Ishu ni kwamba timu haina mipango, yaani paka Tuanzebe achomeshe boko ndio tupate goli.
Paka sasa hivi unaweza kunambia kwanini tunapata matokeo ya ovyoo na kwa kubahatisha, je ni kwamba hatuna wachezaji wakutupa matokeo ya uhakika?
Ni lini unai ameshinda hata 3-0 au 4-0 kwenye EPL akiwa Emirates, kitu ambacho ilikuwa kawaida sna kipindi cha AW tunapocheza na midtables japo tulikua na Average players kuliko hawa wa leo.
Leo tukicheza na leicester,Watford,Wolves inakua km fainal eti sisi ndo tunapigwa 3-0, 3-1,...AW alikuwa anapoteza mechi na midtables ndio sikatai, lakini haikuwa kwa wingi huo wa magoli na azidiwe hadi ball possession , never.
Sisi tulitaka kocha ajaye aanzie pale AW aliposhindwa, ila huyu naona anaturudisha nyuma tuanze kujifunza hadi ball possession tena, AW kwa timu hii angefanya poa mara kumi zaidi ya huyu anachokifanya.
Fukuza huyu leta Ten hag tuenjoy football.