Bado kocha hawez kumtumia ,Griezman ni Pepe wa Barcelona, na Pepe ni Griezman wa Arsenal
Mtu kama Ozil pamoja na umlenda mlenda alionao lakini uwepo wake siku zote umekuwa ni muhimu sana hasa kwenye game ambazo zinahitaji ubunifu mwingi kama hii ya leo.Kabisa mimi nachukia sana hiki kitu cha kocha kuwa na bifu na wachezaji,
Na hii inapelekea hata mifumo yake inakuwa haieleweki kwa sababu wachezaji wa kumsaidia kuimplement mifumo anawadharau wanakaa nje tu.
Hakika hata mimi naona Arsenal alibebwa kabisa na ile ilikuwa ni offside ya wazi wala hata alikustahili kuwa goli, na hao VAR operators watakuwa wana makengeza wanashindwaje kuiona offiside ya wazi kama hii. View attachment 1220182
Pengine niseme bado haja-settle kwenye mpira wa EPLKwa hiyo mkuu pepe tumepigwa au???![]()
Nilikuambia mkuu kocha hafai, kila mechi anayocheza timu inazidiwa ufundi ushindi wakubahatisha tuTimu haijulikan inacheza mfumo gani ,dah yaan anabahatisha tu
Ana muiga Lampard..
Sasa hapo gemu ngumu ni ya Mancity peke yake hapo ukiachana na ya Carabao na Liverpool ambayo watapangwa watoto huyo leicester kampa point 3 Manchester United Mbovu hiiKama shabiki Wa Arsenal mechi zifuatazo staki kuziangalia
1. Man city vs arsenal
2. Liverpool vs arsenal
3. Leicester vs arsenal
4. Southampton vs arsenal
5. Sheffield vs arsenal
6. Norwich vs arsenal