Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kitu kingine Unai ni mbishi sana, hataki kujifunza,kwa unishi anaokufanya ingekua ligue 1 france, au Spain la liga ingewezekana akawin lakini sio Epl, huku ataishia kufukuzwa tu.

Xhaka nae kapteni wetu jamani duuuuh!
IMG_20191001_012546_917.JPG
 
Next 5 games:

H Standard Liege
H Bournemouth
A Sheff Utd
H Vitoria SC
H Crystal Palace

Holding, Bellerin, Tierney and Laca coming back as well. Time to pick up some momentum.
IMG_20191001_005910.jpeg
 
Not sure positioning Lucas Torreira just behind Aubameyang and Pepe is going to get the best out of either him or provide good service for Arsenal’s front 3
IMG_20191001_013924.jpeg
 
Kabisa mimi nachukia sana hiki kitu cha kocha kuwa na bifu na wachezaji,
Na hii inapelekea hata mifumo yake inakuwa haieleweki kwa sababu wachezaji wa kumsaidia kuimplement mifumo anawadharau wanakaa nje tu.
Mtu kama Ozil pamoja na umlenda mlenda alionao lakini uwepo wake siku zote umekuwa ni muhimu sana hasa kwenye game ambazo zinahitaji ubunifu mwingi kama hii ya leo.

Unapompiga bench halafu kwa makusudi unachezesha akina Saka na Nelson dhidi ya timu ambayo ina Paul Pogba kati kati huo ni uwendowazimu.

Hata Morinho pamoja na kuwa mtu wa mabifu bifu na wachezaji, lakini kuna muda alikuwa anaziweka tofauti zake na wachezaji pembeni hasa pale anapohitaji matokeo. Tumeona akifanya hivyo kwa akina Edin Hazard na Paul Pogba alipokuwa Chelsea na Man u respectively.

Sasa huyo Unai anashindwa hata kuiheshimu timu yetu manina zake.
 
Another player who has been pulling off world class saves and performances but is hardly been given the credit where it's due. One of our better players this past few months.
IMG_20191001_015004.jpeg
 
Everyone shitting on Pepe:

Emery's system is the problem. Look what he does to Mesut Ozil. I can't judge an attacking player in this system harshly. Need to see what they can do on a football team with a manager that actually tries to attack.
IMG_20191001_013924.jpeg
 
Emmanuel Petit pretty scathing of Xhaka on French TV, can’t understand how he has armband. Also says Emery ‘sending negative signals by picking 3 defensive midfielders against a team there for the taking’ #MUNARS
IMG-20190930-WA0040.jpeg
 
The Mail say #Arsenal will watch Red Bull Salzburg star Dominik Szoboszlai against Liverpool in the Champions League on Wednesday. The Gunners showed an interest in the Hungary international attacking midfielder over the summer & are taking another look at the 18-year-old"
IMG_20191001_015827.jpeg
 
Torreira: "When I got to #AFC I said right away, ‘I want the 34 shirt.’ But Xhaka already had it, so I had to choose another number. It just so happened that Mesut had changed his number. No. 11 was available. I was born on February 11. That’s why I chose No 11.” [@TheAthleticUK] https://t.co/ytPSeDXHNJ
IMG_20191001_020256.jpeg
 
Hili lirefa LA jana ni jinga kweli, yule babu Ashley alikuwa anamshika sana SAKA lakini lilikuwa linamwacha tu, na hii offside ya wazi kabisaaaaa hahahah Ila


UNAI OUT
Hakika hata mimi naona Arsenal alibebwa kabisa na ile ilikuwa ni offside ya wazi wala hata alikustahili kuwa goli, na hao VAR operators watakuwa wana makengeza wanashindwaje kuiona offiside ya wazi kama hii. View attachment 1220182
 
Kama shabiki Wa Arsenal mechi zifuatazo staki kuziangalia
1. Man city vs arsenal
2. Liverpool vs arsenal
3. Leicester vs arsenal
4. Southampton vs arsenal
5. Sheffield vs arsenal
6. Norwich vs arsenal
Sasa hapo gemu ngumu ni ya Mancity peke yake hapo ukiachana na ya Carabao na Liverpool ambayo watapangwa watoto huyo leicester kampa point 3 Manchester United Mbovu hii
 
Wakubwa hii timu wapi inafeli wachezan wote vijaana isipokuwa Luiz na sokratis, tatizo kocha hatuna au michezaji yenyewe hamna kitu...isipokuwa AUBA anatubeba beba tunaonekana tupo.
Nashindwa kumuelewa Unai kwa nini anamuacha ozil na kumtumia huyu pepe ambaye anapoteza mipira mingi sana....beki kama sokratis unamuachaje holding nje na kumuweka huyu mwenye sura kama amekula nyanya chungu....
Tumeshindwa kuifunga Man U mbovu kiasi hiki ambayo on target zakuhesabu....
 
Back
Top Bottom