Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Huyo kocha ana watetez wake ,lkn mm nilishasema unai hawez kutufikisha popote ,Guendouzi ndio tunamtegemea ,pia nauona mwanga kwa SAKA ,Auba kama kawaida ameshikilia kibarua cha mtu flani hapo.
Angalia ana waingiza kina willock na nelson ili tufungwe afurahi
Ozil kamuacha ,kisa bifu



plus ile Transfer record signing ndio inamchanganya zaidi.