Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,331
- 7,885
Mpaka sasa hivi hatueleweki ni mpira gani tunaoucheza au tunaouhitaji hasa.Arsenal tunakwama wapi?
Kuna muda tunacheza mpira wa kujiamini sana wa pasi fupi fupi halafu tunaishia kufanya makosa yanayotugharimu pamoja na kukosa nafasi za wazi.
Kuna muda tunacheza mpira wa pasi ndefu ndefu halafu mashambulizi yote tunayofanya yanakuwa butu yanaishia miguuni mwa maadui.
Kuna muda tunacheza mpira wa kujihami sana halafu tunampa kazi nzito goli kipa wetu.
Sasa kama timu yenyewe haina mfumo wowote iliyoweza kuu master na kuutegemea kupata matokeo, hapo kukwama hakukwepeki.
Tutaendelea kuwa hivi hivi tu watu wa kubahatisha bahatisha.

