Linesman is a son of a bitch
Hahahahha.. Kwamba nishabikie Chelsea acha utani basi mkuu.Pole sana Chifu kwa kushabikia timu ya kishamba, toroka uje haraka pale Chelsea Mzee Baba kwa afya yako nzuri zaidi...![]()
Zamani wakati Hakuna VAR hawa waamuzi ndio namna walivyokua wanaibeba United.Bila var ndo ingeahakua kabari hyo
Haya mkuu Auba kakuskia.Yani mpira tunaocheza leo utafikiri tumetoka kushiba pilau la mchele wa kitumbo.
HahahaBingwa wa misimamo ya half time.![]()
![]()
Dogo anajua aongeze stamina tuKwenye safu yetu ya kiungo, panga pangua Guendouzi lazima acheze
Pamoja na kwamba hiyo ndio nafasi yake, lakini yampasa awe na flexibility hili kuendana na aina ya mpira wa wapinzani.Xhaka anakaa sana kati na haoverlap sababu hiyo ndiyo majukumu ya Holding Midfield
Wakati hii VAR inakuwa introduced mimi niliwaambia watu timu zinzokuwa wahanga wakubwa ni Man U na Man city.Zamani wakati Hakuna VAR hawa waamuzi ndio namna walivyokua wanaibeba United.