Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,331
- 7,885
Kiukweli mimi binafsi sikuwahi kuridhishwa na kiwango cha huyu Pepe tangia kwenye michuano ya Afcon mpaka sasa. Jinsi anavyoongelewa ni tofauti kabisa na kiwango chake.Kwa hiyo mkuu pepe tumepigwa au???![]()
Ngoja tumpe muda angalau hata huu msimu upite labda tutamuona Pepe wa £67m.

