DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
AiseeeeeehHuyu jamaa bado anafanya experiment mwaka wa pili sasa. Mwaka wa pili amechokwa utafikiri amekaa miaka 6.
AiseeeeeehHuyu jamaa bado anafanya experiment mwaka wa pili sasa. Mwaka wa pili amechokwa utafikiri amekaa miaka 6.
Hata baadhi ya viongoz waandamiz wa klabu wamemchokaHuyu jamaa bado anafanya experiment mwaka wa pili sasa. Mwaka wa pili amechokwa utafikiri amekaa miaka 6.
Mesut OZIL alimwambia UNAI EMERYHuyu jamaa bado anafanya experiment mwaka wa pili sasa. Mwaka wa pili amechokwa utafikiri amekaa miaka 6.
Anamchukia ozil kwakua kambwambia ukweli ananikira sana emery binafsi nilitamani kumuona wakimfuta kazi afundishi mpira wa tamadini yetu mpira tulio uzoea timu aichezi kabisaMesut OZIL alimwambia UNAI EMERY
"Wewe siyo kocha"
Je Unafikiri OZIL Alitumia vigezo gani mpaka akadiliki kusema hivyo!!?
Sasa humu tukisema Unai Emery siyo kocha kuna watu wanakuja na Ngonjera kwa ajili ya kumtetetea sijui nao wanatumia vigezo gani
kumtetea wakati mchezaji anayeshinda nae,anaongea nae,anakula nae pamoja
Ametuhakikishia kwamba Unai siyo kocha.
Kwa nini tumpinge Ozil!!?
Ozil amepitia makocha wengi kuanzia
Bremmen
Kwa Low National team
Jose Mourinho
Arsene Wenger
Miongoni mwa hawa makocha wote Ameona
Unai ndo kocha ambaye siyo kocha
=_==_==_==_==_==_==_=
Hata mimi naungana na ozil kwamba Unai Emery siyo Kocha.
Mtu una
Pepe
Aubameyang
Ceballos
Torreira
Ozil
Bellerine
Tierney
Timu inacheza mpira mbovu Vile
TIMU HAIPOSESS TENA , NAFASI HAZITENGENEZWI ZA KUTOSHA .
Msimu uliopita tulimtetea kuwa ana average player wengi , Bodi imewaondoa wale average player kwa 98% .
CHA AJABU NDIO KWANZA TIMU INA CHEZA KAMA CHANDIMU
UNAI OUTView attachment 1222498
ANGALIA ANAVYOIHARIBU TIMUAnamchukia ozil kwakua kambwambia ukweli ananikira sana emery binafsi nilitamani kumuona wakimfuta kazi afundishi mpira wa tamadini yetu mpira tulio uzoea timu aichezi kabisa
Once a gooner always a goonerGnabry on Instagram: ‘North London is RED’
Notable replies:
Szczesny: Get in lad!!!
Podolski:#coyg
Wilshere:
Reine-Adélaïde: Too much sauce
Walcott:
Sagna:
Chambers:
Djourou:![]()
Hapana kabisa wazee. Tena hapana napinga. Kama hivyo ndivyo basi hata kocha wa Norwich tumpe nafasi maana aliwafunga cityHuyu kocha wa Salzburg inabidi tumpe nafasi katika timu yetu pata picha kwa mpira wanaocheza hawa watoto na kikosi cha bajeti ndogo
Hiki kitu mimi nashangaa sana, paka leo bado anatest mitambo. Haahaha!Huyu jamaa bado anafanya experiment mwaka wa pili sasa. Mwaka wa pili amechokwa utafikiri amekaa miaka 6.
hivi bodi ya arsenal hawakuona jicho la upande Brendan Rodgers kipindi yupo celticHiki kitu mimi nashangaa sana, paka leo bado anatest mitambo. Haahaha!
Tetesi zilikuwa kwa Eddie Howe na Brendan Rogers kabla AW hajaondoka, thn Arteta akafanyiwa interview akaleta masharit gani sijui,Ile kauli ya mzigo mzito mpeni mnyamwezi (unai) ila naona unamshinda sasa,hivi bodi ya arsenal hawakuona jicho la upande Brendan Rodgers kipindi yupo celtic
Gazid sijui alienda kumkurupua wapi unaiTetesi zilikuwa kwa Eddie Howe na Brendan Rogers kabla AW hajaondoka, thn Arteta akafanyiwa interview akaleta masharit gani sijui,Ile kauli ya mzigo mzito mpeni mnyamwezi (unai) ila naona unamshinda sasa,
Daah!... Kweli kabisa!.. Jamaa anajaribu kila formation lakini hajapata formation inayomfaa!Since Emery joined us, he's played 4-2-3-1, 4-4-2, 4-3-1-2, 4-3-3, 3-4-3, 3-4-1-2. Also 4-2-2-2 & 4-1-2-1-2 Man is doing a PhD in football formations and using Arsenal for practical experience.
Bellerin starts and captains Arsenal tonight #afc
Tayari, mm niliipata kwa source moja mapemaLineup not yet confirmed