Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Namba yake anacheza.sakaya sijui sakayo sijui sakasaka daaaaOZIL is one of the Best Creative Midfield cha kushangaza hata Benchi hayupo Serious
Surprisingly there are fools here who are still supporting Emery
saka ndio anacheza namba ya ozil ?! we nyan'gau tuNamba yake anacheza.sakaya sijui sakayo sijui sakasaka daaaa
Utajua mwenyewe huko huko na sakasaka wako kima wewe sasa kama sakasaka anapata namba ozil yupo bench kuna timu hapo naona umeamka na wenge la cha nguruwesaka ndio anacheza namba ya ozil ?! we nyan'gau tu
Upo sport lady ulipotelea wapi
Sikusema hutaifunga timu UCL ,nilisema jiangalien mnaweza shika mkia ,kwan uongo, shukuru umemkuta lille kashachoka
Kwenye ligi pambana soon unapelekwa nafas 10-15
Mvuta bangi mwenzio huyu hapasaka ndio anacheza namba ya ozil ?! we nyan'gau tu
Kuna wapuuz watakuja kumtetea
Subiri uone
Nilishawambia toka mech na Liverpool huyu sio kocha
Arsenal tumeanza wengine kuijua enzi za kina Denis bergkamp
Huyu muhind anaiharibu timu
Hii ndiyo Arsenal ninayoijua mimi. Mnaanza kwa kelele ila kuja kufika Krismasi inakuwa vilio. Labda cha ajabu ni kwamba vilio vimeanza hata October haijaisha
Hahahaaa.. Cha nguruwe mzee point tatu.Wavimba macho tulieni basi, shindeni mechi zenu na sie tuachieni zetu
Nasikia wamegongwa tena