Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maelezo kuhusu Picha juu ya African boy Nicolas pepe. Angalia pcha. Tuje tuzungumze katika jicho là Ufundi. Unamuona pepe anavyopokea mpra angalia wachezaji wa Arsenal mwangalie SAKA, TORREIRA, AUBA walipo .

Tuje Lille namna pepe alivyoweza kuhit IKONE na bwana BAMBA walikuwa wanatengeneza movement kwa namna hiii IKONE anakimbia Uelekeo wa alama ya mshale. Na kuwafanya wapinzani wa Mark na bwana BAMBA anakimbia katika kinyume (opposite) na IKONE hivyo bas hilo genge lilomzunguka pépé usingeweza kuliona. Hivyo pepe anapokea mpra na kuu curls in.

Na pépé angedondosha Mali na kuupokea katika uelekeo wa alama ya mshale magoli mengi ya pepe ni ya movement mikimbio na hivi ndvyo pepe alivyocheza Lille akichagizwa na connection ya BAMBA, IKONE na LEAO na kuweza kushain, pepe ajafunga goli yard 40 akiwa Lille huyu chakubanga spanish EMERY hana Football brain ya kuwafanya watu kuwa deadly ngoja niisubiri connection ya pepe na bellerin katika overlapping labda atafanya jambo kumsaiidia pepe.
IMG-20191002-WA0000.jpeg
 
Serge Gnabry:

"To have scored four goals is also an amazing feeling. I imagine all the Arsenal fans enjoyed that one! Obviously it’s a great for us, we’re going to enjoy the evening." [Sky] .
 
I remember reading something about Pepe before his transfer. He reportedly said a criteria for the next team he plays in should be the full back making overlapping runs.

Can't even see that at Arsenal.

Should change when Bellerin begins to play regularly though.
 
Unai isn’t setting up his team to weaponise Pépé. In the last 2/3 games, Pépé has been poor & his body language has been bad, admittedly, but the way Unai sets up doesn’t help at all. 3 DMs? Really?

Also, key differences.
1) Touches in the box.
2) His involvement with teammates.
IMG_20191001_013924.jpeg
 
Back to this. At Lille, Ikoné & Bamba would take up those positions (circles).

1) Ikoné runs in the arrow’s direction & takes players with him (Bamba runs opposite) so Pépé comes in with the ball & curls one in.

2) Pépé drops the ball & receives in the box (tip of arrow).

3) Zeki Çelik overlaps Down Pépé’s side and receives the ball from Pépé. Once he’s freed, Zeki gives the ball back to him already in a comfortable shooting position. Either he shoots or sets up Leão/Remy/Ikoné/Bamba.
IMG-20191002-WA0000.jpeg
 
Inaonyesha jins gan timu tulizocheza nazo bado hazijakaa sawa ukiwaondoa liverpool

Emery ameshndwa kutupa matokeo kwa hawa watu

Hawa man u kasuluhu nao ila wapelekee kwa wenye akili wanam butua vzr tu,tena za kutosha akienda na kikos kile.

Spurs wanahangaika sana wamecheza na Leicester wanapigwa,

pochetino kibarua kipo mashakani

Wachambuz wanaoiwekaga Totenham kwenye mbio za ubingwa ,Huwa nahisi wanatumia bangi
 
TUMEFURAHI KUWAPIGA HAO SPURSY

Gnabry: "It's difficult to put this into words, winning 7-2. None of us would have imagined this. To have scored 4 goals is also an amazing feeling. I imagine all the #Arsenal fans enjoyed that one! Obviously it's a great result for us & we're going to enjoy the evening"
 
Maelezo kuhusu Picha juu ya African boy Nicolas pepe. Angalia pcha. Tuje tuzungumze katika jicho là Ufundi. Unamuona pepe anavyopokea mpra angalia wachezaji wa Arsenal mwangalie SAKA, TORREIRA, AUBA walipo .

Tuje Lille namna pepe alivyoweza kuhit IKONE na bwana BAMBA walikuwa wanatengeneza movement kwa namna hiii IKONE anakimbia Uelekeo wa alama ya mshale. Na kuwafanya wapinzani wa Mark na bwana BAMBA anakimbia katika kinyume (opposite) na IKONE hivyo bas hilo genge lilomzunguka pépé usingeweza kuliona. Hivyo pepe anapokea mpra na kuu curls in.

Na pépé angedondosha Mali na kuupokea katika uelekeo wa alama ya mshale magoli mengi ya pepe ni ya movement mikimbio na hivi ndvyo pepe alivyocheza Lille akichagizwa na connection ya BAMBA, IKONE na LEAO na kuweza kushain, pepe ajafunga goli yard 40 akiwa Lille huyu chakubanga spanish EMERY hana Football brain ya kuwafanya watu kuwa deadly ngoja niisubiri connection ya pepe na bellerin katika overlapping labda atafanya jambo kumsaiidia pepe.View attachment 1221243
Huyu Pepe ni hatari mkuu,na naridhika na mwendelezo wake,


Hao wanaopiga kelele walete takwimu kumcopare na wachezaji wao.....

Wao wanataka kuona anacheza kama alivyokuwa LILLE haiwezi kuwa haraka namna hiyo,wapunguze mihemko....in suala LA muda tu.

MTU ni mgeni katika ligi na kitakwimu anaenda saw a na wenyeji alafu munaponda hahahaaaaa
Screenshot_2019-10-02-06-07-25.jpeg
Screenshot_2019-10-02-06-06-57.jpeg
Screenshot_2019-10-02-06-05-47.jpeg
 
yaan wachezaji tuliowauza ambao ni carlos vela na serge gnabry tulikosea sana sijui tulikula maharage ya wapi aisee,,,hata alex iwobi ipo siku tutajutia
 
Back
Top Bottom