 2-0 bila tunaongoza ,najua wengi mnakumbuka kilichotokea mechi na spurs lakini mkumbuke tulicheza "away a.k.a emirates" leo tuko nyumbani "villa park" lol.
Mkuu naona mmetangulia..ngoja tuone second half mtakapoanza kupoteana..
Hali si mbaya ila hawa madogo kwa mechi mbili zilizotangulia hii, siwezi kushangilia hadi filimbi ya mwisho. But as a matter of fact, we are doing fine!
Kitu tayari 2-1
AH..basi bana nimekubali yaishe..1 - 3 mkuu:teeth:
????? Mbona unachanganya madawa mkuu?Adabayo ana miguu mirefu mno, mara nyingi anakosa magoli ya wazimkwa sababu ana shindwa kukadiria urefu wa miguu yake anapigia ugoko! Ha hah hah hah!