Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Kwan mpaka sasa nimecheza nao mara ngap?
Maswali mengine!!
Maswali mengine!!
Kwani msimu huu na nyinyi mmewafunga nne?
Kwani msimu huu na nyinyi mmewafunga nne?
TATIZO kuna mashabik wanafata mkumbo tu, kama mashabik wa man u ambao wachezaji wakiwanunua wanataka immediately waanze kufanya vzr ,Huyu Pepe ni hatari mkuu,na naridhika na mwendelezo wake,
Hao wanaopiga kelele walete takwimu kumcopare na wachezaji wao.....
Wao wanataka kuona anacheza kama alivyokuwa LILLE haiwezi kuwa haraka namna hiyo,wapunguze mihemko....in suala LA muda tu.
MTU ni mgeni katika ligi na kitakwimu anaenda saw a na wenyeji alafu munaponda hahahaaaaa View attachment 1221289View attachment 1221290View attachment 1221291
Kwan mpaka sasa nimecheza nao mara ngap?
Maswali mengine!!
Wewe kijana hebu jibu swali.Kwan mpaka sasa nimecheza nao mara ngap?
Maswali mengine!!
29, Oct, 2019. 21:45 EAT, Stamford BridgeMara 1 na wamekutwanga 4 buyu,mmetudharaulisha sana
Unaona inavyokera kuwapiga majungu wachezaji? Sasa kama unajua anachukua muda kurudi form kwa nn unakujaga kuleta umbea ya pasta Athanas sijui. Jifunze kijanaTATIZO kuna mashabik wanafata mkumbo tu, kama mashabik wa man u ambao wachezaji wakiwanunua wanataka immediately waanze kufanya vzr ,
Arsenal INA shida ya Kocha ,
Timu haipossess ,timu kiungo hakieleweki,
Pepe ata perform vipi kama lille?
Yeye mwenyewe Pepe anasema Haitamchukua muda mrefu atakuwa form
Tayari baadhi ya mashabik wanafata maneno ya haters ,
Hao wanaomponda pepe , Ndio hao hao wenye Kina pulisic, Fred ,magwaya , ambao hakuna lolote jipya wanalofanya
Kuna hazard Kule Madrid anazulula tu, na katoka ligi ngumu EPL ,
Kuna MTU nilimwambia ,angemuona henry,Denis au Pires walivyopoteana mech 10 za mwanzo , sijui angesemaje
Juzi tu hapa lacazette alichukua muda sana kukaa sawa
Sasa pepe mech 7 tu tena nyingi katokea bench, hana preseason , tayari kelele kibao
Pepe ana kas sana ,anasema kasi yake ni ya mazoezi sio natural kama ya Auba ,
Sasa Emery hawek creative midfielder ,kama Ozil wakuwa anampitishia mipira aikute mbele,
Angalia Salah alivyokuwa ,ni MTU wa kasi sana , lkn ana mapungufu mengi sana, ila kukutana na Genius Klopp ,anamuwekea RB ya kumletea mipira ,
Madrid wamesema hawataki tena kufanya biashara na nyinyi. Mmewauzia Courtois shati na Hazard ni kibonde.Unaona inavyokera kuwapiga majungu wachezaji? Sasa kama unajua anachukua muda kurudi form kwa nn unakujaga kuleta umbea ya pasta Athanas sijui. Jifunze kijana
Southern ,acha ujinga , mm nakuja kuwacharua kimpira na kiutani, na hasa kuhusu kepaUnaona inavyokera kuwapiga majungu wachezaji? Sasa kama unajua anachukua muda kurudi form kwa nn unakujaga kuleta umbea ya pasta Athanas sijui. Jifunze kijana
Totenham hatuwez kuuziana mchezaji ni mwikoKama kocha hamtaki ozil tumeni maombi ya kumsajili Eriksen wa tote bonge la creative midfielder na hataki kuongeza mkataba tote.



Madrid wamesema hawataki tena kufanya biashara na nyinyi. Mmewauzia Courtois shati na Hazard ni kibonde.
Nasikia mkajibu eti mbona na wao wamewauzia mbuzi kibao kwenye gunia ndiyo wakaamua kuwafuta machozi kwa kuwapa Kovacic.




Aroon umepanic. Relax babaSouthern ,acha ujinga , mm nakuja kuwacharua kimpira na kiutani, na hasa kuhusu kepa
Ujue watu hawajui tu kua kwenye ushabiki kutaniana ni kwingi kuliko facts waweza kuta utani una asilimia 51 na fatcs ni asilimia 49.Aroon umepanic. Relax baba
Unasema ukweli mkuu. Uzi wa Tot upo na kuna siku niliubahatisha sema si unajua hakuna Fans wengi humu ndio maana hautokei kabisa.Ujue watu hawajui tu kua kwenye ushabiki kutaniana ni kwingi kuliko facts waweza kuta utani una asilimia 51 na fatcs ni asilimia 49.
Humu hakuna uzi wa Totte?
Kocha havumiliki mkuu, maana yeye yupo peke yke ....mchezaji anavumiliwa kwa kuwa kuna replacement waweza Fanya.....haya sasa hebu tumfanyie sub UNAI kama inawezekana!!!!!Ila Pepe anaweza akapewa program ya kujiweka sawa na wengine wakawa wanaanza....Mchezaji hapaform avumiliwe, kocha anayabana matokeo aende...mmmmhhhh safi sana.
Unasema ukweli mkuu. Uzi wa Tot upo na kuna siku niliubahatisha sema si unajua hakuna Fans wengi humu ndio maana hautokei kabisa.
Yaani hawa watu wa laliga wametupiga vya kutosha yan wanatuona maboya sanaSouthern ,acha ujinga , mm nakuja kuwacharua kimpira na kiutani, na hasa kuhusu kepa