Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Nilishasema humu nikaonekana simpend kochaSijawahi kuona kocha pumbavu kama unai
Bas man u wabovu, kawaweka watoto kipind cha pili ili iweje
Nilishasema humu nikaonekana simpend kochaSijawahi kuona kocha pumbavu kama unai
Lakin ww hapo OT ulikula 4 kavu
Ona sub zake za kipumbavu, anajaza kina nelsonKocha unamchezesha Lt11 out of position ili Xhaka aanze Out of position. Unai anaharibu timu mwisho wa msimu aondolewe aletwe kocha anaejielewa.
Hahaha mi si nilikwambia.
Pepe bado ana tatizo la ON TARGETKwa hiyo mkuu pepe tumepigwa au???![]()
Si kocha hatunaUjinga tu kupoteza points tatu kwa united mbovu hii
Naona nyie mmeupiga mwingi sanaMechi hii Arsenal amebebwa kwa kiwango kikubwa sana , Refa alitaka Arsenal washinde ila walizidiwa.
kiasi kwmba ni ref tu ndo kawanyima ushindi.United kimeo hivi tunashindwa kuifunga?Yaani hata mpira tunaocheza tuna ungaunga.
Ila ww ulicheza mpira ukapigwa 4-0Hakukuwa na mpira wowote leo zaidi ya mazoezi tu, kweli Man City na Liverpool wataendelea kusumbuana pekeyao epl hadi 2050...![]()
Kweli kabisaSi kocha hatuna
Mechi hii Arsenal amebebwa kwa kiwango kikubwa sana , Refa alitaka Arsenal washinde ila walizidiwa.
Naona nyie mmeupiga mwingi sana![]()
kiasi kwmba ni ref tu ndo kawanyima ushindi.
Si bora miye 4-0, Je wewe 8-1 hadi ulirasimishwa kuitwa "ARSENANE badala ya "ARSENAL"...Ila ww ulicheza mpira ukapigwa 4-0

Pole sana Chifu...Mechi mbovu kishenzi sielewi tunataka Nini hasa!! No plan yaan
naanza kummisi Wenger tunapigwa ila unaona tulichokicheza!
Emery mbuzi tu..

Mkuu pale hatuna kocha ,wengi wanajua hilo,Kocha wenu ni kilaza wa mwisho,wale watoto ndio game charger ya kuipa timu matokeo kweli Hahahaha Huu ni utani kwenye mpira.
Kila mtu na mtanange wakeTimu zote zimeupiga mwingi lakini kulikuwa hakuna maelewano mazuri(football consistency)uwanjani hata kidogo...![]()

Wewe bhana acha kujificha, mech ya mwaka huu umekula 4-0Si bora miye 4-0, Je wewe 8-1 hadi ulirasimishwa kuitwa "ARSENANE badala ya "ARSENAL"...![]()