Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Siwez kupanik ndugu yangu , Mimi mtani tuAroon umepanic. Relax baba
Siwez kupanik ndugu yangu , Mimi mtani tuAroon umepanic. Relax baba
Tatizo linakuja kwenye kumuweka xhaka benchMashabiki hawataki kiungo ya Lt11, Xhaka na Matteo kwa pamoja. Wanataka Xhaka ama aachwe benchi au acheze nafasi yake sahihi. Unai anarudia makosa yale yale kila week sijui hajifunzi.
Leo Lt11 amecheza out of position kabisa bila sababu ya msingi. Ubunifu haukuwepo kabisa first half. Haieleweki tunashambulia kwa mfumo gani.
Hivi hamna namna tukavunja hata mkataba nae akaondolewa?
He is panga pangua kwetuMateo Geundouz was the Best for me on the pitch. Kafanyiwa rafu nyingi sana ila bdo alikua kwny kiwango chake kilekile!!dogo anajua sana ila bs tu kwa vile hatuangalii mpira kwa “TATHIMIN” ila tunaangalia tuShangilie tu bs.
Matteo yupo vizuri kwa viungo vyetu, Ila sio mzuri kiviile tuwe wakweli.He is panga pangua kwetu
Hahahaha...Auba akinyanyua mguu pale na Unai maisha hana mkuu,maana yeye ndie anayempa jeuri mjiniHahahahaha mara paaaap madrid wanamtaka Auba, mtalia yelooooi yeloooooi namba saba kitani.
Hilo pazia liliwashinda Baku? Mkashindwa kabisaKepa pazia??????Yaani hawa watu wa laliga wametupiga vya kutosha yan wanatuona maboya sana
Kepa home shopping center arizabagalagala £70m
Na yule forward galasa nimemsahau mpaka jina aaaagh nimekumbuka
Moratta £70m
Filipe luiz .....dahhhhhhhh wametuonea kweli
Ila tumelipiza kwa Hazard £100m,na courtour hahahaaaaaaa kuuziwa galasa kunauma jamani msisikie
Na sasa hivi tutawauzia GIROUD kwa 80m,maana huyu nae kuna wajanja Fulani wametupigaView attachment 1221520View attachment 1221521View attachment 1221522
Iwobi sidhani, maana naona hata abadiliki. Kama tungemuuza Saka tungejuta kwani naona dogo ana potential kuliko Iwobi,Afu na Adelaide wa Lyon nahisi ni suala la muda tu majuto yataanza.yaan wachezaji tuliowauza ambao ni carlos vela na serge gnabry tulikosea sana sijui tulikula maharage ya wapi aisee,,,hata alex iwobi ipo siku tutajutia
Uko sahihi aisee jeff adelaide tulikosea mkuuIwobi sidhani, maana naona hata abadiliki. Kama tungemuuza Saka tungejuta kwani naona dogo ana potential kuliko Iwobi,Afu na Adelaide wa Lyon nahisi ni suala la muda tu majuto yataanza.
Afu kitu kingine mkuu Unai tushamvumilia mwaka Mzma thn kama bado tupo kulekule tu abadiliki yani.Bora msimu uliopita kwa sasa hivi alikuwa kashinda game 5 kapoteza 2,tulikua na point 15.Kocha havumiliki mkuu, maana yeye yupo peke yke ....mchezaji anavumiliwa kwa kuwa kuna replacement waweza Fanya.....haya sasa hebu tumfanyie sub UNAI kama inawezekana!!!!!Ila Pepe anaweza akapewa program ya kujiweka sawa na wengine wakawa wanaanza....
UNAI OUT.....
Sio majuto yataanza yaani majuto tayali maana kule France dogo anauwasha hatariIwobi sidhani, maana naona hata abadiliki. Kama tungemuuza Saka tungejuta kwani naona dogo ana potential kuliko Iwobi,Afu na Adelaide wa Lyon nahisi ni suala la muda tu majuto yataanza.
Hata yule NUNO wa wolvers anafaa kabisa,lile ni jeshi haliogopi linashambulia home&away







#coyg


















