Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,650
- 6,028
Cellabos hatokaa Arsenal coz ya UNAI tu
Uuttaappaattaa ttaabbuu ssaannaaYan sijajua ila naumia na matokeo ya leo jmn kuliko kawaida
Nimemwangalia game nyingi sana sioni kama atatusaidia
ngapi ngapi bosi? natumia Freebasics
Huyo tumepigwa 80 mkuuhilo ni garasha lililotukuka, ndio madhara hayo ya kununua wachezaji wa mafungu mafungu, hao ni wachezaji wenye hadhi ya kucheza bonanza.
By the way malizieni kulipa kiasi kilochobaki 😃😃😃