Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naiona picha ya Wenger tu,sioni jipya sana
Nakuomba kwa Heshm ya mzee Wenger mtake radhi sna.. Unai ni M2 hata kikosi tu hajui kupanga Yan anajikuta tactical genius anakuja letea Wa2 upuuz.. Wenger na madhaifu yake na Wa2 kumtukana lkn ulikua unaona team Ina clear identity na angalau wanacheza Uefa
 
Nakuomba kwa Heshm ya mzee Wenger mtake radhi sna.. Unai ni M2 hata kikosi tu hajui kupanga Yan anajikuta tactical genius anakuja letea Wa2 upuuz.. Wenger na madhaifu yake na Wa2 kumtukana lkn ulikua unaona team Ina clear identity na angalau wanacheza Uefa
Basi utakuwa hukumjua Wenger vizuri
 
Nimeumia mno leo...... Yaaani wachezaji wote tulinao still tunafungwa kirahisi hivi
Pole sana mkuu, kwani hamjazoea tu, kama umeweza kuzoea kukaa miaka 15 bila kubeba Epl hiki kipigo ni kitu kidogo kwako, endeleeni kuwa wavumilivu
 
Mimi ni mdau wa Liverpool. Huyu Pepe kipindi wanamtaja taja tetesi za Liverpool. Nikamwangalia sana, sikuona ukali wake.
baba unaweza ukawa sawa au laa!

ila huyu pepe, Auba, saka, laca...hao wote wanaitaji kuchezeshwa na kulishwa vizuri na viungo wakisaidiwa na beki wa pembeni.

the same kwa liverpool ya mane na salah. tofauti na hapo utaona wanaruka ruka tu.

kocha hatuna baba. jaribu kufatilia kidogo

asante

emery out
 
Arsenyani nawatakia usiku mwema kwa hisani ya Sheffield united
IMG-20191022-WA0001.jpg
IMG-20191022-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom